heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NA je utapoifungua hii account utawaambia kwamba utaitumia kwa forex, mana benk nyingine kupokea pesa kutoka nje ni shida, pia kadi yao wanaruhusu kufanya manunuzi kwenye mtandaoHata mimi hii kitu niliwaza sana!! Maana bank wao wanachange kwa 2303 kwa dola moja (equity bank)! Kiasi flani ni kubwa!
Nadhani ulichowaza ni sahihi unaweza ukazibadili ukapeleka dola kwenye acc yako!!
Ila ni vyema ukawa face bank ukauliza hili swali nadhan watakupa mawazo yao pia.
Acc nyingi zina support foreign currency na tsh pia!
nenda na kitambulisho chako cha taifa /kura na kiwago cha kufungua account ni elfu kumi tu..10,000. unafungua account ndani ya nusu saa unaanza kazi forex..mkuu Upepo wa Pesa, ni vigezo gani natakiwa kuwa navyo ili kufungua account IQUIT FASTA
ASANTE Mwinjuma1nenda na kitambulisho chako cha taifa /kura na kiwago cha kufungua account ni elfu kumi tu..10,000. unafungua account ndani ya nusu saa unaanza kazi forex..
hawababaishi kudroo fedha kama umetrade ukatumiwa ka profit@Mwinjumanenda na kitambulisho chako cha taifa /kura na kiwago cha kufungua account ni elfu kumi tu..10,000. unafungua account ndani ya nusu saa unaanza kazi forex..
GoodDouble top and bottom,last kiss,Big belt,big shadow,kangaroo,hizo nafikiri ni kama tools ambazo unazitumia kuisoma price action,yaani ku confirm trend then you apply sell or buy,but that's according how I have understood.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambulisho chako either cha uraia au kupiga kura!mkuu Upepo wa Pesa, ni vigezo gani natakiwa kuwa navyo ili kufungua account IQUIT FASTA
Huna haja ya kuwaambia maswala ya forex waambie tu wai activate ili iwe na uwezo wa kufanya online transaction baaasi!! Ikiwa activated hata forex itafanya bila shida!NA je utapoifungua hii account utawaambia kwamba utaitumia kwa forex, mana benk nyingine kupokea pesa kutoka nje ni shida, pia kadi yao wanaruhusu kufanya manunuzi kwenye mtandao
Ooh, elimu haina mwisho wacha nizifuatilie kiundani.Yah, hizo kangaroo tail, double top, double bottom, wedges, channels, nk ndo price actions zenyewe, ukifanya top down analysis vyema. Indicators huwa zinatumika tuu kusupport tuu. High probability of winning itakuwa on your side.
benki unaweza kutumia benk abc au FNB.au uka agiza kadi toka njee kama epayment na kua access atm yoyote
hawana shida wanaelewa nini maana technology.hawababaishi kudroo fedha kama umetrade ukatumiwa ka profit@Mwinjuma
Shukrani mkuuKitambulisho chako either cha uraia au kupiga kura!
Alafu uwe na buku kumi ya card.
Hapo umemaliza.
Baada nusu saa unapata acc yako na kadi yako ya visa.
Waambie wai activate ili iwe na uwezo wa kufanya online transactions (hii ni muhimu na ni free)!
Hao cjui,cheki equity,niliambiwa ni wazuri,wapo iringa?Vipi kuhusu Exim au Diamond Trust bank??
Hapa Iringa hakuna FNB. Nimeshaanza mchakato wa kujiunga na Exim.
Sent using Jamii Forums mobile app
pole..ulijisahau nini!!IQ Option niliweka $10 wamenigongaje
Nami Mkuu nakuulisaje at ni vema kutumia hii naeza kufanya kwa smart phone ama laptop@upepo wa pesa.Okey!
Mimi nilifungua equity(wako simple hawana mambo ya mtendaji wa kijiji wala mwenyekiti, kila kitu fasta)!
Sasa nikitaka kuweka dola mia naangalia je dola moja ni sawa na tsh ngapi?? Then napiga hesabu naweka kiasi nnachopata!!
Kwa kifupi fungua acc ya kawaida weka tsh zako then ukitaka kuweka kwa dola kwa broker wao watabadili huku huko!! Si lazima ufungue acc ya dola au euro!!
Ukifika bank watakupa ushauri zaidi!
Sure!!! asee mi binafc nilimuelewa Antario sasa Shida iko mahali..firstly hali ngumu n'then ndo'kwnza atlist kakozi tngepata kwanza ivivi kweli sjui kama itapanda asee.elimu hii kwa kuandika ni ngumu maana kueleza ni kugumu mpaka kueleza kwa kuongea na vitendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri,....wadau ni kweli inabidi tuwe makini na hizi bank kwani ukifanya mambo kwa pupa na ku-take easy itakuja kula kwako....Hapa namaanisha nini? Kwa wale ambao wanafungua akaunti za live hakikisha kuwa huyo broker wako atakuwa na njia nzuri ya kukulipa, hapa nina maana kuwa ni lazima ujue kuwa ni njia ipi anatumia broker kukulipa pesa zako pindi pale unakapohitaji ku-withdraw.......nina hakika kila broker ana njia zake za kulipa......najua kuna wengine wanalipa through paypal......wengine wanalipa through kadi yako ya bank ambayo itakuwa Prepaid credit viza card.....na kuna broker wengine wanalipa kupitia Bank tranfer au bank wire system.....Kwahiyo cha msingi hapa ni kuwa makini na broker wako analipa kwa mfumo upi! ambao kwako itakuwa rahisi kupata hizo pesa zako iwapo ukiamua ku-withdraw. Kwani kama nilivyotaadharisha kuwa inawezekana ukashindwa ku-withdraw dola zako kutokana na mfumo ambao broker anatumia kulipa trader.....kivipi? ......Kwa Mfano kuna broker ambao wao wanalipa kupitia PAYPAL MERCHANT TU!.....Na hana njia nyingine ya kulipa zaidi ya hiyo ya kupitisha pesa zako through paypal account yako!.....Je broker anayetumia paypal account unaweza pata pesa zako???.....Jibu ni hapana! huwezi pata pesa zako, kwa sababu Paypal merchant au paypal money processor hawana mkataba wa makubaliano wa kufanya online transaction through kadi zetu za viza au bank za hapa tanzania, kwa sababu hiyo hakuna huwezo wa pesa kuingia kwenye account yako ya paypal na kisha uka-withdraw au ku-transfer pesa kwenye account yako hapa bongo......Kwa wale ambao wanafahamu maswala ya online transaction wanajua ni nini anaongelea hapa.....Ebu naomba mnielewe vizuri hapa....ninaposema kuwa Paypal money processor hawana mkataba au makubaliano.....jua kuwa ni lazima serikali inahusika hapa...kwahiyo hayo makubaliano au mkataba ni lazima waingie na serikali ambayo ndio BOT. Lakini kumbuka kuwa hii paypal kwa Tanzania inafanya kazi lakini ni kwa kufanya malipo ya online tu na si kupokea pesa!.....kwa kutumia paypal account yako ambayo utaifungua basi inayo feature ya kukuwezesha ku-link kadi ya either ya debit viza card au Pre-credit viza au mastercard viza......ambayo sina hakika kama inatolewa hapa tanzania.....kwahiyo kwa ku-link hiyo kadi yako kupitia paypal basi unaweza kufanya mihamala ya online popote paypal account inapohitajika...lakini huwezi kulipwa kupitia paypal kwani hakuna features za ku-transfer au ku-withdraw pesa zako mpaka kwenye account yako ya bank.