Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Kwa wale wavivu wa kusoma, huu ni muhtasari maridhawa. Baada ya hapo unaenda kuongezea nyanga vitabuni tena.
 
ndio.mkuuu azija ingia mpaka leo na nimeshaenga mpaka nimesha enda NMB branch moja apa kitaaa nikawaielezea wakajiambia awajui dah apo ndipo nimeona bongo bado sna
Hizo OTP huwa zinatumwa as sms ya kawaida tu aijaingia?

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah yule tapeli aisee acha tu sasa kwa mini anajikosha tena? Inamaana haoni hata aibu?

Any way ngoja niendelee na msuli tapeli nae atapita tu mana tudhakatishwa tamaa sana kuanzia may paka Leo tupo tu na bado watakuja tu but we stick in a plan and the best plan in kwamba
Afe kipa Afe beki ila Forex must be understood!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa sauti ya mkuu ONTARIO "kutosoma vitabu katika forexhakujawahi kumuacha trader SALAMA "....all in all tuko pamoja kaka..... Mwenyezi MUNGU azidi kukupa nguvu ya kutupigania wahenga wenzako pia shukrani kwa kutuokoa kwny midomo ya mamba...... Maana wapo weng,wakitega mabomu we unafyatua hahahaha.... USIOGOPE MAADUI, NA STARRING HAUWAWI. .. .......nko live tickmill yangu.... Huku namsubri sir.J
 
Wadau leo nime test kusoma chart tu na ku try kucheck trend inavokwenda especially nili base sana kwenye Price Action and it's history za currency pairs tofauti tofauti,nikawa kama scalper hivi basi zimejipa kinoma nimekula pips za kutosha kwenye demo kama ni live account kwa pesa za madafu it's almost 1 million hivi just today only today.jamani Chief Ontario anavyosisitiza kusoma sio utani ni Kweli kabisa.knowlwdge and skills abt the chart and other stuffs abt forex is very crucial.Tusome zaidi jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu shukrani, nitazingatia..ila nina swali jingine..kuna hii trailing stop, hii ni aina ya stop loss ambayo ina lock in profit zako baada ya price ku move kwenye position yako uliyoamua, sasa mimi leo (Alhamisi) nime sell USDJPY at 109.757 nimeset take profit kwenye 109.188, nika set pia trailing stop ya 40 points..hii inamaanisha inge lock profit zangu kila price inapo move 40 points au 4 pips kwenda upande wangu, ila ajabu position yangu imekuwa locked kwenye 109.688 na price ilishuka sana leo hadi 109.153 hivi..imenikosesha hela nyingi, tatizo ni nini?
 
mkuu shukrani kwa maelezo mazuri sana, nitazingatia..ila nina swali jingine..kuna hii trailing stop, hii ni aina ya stop loss ambayo ina lock in profit zako baada ya price ku move kwenye position yako uliyoamua, sasa mimi leo (Alhamisi) nime sell USDJPY at 109.757 nimeset take profit kwenye 109.188, nika set pia trailing stop ya 40 points..hii inamaanisha inge lock profit zangu kila price inapo move 40 points au 4 pips kwenda upande wangu hadi pale ingefikia 109.188, ila ajabu position yangu imekuwa closed kwenye 109.688 na price ilishuka sana leo hadi 109.153 yaani ilipitiliza hadi ile take profit yangu.imenikosesha hela nyingi, tatizo ni nini?
 
Habari mkuu..

najua unashauritusi mtumie crdb kutokana na hudumazake dhoofu..

Kuna tatizo kama mtu atafungua MasterCard a/c ya crdb akawa anaitumia kwa lengo la kudeposit fund kwa skrill tu?, kwenye kutoa atumie Payoneer MC.....
 
Forex bible inanifungua kweli hapa,napata mkusanyiko wa packages nyingi sana kuhusu forex.ontario anavosisitiza tusome kweli anajua nini utapata.ngoja nikusanye madini niweze kuyaaply yote na sio nusunusu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…