Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
eb2b588c61e4b1e5bb922927465c2366.jpg



Demo account kwa Leo .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
wadau vipi?..nimekaa nikajiuliza, hivi ukifanya analysis yako ukapata opportunity ya uhakika inakuwaje ukiamua kupiga na lotsize kubwa?..

ukiwa na pair ukaifanyia kazi kisha analysis yako ikaendana na mambo mengine ya msingi kama vile news updates,indicators na mengineyo,yani kifupi kuna uhakika 99% kwamba mambo yataenda kama ulivyotegemea,inakaaje ukiamua kupiga lotsize kubwa?..naelewa umuhimu wa risk management ila hapa ifahamike kwamba aspects zote zinafavor position yako hivyo ukaamua kufungua position kwa volume kubwa..cheki hii screenshot hapa


acbce9e9ddf96ec6c36f4cb2fec643f0.jpg


utagundua ni pips kidogo ila impact katika profit ni kubwa mno....

kilicho nipelekea kutaka kujaribu hili ni baada ya kugundua traders wengi ambao ni professionals hawatumii 0.01 au 0.1..utapata wanapiga 2.00,3.00 n.k..yupo huyu msauzia Andile nimeona anapiga na 5.00.

ila sijapendekeza kwa namna yoyote ufwate hili.ni maoni tu.
Noo noo hilo ni kosa kubwa sana boss wangu, the bigger the lot size the larger the profits and as well the larger the loss. Hakuna kitu kama 100% perfect analysis, hkn anayejua sekunde 2 zijazo nini kitatokea kwenye forex, so why must u risk the whole of your account over 1 single trade. Ikikuendea kushoto maana yake umeunguza account. And remember hiyo ni pesa umeitolea jasho, then uipoteze in an eye blink.

Fanya analysis nzuri, uwe na sababu kama 4 kwanini unaingia kwa iyo trade na pia panga your exit point, then place proper lot size inayoendana na account yako.

Mfano hapo kwenye screen shot yako utaona umetumia lot ya 10 kupata faida ya $100 but I used 0.15 kupata more than that. So lot size doesn't matter. Mtu anaeza kutumia 0.02 akagonga faida kubwa hata zaidi ya mkurupukaji aliyetumia 5. So ni matter of patience and good entry point.
dfdef0aa21c01e51dbef9c0f49d13154.jpg
 
Duh! This dude really needs deep knowledge

Sent using Jamii Forums mobile app
Apart from the so called deep knowledge! What I see, the most important aspect(s) of this game is...

1. Your psychological state (psychology).

2. Your patience.

3. The courage to learn from your mistakes and to start afresh when things did not work as per your espectations! How are you able to handle the unexpected??

4. Capital

Source: My experience.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom