Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu ONTARIO naomba niwe mmoja Kati ya hao 300,my phone no 0753282776 thanx
 
Wazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.

Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.

Karibuni kwaaliji ya ku discuss.
Shukran sana Mkuu mungu akulipe kwa hili tuko pa1 usiniache ktk list am ready for this...
 
Boss! Great minds discuss ideas not people. Boss let's discuss ideas.

Boss mimi namfahamu SB si kwa kusikia maneno ya watu, nimekaa kanisani kwake and I see him metre chache kutoka nilipo. Huyu ana waumini mil 20+ duniani kote, wote hao ni wapuuzi kumfata?! Again kwa mafanikio aliyonayo ni jambo la ajabu sana akose maadui, na kitu maadui wanaweza kumfanya SB ni kumchafua jina.
Mkuu tufundishe biashara, usitufundishe imani. Hapo ukweli utatuchanganya wengi.

Kama una refer kwa Bushiri, tumia business ideas na siyo religious ideas.
 
Tuko pamoja mkuu,Mungu akubariki kwa kushare hayo mawazo mazuri.
 
Hii ndio mda wote nilikua nasubiri kwa hamu nijifunze!
Endelea kutupa shule mkuu.....
Ila angalia hao wenye mabank wasije wakakufanyia figisu maana hii nchi yetu bhana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom