Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Mkuu naona hapa unawataka watu wakusaidie kukusanya unavyotaka kuvitawanya....mkuu sorry kwa hili ila hao waliosema ufanye kama ulivoeleza hapo juu kuhusu Wammies and Moolahs nadhani hata wao waliona unayoyaona...unadhani kwa nn hawakupendekeza ulivyosema....mm nadhani kama price haijaobey Wammies and Moolah pattern kuna catalysts nyingine unaweza kutumia either to go long or short...kwani Wammies and Moolahs sio catalyst pekee zinazotumika kwa ajili ya trade set ups..

Samahani kwa kurukia ambacho sikuwa cced
 
Yeah nkwarisambu - I am learning a lot through mistakes I am making here and there and your comments on my mistakes. Thanks

I later on opened other positions after confirmation that the gold is gonna fall. I made about 40$



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari za leo, ningependa kuwatia moyo kwa juhudi zenu maana juzi J5 nilijaribu kuwithdraw baadhi ya profit yangu kwa kutumia VISA Card imekuwa credited leo asubuhi kwenye bank account yangu. kwa hiyo msife moyo kinachotakiwa ni kupata a trusted broker tu na bank nzuri.
 
Wakuu habari za leo, ningependa kuwatia moyo kwa juhudi zenu maana juzi J5 nilijaribu kuwithdraw baadhi ya profit yangu kwa kutumia VISA Card imekuwa credited leo asubuhi kwenye bank account yangu. kwa hiyo msife moyo kinachotakiwa ni kupata a trusted broker tu na bank nzuri.
 

Naona hujaelewa nilichokimaanisha katika swali langu. Si kwamba sielewi what moolahs na warmies zinamaanisha nini. Nilichokiwaza ni out of the box thinking, hilo swali lipo tricky, na only experienced traders na traders waliokuwa katika game kwa muda mrefu nahisi ndo wanaweza kuwa na jibu la hilo swali kwa kubase katika experience waliyonayo katika game.Kwa maana kwamba wanaweza kuwa walishakumbana na hilo, ama walishawahi kuona waliojaribu njia hiyo.

Mfano, pamoja na kuwa tunafundishwa kuwa kuna indicators zinaweza saidia kutrade, lakini ni ukweli ulio wazi ukitegemea indicators utakuwa na losses za kutosha in long run, but hili wengine wameliexperience practicaly mpaka sasa.

Ila tupo pamoja, yote haya ni kutafuta different experiences katika hili jahazi tulilopanda. Maana jamii yoyote ina historia, historia hiyo inaweza kuwa mbaya ama nzuri, na katika maswali kama hayo nilouliza ni katika kufahamu historia ya hii jamii ya FX
 
tupe experience kaka, ulitumia money wallet gani au ulitumiwa direct kwa local bank, au vip kama tutojali unatumia broker gani na benk gani, ila hongera mkuu
 



Nimekuelewa sana mkuu wangu...sema labda lugha niliyotumia imekuwa labda sio Nzuri kwako...

Samahani bwana....duuuuuu....samahani sana mkuu. .
 
Nimekuelewa sana mkuu wangu...sema labda lugha niliyotumia imekuwa labda sio Nzuri kwako...

Samahani bwana....duuuuuu....samahani sana mkuu. .

Pamoja, Ngoja waje hawa wakulungwa watuambie nini experience yao.
 
EUR/CAD 1H Double bottom/Warmie print out. Sijui trend itaendelea baada ya masoko kufunguliwa hiyo jumatatu.?

 
Ni kweli maana gold ilipanda then ikashuka tena!! ndio inaitwa inaitwa "patience"!!
 
Hapo walipo andika price najaza price ipi? Au current market price?
Mkuu inaelekea una hitaji msaada.
Hapo ulipofungua ni mahali pa kuset stop loss, take profit, au buy/sell limit ndipo u buy/sell kwa kutegemea na analysis zako zinavyokutaka kufanya.
Kama dijakuelewa nijuze ( walipo andika price..unatakiwa kujaza sell/buy limit)
 


Jana eurusd ilikuwa vzuri in bullish nilibuy pairs soko likafungwa nikawa sijaclose ila nikiangalia j3 siko litaamka vibaya itakuw bearsh
 
Ni kwel nahitaji msaada...hapo naona kuna kuna SL na TP na pia kuna hiyo value ya price ..sasa SL na tp nazijua..je hiyo value ya price ndio ipi?? Ndio shida yangu mkuu

All men are self made [emoji123]
 
Nimekupata mkuu tayari..thanks

All men are self made [emoji123]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…