mtoto matataa
JF-Expert Member
- Sep 15, 2012
- 391
- 249
am in katika hili.watu hao 300 namie nimo utupe tu utaratibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi pia nahtaji kujua hyoNimekuelewa mkuu sasa mtachukua watu randomly au kwa njia ipi i mean hao 300.. Mtz wa kawaida ajiandae na mtaj sh ngapi pesa inaiva kwa muda gani
Daah kweli mkuu wangerekodi hâta kavideo watutumie na ma PDFKwa ambao wapo nje ya Dar tutapaje haya madini mkuu? ONTARIO
Mkuu tafadhali sana usikose nko tayr kwa hili mungu akubariki sanaDaah kweli mkuu wangerekodi hâta kavideo watutumie na ma PDF
Amesema ukiona amekujibu pm ujue wewe ni malaika. Ametoa alichonacho free, nawe uliza free ili wengine tujifunze toka kwako.Mkuu Ontario..
Mpaka nimekupm kimyaa asee
Niko serious na hela eti mwenzio
Shukran sana Mkuu mungu akulipe kwa hili tuko pa1 usiniache ktk list am ready for this...Wazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.
Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.
Karibuni kwaaliji ya ku discuss.
Kwani katoa utaratibu wa kumpa namba ya simu,, tusubiri tu but I ques tutaambiwa nafasi zimeshajaaMkuu ONTARIO naomba niwe mmoja Kati ya hao 300,my phone no 0753282776 thanx
Mkuu tufundishe biashara, usitufundishe imani. Hapo ukweli utatuchanganya wengi.Boss! Great minds discuss ideas not people. Boss let's discuss ideas.
Boss mimi namfahamu SB si kwa kusikia maneno ya watu, nimekaa kanisani kwake and I see him metre chache kutoka nilipo. Huyu ana waumini mil 20+ duniani kote, wote hao ni wapuuzi kumfata?! Again kwa mafanikio aliyonayo ni jambo la ajabu sana akose maadui, na kitu maadui wanaweza kumfanya SB ni kumchafua jina.