Hivi nani ametengeneza ata $100 tangu muanze shabikia forex trading? Dahaa! Amakweli! Kweli Magufuli kabana wizi holelaholela watu wanakimbili kwenye Forex!
Pole na mishuhuliko Mkuu.. Naamini watu wakaribu hapo watjitokezay.. Pamoja tunaweza"Guys naomba mnisaidie kitu - tukiwa tunakamilisha kamilisha
Off topic, doesn't relate to FX - Nimeona nipost hapa coz hua sina WhatsApp group yoyote ya kibongo kuweza kupost, so here is the only place I could share this.
Nahitaji mtu anilink na transportation agent yoyote ambaye ataweza kupakua mizigo yangu kutoka Airport (JKN airport) hadi Victoria (DSM) zilipo ofisi zetu.
Roughly mzigo ni less than 1 tonne, portable goods, could be delivered with 1 trip. Kama kuna mtu yoyote unamfahamu please PM me. Au kama utaweza kushare kwa whatsapp group ili tupate info. Please guys help me on this ASAP. Kama tukipata taarifa kamili leo itakua rahisi zaidi.
Salute guys, and enjoy NFP coming ahead
with due to respect naomba uniwekee batch namba moja tafadhali hao wasaga sumu hata kwetu wapo...
Wewe bata utarudi hapa kuomba msamaha, afu kutuita watu wezi mama yako ndio mwizi na baba yako ndio tapeli, fala wewe... Acha tuanze, we all know forex is not an easy game, but we will get it done. Acha tuanze, results will speak not words. I spend few hours kuingiza pesa unayoingiza kwa mwaka. Convert $1,800 to Tsh rate ni 2235. Tulikubaliana tupeane muda, batch ya kwanza ikianza naomba unipe miezi mitatu...
Asante mkuu nashukuru sana kwa kujali pamoja Sana in pips name Amenmkuu forex bible hyo hapo kama bado hujapata
Mkuu tunafahamu ni jinsi gani unavyopata hasira unavyo fight kwaajili ya vijana wenzako lakini wachache wanakuja na vi maneno vyao vya kanga.
Wewe bata utarudi hapa kuomba msamaha, afu kutuita watu wezi mama yako ndio mwizi na baba yako ndio tapeli, fala wewe... Acha tuanze, we all know forex is not an easy game, but we will get it done. Acha tuanze, results will speak not words. I spend few hours kuingiza pesa unayoingiza kwa mwaka. Convert $1,800 to Tsh rate ni 2235. Tulikubaliana tupeane muda, batch ya kwanza ikianza naomba unipe miezi mitatu...
kuna binadamu umaskin wako ni furaha kwaoNaomba usipoteze muda kjibu hoja za wapuuzi kama hawa hawataki maendeleo yetu muda utawajibu
Mkuu tunafahamu ni jinsi gani unavyopata hasira unavyo fight kwaajili ya vijana wenzako lakini wachache wanakuja na vi maneno vyao vya kanga.
mkuu watu kama hawa achana nao wasikutoe kwenye line.. Muda utawajibu.. Tulio na imani na hii kitu ni wengi kuliko hawa wanao bwabwaja nonsense..
Wewe bata utarudi hapa kuomba msamaha, afu kutuita watu wezi mama yako ndio mwizi na baba yako ndio tapeli, fala wewe... Acha tuanze, we all know forex is not an easy game, but we will get it done. Acha tuanze, results will speak not words. I spend few hours kuingiza pesa unayoingiza kwa mwaka. Convert $1,800 to Tsh rate ni 2235. Tulikubaliana tupeane muda, batch ya kwanza ikianza naomba unipe miezi mitatu...
with due to respect naomba uniwekee batch namba moja tafadhali hao wasaga sumu hata kwetu wapo...
Guys naomba mnisaidie kitu - tukiwa tunakamilisha kamilisha
Off topic, doesn't relate to FX - Nimeona nipost hapa coz hua sina WhatsApp group yoyote ya kibongo kuweza kupost, so here is the only place I could share this.
Nahitaji mtu anilink na transportation agent yoyote ambaye ataweza kupakua mizigo yangu kutoka Airport (JKN airport) hadi Victoria (DSM) zilipo ofisi zetu.
Roughly mzigo ni less than 1 tonne, portable goods, could be delivered with 1 trip. Kama kuna mtu yoyote unamfahamu please PM me. Au kama utaweza kushare kwa whatsapp group ili tupate info. Please guys help me on this ASAP. Kama tukipata taarifa kamili leo itakua rahisi zaidi.
Salute guys, and enjoy NFP coming ahead
Ujue mtu kama huyu ukimsoma kwa haraka haraka.. Inaonyesha kama hii ishu anaijua vema.. Hapa kinachompeleka ni wivu kwann na hawa wajue.. Anachofanya ni kujaribu kucansel watu..kuna binadamu umaskin wako ni furaha kwao
na kumuona mwenzao anafanikiwa kwao ni sumu
absolutely true...Ujue mtu kama huyu ukimsoma kwa haraka haraka.. Inaonyesha kama hii ishu anaijua vema.. Hapa kinachompeleka ni wivu kwann na hawa wajue.. Anachofanya ni kujaribu kucansel watu..
Ila ni mwambie tuu huwezi izuia ridhiki ya mtu inakuja popote na kwa muda wowote.. Ye apambane kivyake na wengine tutapambana kivyetu.. God with us
Umewaza na mm nilikokuwa nawaza, Watz wengi tunaroho mbaya! Ndio maana hatufanikiwi.Ujue mtu kama huyu ukimsoma kwa haraka haraka.. Inaonyesha kama hii ishu anaijua vema.. Hapa kinachompeleka ni wivu kwann na hawa wajue.. Anachofanya ni kujaribu kucansel watu..
Ila ni mwambie tuu huwezi izuia ridhiki ya mtu inakuja popote na kwa muda wowote.. Ye apambane kivyake na wengine tutapambana kivyetu.. God with us
Umeonaeehabsolutely true...
huyu anaona na sisi tutatoka
kumbe riziki mafungu sabaa
Hivi nani ametengeneza ata $100 tangu muanze shabikia forex trading? Dahaa! Amakweli! Kweli Magufuli kabana wizi holelaholela watu wanakimbili kwenye Forex!
Ndivyo binadamu tulivyo mkuu, Muhimu ni kujua hatupo sawa hivyo tuishi kwa kukubaliana na tabia na hali zetu. Huku kila mtu akili kichwani kwakeUmewaza na mm nilikokuwa nawaza, Watz wengi tunaroho mbaya! Ndio maana hatufanikiwi.
Kaka acha roho mbaya, hata hela zikipotea ni zetu tumeamua
Mkuu, hiyo ni demo au real!Sipendagi ujinga simba mwinda pole ndo mlanyama
Pliz Ontario the big boss,your smart upstairs more than most of us,lakin naomba nkukumbushe vitu viwili
Wewe bata utarudi hapa kuomba msamaha, afu kutuita watu wezi mama yako ndio mwizi na baba yako ndio tapeli, fala wewe... Acha tuanze, we all know forex is not an easy game, but we will get it done. Acha tuanze, results will speak not words. I spend few hours kuingiza pesa unayoingiza kwa mwaka. Convert $1,800 to Tsh rate ni 2235. Tulikubaliana tupeane muda, batch ya kwanza ikianza naomba unipe miezi mitatu...
daah kunywa PEPSI kwa mangii ntalipa mwenyeweUmewaza na mm nilikokuwa nawaza, Watz wengi tunaroho mbaya! Ndio maana hatufanikiwi.
Kaka acha roho mbaya, hata hela zikipotea ni zetu tumeamua
Welldone! Now you learning in the right way with humility and obedience, without throwing insults to people you don't know. Asante sana dogo!Ok mkuu tumeona tumeelewa tumefunguka akili pia kwa hiyo article ime add some things na tutafanyia kazi... Kwa niaba ya wote niseme asante sana.
Well said.HV bro shida yako nn, tumekuelewa tunaibia POA nyamaza!
Kwann unawashwa??
Kwann unaonesha kukerwa?
Tuache basi!