Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
NB: Kabla hujajiunga na broker, make sure unajua ni broker wa aina gani! Ni Market marker au ECN/STP...
mkuu kuna tofauti gn kati y market maker na hawa ECN/STP. Wp wazur zaidi kwa uzoefu wako
 

Attachments

  • upload_2017-6-27_18-21-39.png
    46.3 KB · Views: 96
  • upload_2017-6-27_18-22-9.png
    46.3 KB · Views: 92
Bada
Nadhani strategy utakayotumia itasaidia kukuweka kwenye safe area kati gambling na investment.

Forex trading ni investment kwa professional traders ambao wanauelewa mzuri wa forecasting factors na risk management.

Kwa mfano ,softicated forex traders hufuatilia price movement kwenye stock exchanges, au derivative exchanges n.k

Ukiangalia kwa makini unakuta hii sio kitu ya kila mtu kufanya.
 
Going Short, short selling ni kuuza currency ambazo huna.

Kwa mfano una anticipate currency ya China itashuka thamani in the next two weeks. Wewe unaziuza ktk forward contract kwa bei ya juu kulinganisha na bei unayoanticipate.

Sasa siku unayotakiwa kudeliver hizo Chinese currencies, sababu huna.unazinunua sokoni at the cheaper spot rate na kumpatia muusika unakuwa umepiga hela.

Hii practice ni illegal nchi nyingi sana, huko China wiki Jana kuna watu wametupwa jela, makampuni kupigwa fine na mengine kufutiwa leseni sababu walifanya hako ka mchezo sometimes mwaka Jana.
 
Nimekua warned kuhusu demo, demo ni demo kuna mtu niliuomba anitume real trading chart nifanye comparison, japo hajatuma alinambia niwe aware na demo
 
Nimekua warned kuhusu demo, demo ni demo kuna mtu niliuomba anitume real trading chart nifanye comparison, japo hajatuma alinambia niwe aware na demo
Unaionaje Yen leo? Imeanguka sana inawezekana sasa ni wakatimzuri wa kununua, lakini pia inaweza isirudi kwenye chart juu karibuni.

Yellen kasema benki za US ziko imara, hilo linaweza kuifanya dollar iwe na nguvu sana leo.

USD/JPY - Live Rate, Forecast, News and Analysis
 
Leo kama ulibet against kusell euro kwa kutegemea itashuka bila kujua kuna news fulani imekula kwako. Nilikuwa nacheza na practice account huku na speculate kwamba USD itabanda against Euro kwa hiyo nikawa nauza Euro nanunua USD. Ebwanee kumbe kuna jamaa anaitwa Mario Draghi ndo mkuu wa benki ya umoja wa ulaya katoa speech leo , Euro imeshoot kwa kiwango ambacho haijashoot karibu miezi kumi...Yaani Mimi nilikuwa na practice kwa kucheki ceiling na floor. Hapo nimejifunza kitu kimoja kikubwa sana jinsi kuna news zina impact kubwa kwenye forex trading. Mimi mahesabu yangu yalikuwa kwamba Eoro against dollar ceiling ingekuwa 1.207 baada ya hapo nilitegemea ishuke..sasa kitu kimetoboa ceiling
 

Euro sijaigusa kipindi,nilikuwa na deal na Aussie na Yen.
Kuna sehemu nimetaja hilo hapo awali, nikasema investment ya forex si ku bet au kamali, inatakiwa ufuatilie indicators na news.

Vitu kama.

Bei ya mafuta ikoje na wazalishaji wa mafuta ni nani na wanatumia hela gani?

Bei ya dhahabu ikoje na wazalishaji wa dhahabu ni nani na wanatumiahela gani? Benki kuu gani zina dhahabu sana?

Viongozi gani wakubwa wa Benki Kuu kubwa duniani, IMF, World Bank wana maongezi gani na maongezi hayo yataathiri vipi soko?

Wapi kuna political unrest na zitaathiri vipi soko?

Fedha gani huwa zinakwenda pamoja kwa sababu za kisoko? Mara nyingine fedha kama Australian Dollar na Chinese Yuan huwa zinaenda pamoja kutokana na chumi za mashariki ya mbali kufungamana sana.

Muda gani ni mzuri wa ku trade kwa kuangalia masoko ya New York, London, Singapore, Tokyo yanavyokuwa wazi na kuruhusu watu wengi zaidi wa trade.

Muda gani katika saa yoyote (dakika) ni mzuri zaidi kununua, mara nyingi kunakuwa na patterns za hourly rallies on the hour, unaweza kuzi note na kuzi avoid.

Dakika kama hii 59 ya saa unaweza kuona kitu kinapanda tu, kumbe ni hourly rally ambayo dakika chache baadaye inashuka tena.

Sasa hivi inavyoandikanaona Yen inapanda kwa hourly rally, ingawa Yen imeuawa sana leo.Ukijichuza kununua sasa, baaada ya dakika 15 inashukatena.

Mambo mengi sana ya kujifunza.
 
Euro sijaigusa kipindi,nilikuwa na deal na Aussie na Yen.


...
upo na live account? Mafuta na Gold sio sana unless kuna extreme changes in prices then ndo hapo zinaweza kuwa na significant effect kwenye price lakini hauna guarantee ya correlation ila kuna muda zinaingiliana has ahapo prices zinapochange kwenye commodity significantly. Mfan tukiongelea mafuta unless una deal na mataifa yanaimport na export mafuta..Naona strong pairs zinaenda zaidi na masoko kama matano ambayo yanachukua zaidi ya asilimia 90 ya transactions na none of these are affected much by oil prices...Viongozi ni wa kikanda zaidi (economic zones) au nchi
 
For how long umekuwa una trade?
Off and on since 2007. Nilinyolewa vizuri sana kwenye financial crisis na ETFs nikawa ninaheshimu sana hizi habari, nikawa na concentrate kwenye real estate na 401(k). Nimeanza ku trade tena seriously mwaka huu.

Mostly binary options Forex on www.nadex.com.I am trying to get into www.forex.com but I need to familiarize myself with their interface.

Ukiwa na roho nyepesi unaweza kulia.
 


Nilitaka niunguze account sema nikaanza scalping

Ilikua poa mana niliweza kutumia indicator japo nacked traders wananambia nifanye technical analysis.

Nimeelewa emotional trading ipoje
Nimeelewa kuwa trading is learning (hzo ni nondo za vitabu viwili, labda 20% tu ya knowledge, mainly naked forex na currency for dumies) bado Astro FX
Nimeelewa buy/sell
Nimeelewa SL/TP
Nimeelewa Stochastic, Bollinger band
Nimeelewa shooting stars, Kangaroo tails
Ila
Sijaelewa engulfing candles zinafanyaje kazi kwenye scalping
Sijaelewa catalyst zote hapa mentor anahusika na training practice
Sijaelewa analysis
Sijaelewa association ya minor zone na scalping
Sijaelewa kufanya real trading (bado ni demo)
Sijaelewa back testing
Sijaelewa kuset daily trends kulingana na R/S zone
Sijaelewa perfect currencies Kwa ajili ya scalping
Sijaelewa best time to trade nikiwa Tanzania (Time zone vs Market trend)
Sijaelewa namna ya kudeal na sideway trend
Sijaelewa management ya account
Sijaelewa buy/sell limit/stop (on progress)



MORE KNOWLEDGE IS ON THE BOOKS
 
unaanza lini kutoa mafunzo,lakini kuna wahindi nao wanatoa hizo training hapa bongo kwa 400 a week,kwa hiyo utakuwa umetusaidia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…