Mkuu hadi sasa sijui hatima ya pesa yangu imeshikiliwa na CRDB...NARUDIA TENA..IKIMBIENI CRDB KAMA ZINAAHabari mkuu..
najua unashauritusi mtumie crdb kutokana na hudumazake dhoofu..
Kuna tatizo kama mtu atafungua MasterCard a/c ya crdb akawa anaitumia kwa lengo la kudeposit fund kwa skrill tu?, kwenye kutoa atumie Payoneer MC.....
Mkuu, ebe tuweke wazi.. Maana na Mimi huwa natumia crdb na kwa sasa kuna mpunga was kutosha huko.. Niambie ninii ishu?Mkuu hadi sasa sijui hatima ya pesa yangu imeshikiliwa na CRDB...NARUDIA TENA..IKIMBIENI CRDB KAMA ZINAAS
Ukirudi nyuma kidogo page chache nimeeleza sana matatizo ya local banks, they are not friend user katika hizi online business. Ukifanya transaction huwa wanahold pesa. Fuatilia kwa umakini nilichoeleza...natamani nirudie hapa lkn nakimbia kazini labda utupie maswali yako pm ntayakuta...humu nimeeleza sana sanaMkuu, ebe tuweke wazi.. Maana na Mimi huwa natumia crdb na kwa sasa kuna mpunga was kutosha huko.. Niambie ninii ishu?
Sent using Jamii Forums mobile app
achaneni na local banks,tumieni barclays,fnb au ecobankMkuu hadi sasa sijui hatima ya pesa yangu imeshikiliwa na CRDB...NARUDIA TENA..IKIMBIENI CRDB KAMA ZINAAS
Benki zote hamna kitu,bora kujaribu payoneer,hao ecobank wamenisumbua sana.achaneni na local banks,tumieni barclays,fnb au ecobank
- Hakuna muda maalum, hatakama utaikuza kwa siku moja na kufikia kiwango ambacho kimewekwa.Wadau wa tickmill,hivi ukiikuza welcome account wanaruhusu kutoa pesa yako ndani ya muda gn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru mkuu- Hakuna muda maalum, hatakama utaikuza kwa siku moja na kufikia kiwango ambacho kimewekwa.
- Kigezo ni kuikuza hadi ufikishe USD 130
- Baada ya kuwa umefikisha USD 130
(a) Watachukua USD30 zao
(b) Utabakiwa na USD 100 faida yako - ambayo inatakiwa uihamishie kwenye real account yako.
View attachment 563035
- Login Kwenye Promo Account ($30 Welcome Account) yako.
- Click OPEN ACCOUNT na chagua kati ya CLASSIC (haina cammision) au ECN PRO (ina camission)
View attachment 563038
- Rudi kwenye Promo account na chagua internal transfer
Hapo uamuzi ni wako uitoe hiyo faida, au uendelee kuifanyia trading kwenye real account yako.
- Hapo utaweza kuhamisha faida USD 100 kuingia kwenye Real account yako.
View attachment 563045
Haya yote ntayajua... Ngoja niwe vzur kwa theory ya trade, na kutumia demos... Ntakuchek unibrush kwa haya ya accounts- Hakuna muda maalum, hatakama utaikuza kwa siku moja na kufikia kiwango ambacho kimewekwa.
- Kigezo ni kuikuza hadi ufikishe USD 130
- Baada ya kuwa umefikisha USD 130
(a) Watachukua USD30 zao
(b) Utabakiwa na USD 100 faida yako - ambayo inatakiwa uihamishie kwenye real account yako.
View attachment 563035
- Login Kwenye Promo Account ($30 Welcome Account) yako.
- Click OPEN ACCOUNT na chagua kati ya CLASSIC (haina cammision) au ECN PRO (ina camission)
View attachment 563038
- Rudi kwenye Promo account na chagua internal transfer
Hapo uamuzi ni wako uitoe hiyo faida, au uendelee kuifanyia trading kwenye real account yako.
- Hapo utaweza kuhamisha faida USD 100 kuingia kwenye Real account yako.
View attachment 563045
Duuhhh yaani baada ya Ontario kujitokeza hapa tutaowaona sana wataalaam wengi wa Forex.. Walikuwa wapi siku zote?? Never Trust Them!!
Nashauri watu watumie UBA BankMkuu hadi sasa sijui hatima ya pesa yangu imeshikiliwa na CRDB...NARUDIA TENA..IKIMBIENI CRDB KAMA ZINAAS
Pitia humu jf vizuri kuna tangazo la 2016 march mkuu, hawajaanza leo. Kuna uzi wa siku nyingi but haukuwa na mwamko kama huu wa OntarioDuuhhh yaani baada ya Ontario kujitokeza hapa tutaowaona sana wataalaam wengi wa Forex.. Walikuwa wapi siku zote?? Never Trust Them!!
Kwani yeye Ontario aliifanya hii biashara akiwa wapi? Halafu ni biashara ya hela za kigeni zaidiHivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Pitia humu jf vizuri kuna tangazo la 3016 march mkuu, hawajaanza leo. Kuna uzi wa siku nyingi but haukuwa na mwamko kama huu wa Ontario
Mkuu nicheki plz
Good!!Wadau leo nime test kusoma chart tu na ku try kucheck trend inavokwenda especially nili base sana kwenye Price Action and it's history za currency pairs tofauti tofauti,nikawa kama scalper hivi basi zimejipa kinoma nimekula pips za kutosha kwenye demo kama ni live account kwa pesa za madafu it's almost 1 million hivi just today only today.jamani Chief Ontario anavyosisitiza kusoma sio utani ni Kweli kabisa.knowlwdge and skills abt the chart and other stuffs abt forex is very crucial.Tusome zaidi jamani
Sent using Jamii Forums mobile app