Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kiasi mkuu, I thank GOD kwa kunifungua ufahamu japo naona bado ni hatua ya mwanzo sana wala sistahili pongezi.I know I have to study hard and practise more.
Shukrani za dhati zimwendee ONTARIO, I really owe this guy.
Uko sahihi kabisa! Jamaa ametufungua macho kwa kweli!!

Hongera sana mkuu ONTARIO

Tuko pamoja!!
 
Huelewi nini?
Strategy ni kusoma neno kwa neno na kuelewa.
Kama huelewi kitu nenda youtube download video za kutosha uangalie.
Mkuu Proffesor kama jina lako linavyojinasibu ...

Am not a guru...ila kuhusu strategy nnachojua hata kama ukipewa hujajiweka sawa kuhusu basics zake bila shaka itakupiga chenga...offcaurse zipo zinazozwa...ila nini maana ya kusoma??

Kama bavaria alivyosema...ni muhimu ukasipitia. Kuna kitabu cha astrofx wameziweka na kwa profesa kama wewe najua utatumia nusu saa tu kuzielewa!!

Kama usipoelewa hamia youtube ziko video zinaelezea viziri tu!!

Najua hautakwama mkuu prof!!
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Wazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.

Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.

Karibuni kwaaliji ya ku discuss.

Updates

Moja ya ombi la msingi ambalo nimeona watu wengi wanaulizia ni - "Ontario ni kitabu gani naweza kuanza nacho?"

Kila mtu ambae yupo interested atafute kitabu kinaitwa Currency trading for Dummies: Kimeandikwa na Brian Dolan 2nd Ed ndio poa zaidi. Cover yake ni kama changano then kuna dunia hivi inaramani za nchi mbali mbali.
Shukrani Boss, Vitabu vingine ni vipi ulivyotumia wewe, nataka niviandae ili darasa likianza niwe niko full
 
Mkuu mm bado mchanga kweli kwenye forex...ila kidogo kidogo naanza kuielewa lugha ya forex.

Naomba soma page no 14 ya ASTROFX....Fundamental Analysis/Economic data releases..nadhani ulichokishuhudia ndicho kimetolewa angalizo hapo.
nimeelewa hata mimi
 
Habari.

Wakati mwingine News zinaweza zisilete impact kiasi kile ambacho watu wanafikiria.
Inategemea na jinsi Institutional Investors wanavyodigest hiyo news na kwamba wanaipa kipaumbele au la.
Binafsi, sijaona kama hiyo news ina uzito sana kiasi cha kuipa attention. Kwahiyo, nimeona bora ibaki na trend kama ilivyo.
Kingine, Euro ni official currency ya nchi nyingi za Ulaya. Kwahiyo, news ya Germany inaweza isilete uzito kama dola inavyokuwa.
Collective decisions mfano, interest rate anazotoa Draghi ndo huwa zinatikisa Euro. Ila kwa Germany bado sana.
Sababu kubwa inaweza kuwa;
-Institutional Investors hawajaona umuhimu wa hiyo news.
-Germany ni single entity kwenye matumizi ya Euro. So haiwezi kupush price juu wala chini..
So mkuu hapa nimeelewa zaidi ukichanganya na Astro fx inaleta maana
hii bizness inahitaji mentor

kwa maana hyo ingekua ni news ya kuigusa ulaya yote hapa tungeshuhudia positive mfano BREXIT ama france rally election, issue kama zile za mambomu kama nimeelewa vyema mkuu.
 
So mkuu hapa nimeelewa zaidi ukichanganya na Astro fx inaleta maana
hii bizness inahitaji mentor

kwa maana hyo ingekua ni news ya kuigusa ulaya yote hapa tungeshuhudia positive mfano BREXIT ama france rally election, issue kama zile za mambomu kama nimeelewa vyema mkuu.

Kwa beginer sishauri zaidi kutrade NEWS. Sio salama kwasababu huwezi jua market movers wana digest vipi hizo news.
 
Pigeni shule mazee telegram mambo yanakwenda atari watu zaidi ya 5 wameshaanza na live account.

Akili ni kitu cha ajabu sana ukitaka kufika mbali usisikilize kelele za wapita njia Be focused. Wanaokatisha tamaa ni kuwaacha bila ya kuwajibu kwakuwa kuwajibu ni kupotezeana muda na hawako kuelewa Bali kulazimisha kueleweka.

Vitabu ni muhimu sana na ukiijua forex vizuri hutojutia. Hii ni darasa huru kuingia na kutoka ni uamuzi wako, hii biashara haina uchawi faida yako inatokana na maarifa uliyonayo ukiwa shallow utaambulia hasara na kuishia kulalama.

Mkuu najiungaje hilo group la telegram...muongozo please
 
Wadau cjui nakosea wp,nafungua orders lkn zote zinaishia kwny pending hlf zinapotea
fb0b50b77db9cbf4e8b4751244a74b8d.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom