Lodrick Thomas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 1,339
- 2,431
Uko sahihi kabisa! Jamaa ametufungua macho kwa kweli!!Kiasi mkuu, I thank GOD kwa kunifungua ufahamu japo naona bado ni hatua ya mwanzo sana wala sistahili pongezi.I know I have to study hard and practise more.
Shukrani za dhati zimwendee ONTARIO, I really owe this guy.
Niko live aisee usdjpy imeanda ghafla alafu nilikuwa kwenye sshot .. Yaaan hapa kichwa kinauma mungu asaidie iporomokeYap mkuu, ndio maana nimeficha Identity kwenye hiyo graph
Huelewi nini?Mkuu nmesoma but sijaelewa.. nipe strategy unayo tumia mkuuu
Mkuu Proffesor kama jina lako linavyojinasibu ...Huelewi nini?
Strategy ni kusoma neno kwa neno na kuelewa.
Kama huelewi kitu nenda youtube download video za kutosha uangalie.
Hahahaa kuna saa unataman uingie ndani ya pc uvute candle stik ishuke chini...upige chako then uiruhusu iendelee kwenda juu[emoji23][emoji23][emoji23]Niko live aisee usdjpy imeanda ghafla alafu nilikuwa kwenye sshot .. Yaaan hapa kichwa kinauma mungu asaidie iporomoke
Shukrani Boss, Vitabu vingine ni vipi ulivyotumia wewe, nataka niviandae ili darasa likianza niwe niko fullWazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.
Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.
Karibuni kwaaliji ya ku discuss.
Updates
Moja ya ombi la msingi ambalo nimeona watu wengi wanaulizia ni - "Ontario ni kitabu gani naweza kuanza nacho?"
Kila mtu ambae yupo interested atafute kitabu kinaitwa Currency trading for Dummies: Kimeandikwa na Brian Dolan 2nd Ed ndio poa zaidi. Cover yake ni kama changano then kuna dunia hivi inaramani za nchi mbali mbali.
Thanx mkuu, tunazidi kujifunza. Niliunguza account yangu ya kwanza nikaumia sana, nikajitafakari kisha nikaanza upya.
nimeelewa hata mimiMkuu mm bado mchanga kweli kwenye forex...ila kidogo kidogo naanza kuielewa lugha ya forex.
Naomba soma page no 14 ya ASTROFX....Fundamental Analysis/Economic data releases..nadhani ulichokishuhudia ndicho kimetolewa angalizo hapo.
So mkuu hapa nimeelewa zaidi ukichanganya na Astro fx inaleta maanaHabari.
Wakati mwingine News zinaweza zisilete impact kiasi kile ambacho watu wanafikiria.
Inategemea na jinsi Institutional Investors wanavyodigest hiyo news na kwamba wanaipa kipaumbele au la.
Binafsi, sijaona kama hiyo news ina uzito sana kiasi cha kuipa attention. Kwahiyo, nimeona bora ibaki na trend kama ilivyo.
Kingine, Euro ni official currency ya nchi nyingi za Ulaya. Kwahiyo, news ya Germany inaweza isilete uzito kama dola inavyokuwa.
Collective decisions mfano, interest rate anazotoa Draghi ndo huwa zinatikisa Euro. Ila kwa Germany bado sana.
Sababu kubwa inaweza kuwa;
-Institutional Investors hawajaona umuhimu wa hiyo news.
-Germany ni single entity kwenye matumizi ya Euro. So haiwezi kupush price juu wala chini..
So mkuu hapa nimeelewa zaidi ukichanganya na Astro fx inaleta maana
hii bizness inahitaji mentor
kwa maana hyo ingekua ni news ya kuigusa ulaya yote hapa tungeshuhudia positive mfano BREXIT ama france rally election, issue kama zile za mambomu kama nimeelewa vyema mkuu.
Pigeni shule mazee telegram mambo yanakwenda atari watu zaidi ya 5 wameshaanza na live account.
Akili ni kitu cha ajabu sana ukitaka kufika mbali usisikilize kelele za wapita njia Be focused. Wanaokatisha tamaa ni kuwaacha bila ya kuwajibu kwakuwa kuwajibu ni kupotezeana muda na hawako kuelewa Bali kulazimisha kueleweka.
Vitabu ni muhimu sana na ukiijua forex vizuri hutojutia. Hii ni darasa huru kuingia na kutoka ni uamuzi wako, hii biashara haina uchawi faida yako inatokana na maarifa uliyonayo ukiwa shallow utaambulia hasara na kuishia kulalama.
Mkuu najiungaje hilo group la telegram...muongozo please
App ama platform gani watumia mkuu?Sooon ntaanza real acc baada ya mazoez ya kutosha ya demo.. nataka nijilipue .. maana ukiwa real acc huku wasoma utaelewa kilazima tu....
MT4.... ila nikianza real sijajua broker gani ntamtumia... ntauliza wadau hapa wanisaidiw broker mzuriApp ama platform gani watumia mkuu?
sasa mkuu huoni balance iko low $0.0! sasa hapo uta'trade vpWadau cjui nakosea wp,nafungua orders lkn zote zinaishia kwny pending hlf zinapotea
Natrade na bonus.sasa mkuu huoni balance iko low $0.0! sasa hapo uta'trade vp
Naona mkuu umetega mabomu yako hapo...Natrade na bonus.