Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Analysis setups za kuamkia Jumatatu.

EUR/ZAR




kwa kuangalia hii pair ya EUR/ZAR katika H1 timeframe, tunaona jana ijumaa soko lake limefungwa kwa pair kuprint candle ambayo imeenda kugusa exactly katika red line niliyaochora na hivyo kukamilisha double botton pattern. Na hii double bottom pattern ni special, kwani imeprint Warmie pattern ambapo second touch imetengeneza higher low. Pia tukiangalia hiyo blue box tunaona first touch ya double bottom ni lowest low kwa kipindi kirefu kwani toka tarehe 8 hakuna candle iliyofikia level hiyo. Tuangalie hii pair with buying opportunities hiyo jumatatu baada tuu ya kuona pair imeprint bull candle with closing price karibu na edge ya wick. Ingawaje wale waliozoea kurisk wanaweza print hivyohivyo ila stop loss waweke chini kidogo ya lowest level ilipoishia.


EUR/CAD





Hii pair ni kama EUR/ZAR ilivyoprint, Tofauti ni kwamba hii tayari ishakamilisha indicators zote za warmie/double bottom. Hivyo kwa hii unaweza weka buy stop juu kidogo ya last candle, kwani last candle katika chart zote nilizoweka za H4 na H1 timeframe zimequalify kuwa long entry points kwa hii pair ya EUR/CAD. Weka stop loss chini kidogo ya lowest low ya first warmie touch.


NZD/USD

..... To be continued
 
Nimejaribu kuiangalia screenshot ya EURZAR kwa jicho la P.A, inanionyesha ni bearish, except for little 15 pips upward movement ambayo in this case I will treat as consolidation. The overall trend is downward unless there will be a sign for breakout of which I see none. These are my views mkuu. Lets see how this will play out on Monday

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana ni mimi tu hamna wadada wengine au?
Haha nilitegemea kumuona miss natafuta na miss chaga maana majina yao yamekaa kihela hela tu

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 

Umeiangalia katika time frame gani.?, Hebu weka Picha na sketches za ulichokiona wewe. Mimi nimeona setup ya bullish kutokana na hiizo double bottom zilizojichora hapo. Lakini indications hazijatimia ili mtu kufanya final decissions za kwenda long. kwani kwa principle ya warmie ni kwamba lazima baada ya second touch kuwe na bullish candle yenye good closing price. So hapo ni kwamba tunasubiria hiyo candle iprint baada ya second warmie touch. Na kwa haraka haraka ninaweza sema itaenda kuprint kwani last candle ni bearish candle yenye long downward tail, Kitu ambacho kinaashiria kwamba sellers walizidiwa nguvu na bulls kitu ambacho kilipelekea kuwa na hiyo long tail iliyosababishwa na rejection ya bears actions. Na pia kati ya first touch na second touch kuna candles za kutosha zaidi ya 15, kitu ambacho kinaashiria kuwa ni strong price action.

Kwa kuwa hiyo chart ni ya 1H timeframe, hivyo tunategemea angalau within next four or five candles baada ya hapo tuone hiyo bullish candle itakayotupa buy signal. since hii ni 1H chart, hivyo tutarajie masaa manne mpaka matano baada ya market kufunguliwa tuione hii candle, kwa muda wa kwetu hapa itakuwa ni usiku wa manane
 
Mkuu, nimesema nimeangalia screenshot yako, sijafanya analysis ku-counter yours. Na pia sijazungumzia kuhusu indicators kabisa, nimesema ni price action...plus it was my views[emoji1] . Nikitulia (nipo njiani) will dive into it ila meanwhile ingekua vizuri pia kwenye analysis yako kusema bullish na price range yake. Bila price range there is a 50% chance anyone can correctly predict the movement. Lengo ni kujifunza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale watu 300 wa kwanza
Na mimi naomba kuwepo,...
Am just trying to read more articles ... naamini ntafika.
 
Case 1: Wammies with lower lows + six candlestrick between touches!

Mkuu, moja kati ya sifa za wammie, kama ulivyosema, ni kwamba lazima pawe na lower high! sasa ikitokea moja ya vigezo hivi havikufikiwa, siwezi nika-classify such a set-up kama wammie set-up!!

But it depends, what if pakawa na lower low badala ya lower higher alafu pakatokea bullish big shadow tena kwenye strong support line? hauta buy? kwa case kama hii nisingeingie direct sokoni, ningeingia na buy-stop-order tena few pips above the tail of bullish candlestick!

Long story short, kwa case yako nisinge sema ni wammie, ningeangalia catalyst nyingine kama big shadows ndo zingenisaidia kujua what to do next!!
 


Sure, Kwa analysis yangu kama nitaingia long katika hyo trade, take profit nitaiweka katika turning point ya hiyo warmie ambapo nimelabel namba 1, na stop loss nitaweka chini kidogo ya lower low yaa hiyo warmie ambayo nielebel level kama namba 2. Though mtu unaweza kuwa in close watch ukawa unasogeza stop loss na take profit upwards, ila hii inabidi maccho yako muda wote yawe katika chart. But ili mtu usiiingie katika trade kama last condition ya warmie haitakuwa fullfiled as i said earlier.

 
Case 1: Wammies with lower lows + six candlestrick between touches!

Mkuu, moja kati ya sifa za wammie, kama ulivyosema, ni kwamba lazima pawe na lower high! sasa ikitokea moja ya vigezo hivi havikufikiwa, siwezi nika-classify such a set-up kama wammie set-up may be ningeweza sema ni normal double bottom na kama nikuingia sokoni nisingeingia mpaka nipate signal ingine kwa uhakika zaidi!!

But it depends, what if pakawa na lower low badala ya lower higher alafu pakatokea bullish big shadow tena kwenye strong support line? hauta buy? kwa case kama hii nisingeingie direct sokoni, ningeingia na buy-stop-order tena few pips above the tail of bullish candlestick!

Again, what if pakawa na lower low badala ya lower higher alafu pakatokea bearish big shadow tena kwenye strong support line? hauta sell? kwa case kama hii nisingeingie direct sokoni, ningeingia na sell-stop-order tena few pips below the tail of bearish candlestick!

Long story short, kwa case yako nisinge sema ni wammie, ningeangalia catalyst nyingine kama big shadows ndo zingenisaidia kujua what to do next!!
 

Hahahaa, Yah, ni kweli ulivyosema, ila mimi nilikuwa nafikiria kinyumenyume nione nayo kama inawork out ama laa. Yaani kwa kifupi ni kuwa nilikuwa nafikiria kama conditions za warmie hazikufikiwa kikamilifu, Je does it worth mtu aingie trade inverse ya warmie setup inavyosuggest.?
 
Hapo sawa. Na ndio maana nilisema naona bullish movement ya at least 15 pips. Baada ya hapo, most likely bearish itaendelea....au hiyo "consolidation ya 15 pips" itabaki until a bearish breakout occurs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…