Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Mkuu vipi ulifanikiwa kuwithdraw your transactions ? ... maana nina account crdb ila naoana mapicha picha tu kwao nd i wanted to shiftt to FNB ......
 
Mkuu vipi ulifanikiwa kuwithdraw your transactions ? ... maana nina account crdb ila naoana mapicha picha tu kwao nd i wanted to shiftt to FNB ......
Juzi jioni nilikwenda kucheck nikakuta bado hazijafika..
 
naombeni niwaulize kitu hivi hii forex IPO kama mchezo betting ? yani ile hali yakukisia kwamba mfano dollar itapanda au itashuka
 
Je unaweza kuhamisha Pesa kutoka Crdb to scrill bila shida?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikushukuru sana kamanda. This is what I have been waiting for, tatizo hawa bankers nadhani ni ushamba unawasumbua. haya mambo yanawasaidia hata wao kuongeza bank revenues sijui wamekulia wapi na karne ipi bado sijapata jibu. Tatizo kubwa they are so rigid hata kusoma kidogo kinachoendelea duniani hawawezi, basi wanatamba na vyeti obselete vya Phd, Masters, CPA, CISA, ACCA, Postgraduate, na kadhalika ila ni WATUPU ile mbaya. hutakaa uwasikilize hata dakika kumi perceptions zao. Pathetic!!!!!!
 
Sorry mkuu, Kuna uwezekano wa kuhamisha pesa zangu kutoka kwenye iyo pioneer bank kwenda kwenye hiz local bank zetu ili niweze kudraw kupitia hiz bank zetu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Done.

How to use it.

Green - Bullish

Red - Bearish

Partial Green - Partial Bullish

Partial Red - Partial Bearish

Not all the time the sheet works. Don't rely on it all the time, but it works most of the time..

You need also to test it and incorporate to your trading strategy.

Don't copy and paste.

The fundamental side can be changing most of the time and doesn't stick to one pair per see. So, news pay not affect the pair started on the sheet.

So be careful with it, it's not a dogma to stick to it.

Be flexible.
 

Attachments

Aisee, nimeipenda sana ila kuna kitu ningependa kujua zaidi ww unafungua ofisi na yote mengine unayofanya juu ya biashara hii. Je? once unafanikiwa kumuinroll mtu kwa biashara hii unapata commission?

Sent using Jamii Forums mobile app

hata mimi ningependa kujua yeye anafaidika vipi kunifundisha mimi nijiunge forex? mpaka anafungua ofisi gharama za kodi, gharama za kukodi ukumbi wa kutufundisha atazirudisha vipi? kama kuna hidden cost au hidden information tuzijue mapema
 
hata mimi ningependa kujua yeye anafaidika vipi kunifundisha mimi nijiunge forex? mpaka anafungua ofisi gharama za kodi, gharama za kukodi ukumbi wa kutufundisha atazirudisha vipi? kama kuna hidden cost au hidden information tuzijue mapema
Kuna wenzako wameanza kujisomea toka huu uzi uanze na sasa hivi kuna ambao wameshafungua live accounts na wanaanza kutrade.
Wana uwezo wa kwenda kwenye training na wasiende. Ila wameifahamu forex kwa mara ya kwanza na wakaifanyia kazi.
Endelea kusubiri hadi ufundishwe.
 
hata mimi ningependa kujua yeye anafaidika vipi kunifundisha mimi nijiunge forex? mpaka anafungua ofisi gharama za kodi, gharama za kukodi ukumbi wa kutufundisha atazirudisha vipi? kama kuna hidden cost au hidden information tuzijue mapema
Bila Shaka hujapitia vizur uzi huu& kwa kua hujapitia vizur naomba nikujibu kama ifuatavyo "mwanzon kabisa Ontario alisema kua atatoa OFA kwa watu 300 wa kwanza, badae kidogo akashusha toka 300 ad watu 150. Kitu chochote kinachoanza kwa OFA lazima kilipiwe badae, kwa maelezo ya PRO.Ontario (sikumbuk ni post namba ngap) bt alisema ataanza na Hao wachache af watakao fuatia watakua wanalipia mafunzo kwa Ada kama ya SCHOOL OF LAW, naomba niishie apa.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata mimi ningependa kujua yeye anafaidika vipi kunifundisha mimi nijiunge forex? mpaka anafungua ofisi gharama za kodi, gharama za kukodi ukumbi wa kutufundisha atazirudisha vipi? kama kuna hidden cost au hidden information tuzijue mapema
Unajichanganya kwa sababu tu umeona uvivu kusoma,maswali hayo magumu unayojiuliza unajipa shida bure,hii kitu ni rahisi sana,soma page ya kwanza kabisa ya ontario na hautajitesa hivi na maswali magumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Bavaria hii mambo mbona inagoma funguka kwenye simu nafanyaje ifunguke?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…