Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Aisee MT4 yangu mbona sioni oil.? Au ipo sehem gani nielekezwe chief
hapo hapo kwenye Mt4 ....step 1, nenda kwenye MARKET WATCH and click to dispay it ( au kama list ya pairs inaonekana basi endelea na step 2......step 2, right click any pair and then click "show all" baada ya hapo zitaonekana pairs zote cha kufanya wewe scroll down hadi mwisho kabisa utaona Pair za OIL na zinginezo.....

Cc Lodrick Thomas

MAY ALL THE PIPs BE WITH US AMEN.
 
Mm ngoja nisome kwanza vitabu 2 au 3,nitoe giza kuhusu hii kitu,hayo mengine badae.ni mwendo wa chapter after chapter tu sasa hivi.
 
Naona mkuu kwa sasa upo SA mnara unasoma SA uko vizuri
 

Kama nimekuelewa vizuri ...

1. ECN wana spreads kubwa, tofauti na market markers. lakini tujue ukikwepa wide spread utaangukia kwenye commisions!



2. XM sio wazuri! Hapa nakuunga mkono maana sio XM tu, brokers wengi wana mapungufu na ubora wao!

Sasa mkuu, broker gani unayemtumia???
 
Kiongozi nilichelewa kusoma but I am very interested having gone through.... Your training manual
 
Je unatumia fundamental analysis katika ku-trade?

Ni ukweli usiopingika kwamba technical analysis ni muhimu sana ila hamna namna utafanya forex trading bila kuitumia fundamental analysis!

In brief!

Fundamental analysis. Hii inatumika sana kuweza ku-project trend ya soko kwa kuangalia matukio yanayotokea kwenye nchi za wenzetu (western countries)! Tukio linaweza tokea likawa na madhara hasi au chanya kwenye shilingi ya nchi husika au kanda fulani! mfano mzuri, wiki iliyoisha tumeona jinsi euro ilivyopaa na jinsi dola ilivyoshuka!

Kama hiyo haitoshi pia tuliona jinsi oil (crude oil) ilivyopaa na kufika 48-49 dola kwa tank pia tuliona jinsi gold ilivyoshuka thamani!! Sasa haya yote yalitokea baada ya matukio flani yaliyotokea huko kwa wenzetu!!

Techinical analysis. Hii tunatumia zaidi bei iliyopo kuweza kutabiri muenendo wa soko katika kipindi flani either dakika, dakika tano, lisaa, wiki au mwenzi! hapa utakutana na njia kama fibonacci, moving averages na nyingine kama hizo!!

Lakini techinical analysis pekee haitoshi kuna muda inatupasa sisi kama wafanya biashara wa fedha za kigeni au bidhaa za kigeni kuwa na uelewa wa matukio yanayotokea kwa wenzetu mfano hotuba za wakuu wa benki, chaguzi za nchi mbali mbali na mengine ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza ku-influence mwenendo wa soko au mwenendo wa shilingi ya nchi husika!!

Je ili unaweza kutumia vyanzo gani ili uweze kupata habari za matukio kwa ajili ya fundamental analysis?? Binafsi nimekua nikizitumia hizi...

Daily FX. Wanakupa kila tukio, zaidi ya yote wanatoa elimu hasa katika forex!

Link: Forex Trading News & Analysis

Investing.com Hawana tofauti sana na daily fx. Wao wana app yao pia

Link: Investing.com - Stock Market Quotes & Financial News

Bloomberg. Hawa sijawatumia ila wanaonekana wako bora sana!

Link: Bloomberg - Africa Edition

Swali je, Euro itaendelea kupaa wiki ijayo? je oil itaendelea kupaa wiki ijayo? je dola ya marekani itaendelea kupitia wakati mgumu wiki ijayo?

Pamoja na kufanya technical analysis sio vibaya tukawa tunaangalia pia analysis zetu katika fundamental analysis!!

Je wewe unatumia vyanzo gani vya habari katika fundamental analysis??

Lodrick Thomas (Eng.)
 
Ahsanteni sana kwa elimu,ONTARIO kama hutajali tupe namba yako utujuze mengi.
 
Natumia investing
 
Huu mchezo mzuri sana ukiuelewa wandugu.Mungu akubariki ontario.ngoja tuendeleze kisomo taratibu.
 
Reactions: MC7
CRDB vipi wakuu ninauliza mana nina card waliniambiaga naweza ibadili kuwa ya dolari
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…