Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
..OK......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawaza tu..unamiaka 45 kwenda juuHivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Yah very true nahitaj kupata mwanga wa nn kinachoendlea then tutafanya maamuzAsante mkuu, ngoja tusubiri ofisi iwe sawa tufike kupata shule.
Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Mkuu unakata tamaa haraka. Kuna biashara ziko centralised, means kuwa na akaunti nikiwa koromije, ni status sawa na mwenye akaunt aliyeko wall street marekani. Hivyo ofisi ikiwa bongo, haina maana kuwa wa kolomije tutatengwa mkuu. Ndivyo nilivyoelewaHivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Yah very true nahitaj kupata mwanga wa nn kinachoendlea then tutafanya maamuz
uoga wako ndiyo umasikini wako.....hata simu zaa mkononi zilivyoanza kuingia tuliambiwa hazitufai...
Ilikuwa kuna haja ya kunipa maelezo yote hayo + matusi..Amesema ukiona amekujibu pm ujue wewe ni malaika. Ametoa alichonacho free, nawe uliza free ili wengine tujifunze toka kwako.
Invisible alikuwa na ujumbe, "...Ficha upumbavu wako, usifiche busara yako..."
Hahahaaa....Una moyo wa malaika wewe