Mkuu ONTARIO
-Mfano, Je ni sahihi kununua EURUSD na kuuza EURGBP at once??
-Je ni sahihi kuuza EURUSD na kuuza EURGBP??
Umeongeza kitu. thanks alot!Hongera sana Kaka Lodrick kwa kufanya live. Me bdo nasoma tuu ata demo siijui sn.
Principle...unanunua base currency na kuuza counter currency wakat huo huo..
Ukinunua Xau/Usd manake Aud inapanda Usd inashuka.
So ukija kwny quote nyngne unauza Aud/Usd itabak ivo kuwa Usd inaendelea
Io inaitwa Stacking accordng to AfroFx yaani apo katka izo quote mbil:kununua Xau/Usd na kuuza Aud/Usd moja utapata faida nyngne utapata sabbu znajicontradct kulingana na kushuka Usd katka quote zote ambao
Msingi ni kuuza currency inayoshuka i.e Xau/Usd katka mfano wko.
Case ya pili.
Apo inawezekana kununua Eur/Usd lakn kuiuza wakat huo huo kwny quote ya Eur/Gbp haiwezekan mana bdo inapanda, myb km Gbp inapanda kwa kasi zaid bt bdo itafnya consolidation(price inatembea kwny range ndogo, probably unproftble..
yaani Few pips)
Case ya tatu
Km Eur inashuka unaweza kuuza kuzngatia izo counter currency zke Usd na Gbp.
Unaweza nisahihisha pia.
All the best uelewa wngu so far.
Mkuu, forex si currencies peke yake, kuna commodities pia. Unaweza ku-trade kahawa, maharagwe na mahindi.Na pia madini kama dhahabu, silver na Nickel. Namuelewa sana Ontario anapojisikia vizuri ku-trade mafuta. Mara ya kwanza wakati nazunguka kupata maarifa nikaona kumbe inawezekana ku-trade mafuta na gesi, nikafanya hivyo fasta kwenye demo (ili tu nijisikie proud kufanya kitu nna background nacho [emoji1]).....nilipigwa kwenye natural gas lakiniHabari yako mkuu ONTARIO
1.Nimesoma cooment yako ya nyuma kwamba ulitrade mafuta, Hapa umenuchanganya sana maana i thought forex inahusisha tu pesa za nchi mbali mbali na wala sio mafuta.
2. Mpaka sasa nimeshindwa kupata vitabu vya forex, Ka vp naomba unipe list nivishushe.
Ni hayo tu ambayo ningeomba unieleweshe
GOOD NIGHT TRADERS. SEEMS MY FIBONACCI RETRACEMENT WAS DRAWN QUITE RIGHT.
Get yourself some stuffs to read about fibo down there after the graph. Kuna wachache walinicheck PM nikaahidi kushare learning materials za FIBONACCI. Hizo hapo chini zimenisaidia sana
View attachment 533768
Hili swali lako limenikumbusha hiki kitu Currency correlation ingia hapa: Forex Market Hours-Nimeelewa uliposema nisinunue na kuuza the same currency kwa muda mmoja!
-Mfano, Je ni sahihi kununua EURUSD na kuuza EURGBP at once??
-Je ni sahihi kuuza EURUSD na kuuza EURGBP??
Tuendelee kuwekana sawa mkuu na kukumbushana pale inapobidi!!
Sterling Higher after Hawkish Comments | DailyForexleo naona kingeza kinapandisha mzuka hadi raha chezea dollari wewe
Download link: The Forex - Books[Mwl.RCT].zipMwl.RCT mkuu kwema kuna vitabu nimeshauriwa kupata hapa na wewe ndio muwezeshaji wa hili jambo msaada wako mkuu "tafuta cha bible of forex kipo humu na kizuri sana, pia kuna cha stro fx na naked forex!! nadhan @Mwl.RCT atatusaidia kukupatia u-download!!"
Mkuu unamanisha Banc ABC nao ni kimeo, maana nina cash card yao ya usd.Waongezee na BancABC katika hiyo list.
HAHAHA umenikumbusha prof wangu mmoja wa SUA niliposoma yeye karibia asilimia 80% ya muda alikua anaongelea matatizo na jinsi chuo wanavyomtreat japokua yye alikua ndio founder wa course fulani.Weekend bhana, leo nimefurahi sana
Unajua bana mimi chuo nilisoma BSc. Petroleum Chemistry hapo UDSM, basically hii ni sayansi inayohusika na refinery ya gas na mafuta. Yani crude gas and oil tunazibadili kua final usable products kama LPG, CNG, Ammonia, ammonium fertiliser, mambo ya diesel, jet fuel, gasoline nk nk. Hapo chuo tulikua wachache watu kama 21 hivi, so Prof ni rahisi kujua darasa zima.
Sasa tulikua na Prof mmoja, alikua kama mama'etu. Yani kwenye pindi lake alikua anatuPump vby mno na kututamanisha kuhusu hii field yetu, kua kuna pesa vby mno, site kuna marupurupu, incentives, mishahara ya kibabe... Basi kila akiwa anakuja pindi watu wanatamani kumsikiliza yule mama, anafundisha kidogo anaruka kwenye mambo ya site, michongo na madili ya gas na mafuta... yani hapo sisi tunakua tunahamasika vby mno, yani tukampendaga bure yule mama. Akawa kama rafiki yetu, akawa academic advisor wa karibia sisi wote... yani she was more than a friend.
Leo bana kuanzia saa 5 asubuhi nilikua Golden Tulip na mtu wangu wa faida. Tumekaa pale, tumezungumza sana, tukala lunch na kila kitu. Mchana mida ya saa 8.30 akaja huyu Prof wangu wa chuo, nikamuona ila yeye hakuniona. Akawasha PC yake akaagiza kinywaji, akaendelea na shughuli zake, baadae kidogo akaja mwenzie ambae ni km mzungu wakaagiza misosi wakawa wanakula.
Mimi nikamshtua muhudumu, nikamwambia yule mama pale nipo nae, so anipe bill yake. Bill ikaletwa nikailipia... Baadae Prof anataka kulipa ndio anaambiwa tyr bill yao imeshalipwa, kucheki ni mimi... Dah basi tukaanza pale story baada ya story.
Madam ananiuliza vipi bana unafanya kazi wapi?? Nikamwambia bado sijaajiriwa Prof, akashangaa sasa imekuaje unaweza kuja huku na kutumbua pesa. Akawa ananilaumu nimesoma Petroleum bure, bora ningesoma hata education hiyo mambo niwaachie watu wengine - kwamba niliwazibia watu wengine nafasi. Ndio nikamweleza kua kusoma petroleum kumenisaidia kuweza kua na uelewa mpana wa OIL hata sasa naweza kutrade OIL professionally. Nikaanza kumwambia mambo ya Spot Crude oil (USOIL.sp), Spot Brent Oil (UKOIL.sp), July Crude Oil (USOIL), July Brent Oil (UKOIL). Prof akabaki anatumbua macho - yani nimempoteza haelewi kitu.
Prof wangu nikaanza kumkamulia pindi pale - prof akawa anatikisa tu kichwa. Nikamwonesha trading platform yangu, yani ndio nikamchanganya kabisa - alivyoona figures ndio akachanganyikiwa kbs tena zikiwa ktk international currencies - yani 1/3 ya mshahara wake wa mwezi mimi naupata in few trading hoursEdited: screen shot nilivyoTrade OIL ijumaa pekee
Yani Prof kawa very inspired, anatamani classes zianze hata leo... kachukua namba zng za simu kanitumia text za kutosha kua nisimsahau. Hahahaaa!!
Thanks kwa observation nzuri mkuu, ningewalisha watu tango pori hiyo graph.Mkuu BENNICK mbona kama hiyo FIB yako imekaa upside down? yani kama vile umeiweka viceverse .....Hapo mimi naona market ina trend Bullish so Fib Point A ingeanza kwenye Higher Low (100%) kuelekea upright towards FIB point B kwenye Higher highs (0.00%) then hapo ndio ungeona c-retracement (either 50%,38.2% au 61.8%) for which case hapo kwako market ime retrace at 50.0%) and hence finally you could be able to see extension levels (D1%D2)? Hapo kwako naona tofauti mkuu nieleweshe please.
Niko tayari kukosolewa kama nimeenda chaka
MAY ALL THE PIPs BE WITH US AMEN.
Mkuu unamanisha Banc ABC nao ni kimeo, maana nina cash card yao ya usd.
@genivorusDownload link: The Forex - Books[Mwl.RCT].zip
File size: 39mb
Books Uploaded
1. AstroFX Training Book
2. Naked Forex High-Probability Techniques for Trading Without Indicators -Wiley Trading
3. The Forex Bible
4. Forex Godfather Elite - Mpangilio wake nikama wa Babypips .COM
geniverosDownload link: The Forex - Books[Mwl.RCT].zip
File size: 39mb
Books Uploaded
1. AstroFX Training Book
2. Naked Forex High-Probability Techniques for Trading Without Indicators -Wiley Trading
3. The Forex Bible
4. Forex Godfather Elite - Mpangilio wake nikama wa Babypips .COM