Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nice Thread Brother, nimeisoma mwanzo hadi mwisho. Mi ni kijana mdogo sana but very motivated sana hasa inapokuja maswala kama hayo ya SUCCESS HUNTING. in short I real want to attend. Na nipo hapa Dar. Please lets contacts each other.
 
Nimeipenda Na kupata uelewa kwa mbali kuhusiana Na hii Forex trading,nipo mkoani bit natamani niwe miongoni mwa hao Mia tatu wa kwanza watakaopata hiyo training
Boss kama umestaarabika naomba ufute post yako ndugu. Umequote uzi wote afu page ya kwanza. Si ustaarabu boss wangu. Jaribu kufuta ama kuedit kwa kufuta quote yote. Mbona hata angalizo nimetoa mkuu, sasa kitu kidogo huwezi kuelewa utaweza kuelewa forex trading ndugu?!

Wanaume wa mikoani bwana. Hahahaa!! Jokes!
 
Nice Thread Brother, nimeisoma mwanzo hadi mwisho. Mi ni kijana mdogo sana but very motivated sana hasa inapokuja maswala kama hayo ya SUCCESS HUNTING. in short I real want to attend. Na nipo hapa Dar. Please lets contacts each other. 0688991329
 
Naomba niwe mmoja kati ya watu hao mia tatu, naonanga BBC,CNN ,aljazeera watu wakiangalia stock exchange rates zinavyopanda na kushuka na wanavyokuwa wamekodoa macho ,nikawa sielewi mkuu for all years.sasa kwa Uzi huu nimepata picha kubwa mno.
 
Daaah.....naomba niwepo kwenye vyote; tag, list, first 300 n.k
 
Boss kama umestaarabika naomba ufute post yako ndugu. Umequote uzi wote afu page ya kwanza. Si ustaarabu boss wangu. Jaribu kufuta ama kuedit kwa kufuta quote yote. Mbona hata angalizo nimetoa mkuu, sasa kitu kidogo huwezi kuelewa utaweza kuelewa forex trading ndugu?!

Wanaume wa mikoani bwana. Hahahaa!! Jokes!
Hata Kama utaweka jokes za kila namna,, nitajitahidi hata kwa kukopa nifike kwenye hiyo training.Tafadhali tupe utaratibu mapema iwezekanavyo
 
siku huyu bwana mdogo sandile shezi nilikuwa na msikia sikia na kunakipindi cctv walimhoji huyu dogo natamani sana kuijua forex sana tu hata hapa majuzi kuna jamaa yangu alinipa mchongo mwingine wa D9 but honestly na hitaji kuijua forex trading zaid pleasa usiniache nyuma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom