Welcome back Mkuuhali vipi wanafunzi wenzangu?..nafurahi sana kuona kwamba mngali mnapiga darasa bila utani...inatia moyo sana kuona kwamba bado we are determined..niwapongeze wote na niwashukuru sana kwa bidii na kujitolea....
Kila la heri mkuu!!MREJESHO
MIMI NACHANJA MBUGA SIRUDI NYUMA ACHA NIKAFIE MBELE
Jana jamaa walinitaarufu wamecredit kwenye account yangu tayari ko tayari mzigo kuingia sokoni, wamenipa siku 10 niwe nimeanza kutrade la si hivyo pesa itarudishwa kwangu
View attachment 556224
nadhani hapo chini mnaweza mkaona USD 300 kama nilivyoanza nayo.
mkuu hapa hamna cha la saba..bora uwe na nia manake wadau hapa wanaweka mambo straight..ukizama chimboni ukaona hujaelewa unakimbilia humu na kutupia swali lako..kisha jibu unalipata,tena from different points of view hivyo utaelewa tu upende usipende[emoji3] ..ila jikakamue sana usome vitabu vilivyopendekezwa..jaribu kupitia comments pia utapata jambo..
Huu ushauri ni wa kuchukua aiseee!!
Inatulinda tusichome acc kwa kufungua trade positions bila kuendana na size ya capital.Huu ushauri ni wa kuchukua aiseee!!
Goodluck..MREJESHO
MIMI NACHANJA MBUGA SIRUDI NYUMA ACHA NIKAFIE MBELE
Jana jamaa walinitaarufu wamecredit kwenye account yangu tayari ko tayari mzigo kuingia sokoni, wamenipa siku 10 niwe nimeanza kutrade la si hivyo pesa itarudishwa kwangu
View attachment 556224
nadhani hapo chini mnaweza mkaona USD 300 kama nilivyoanza nayo.
mkuu nashauri ungemtumia Mw RcT kwa njia ya email nadhani yeye atakuwa na mbinu nyingi za kushare hiyo document hapa.Nimejaribu kuattach hii document ya excel nimeshindwa.
Nimejaribu kuconvert kwenda pdf, imetokea document nusu.
Nipeni ushauri wa cha kufanya..
Compress hilo excel file liweke kwenye zipped file halafu halafu attachNimejaribu kuattach hii document ya excel nimeshindwa.
Nimejaribu kuconvert kwenda pdf, imetokea document nusu.
Nipeni ushauri wa cha kufanya..
Cc mwl rctmkuu nashauri ungemtumia Mw RcT kwa njia ya email nadhani yeye atakuwa na mbinu nyingi za kushare hiyo document hapa.
Ni pm no yako ni Ku pm no ya mwl Rct coz pm yako imefungwaNimejaribu kuattach hii document ya excel nimeshindwa.
Nimejaribu kuconvert kwenda pdf, imetokea document nusu.
Nipeni ushauri wa cha kufanya..
Siamini hii kitu na sitakaa niamini....kama mtu ana uwezo wa kumake 250$ per day kwa nn aangaike na ka 250$ kako eti mgawane faida 50/50....kweli????no way..
Namba ya simu sitaweza kukupa.