Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
A TRADER IN DARK IS A TRADER IN RED

Another setup for Kangaroo tail already in blues. The kangaroo tail has been formed in both H1 and M30 TF.

I understand that there are economic news around 16:00. Let me waite and see, if it will reverse


0300b57a26215a593081a4e2030f621b.jpg


129bbd955c7eaa6c8f9764964d043273.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa mimi hii pair baada ya analysis niliinunua asubuhi mida ya saa 5, ikaanza kuprint loss, baada ya hiyo kangaroo tail naona inarecover, hope my profit level will be met. Ila mimi nilinunua baada ile asubuhi baada ya kuona double bottom ambayo haijafullfill warmie condition. Nikajitosa katika double bottom hivyohivyo.
 
A TRADER IN DARK IS A TRADER IN RED

Another setup for Kangaroo tail already in blues. The kangaroo tail has been formed in both H1 and M30 TF.

I understand that there are economic news around 16:00. Let me waite and see, if it will reverse


0300b57a26215a593081a4e2030f621b.jpg


129bbd955c7eaa6c8f9764964d043273.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Nnamashaka nayo. Angalia hiyo bearish trend kwenye previuos candles...
 
Usisahau kuleta mrejesho...

Heheheee, Boss kwangu trend ni kama inavyoonekana hapo. Support ya double bottom imekuwa tested almanusura igonge stop loss zangu, Maana niliweka stop loss chini kidogo ya first touch ya double bottom as principle says. Ila naona inaretrace na naimani kitakachofuata ni upward trend. Hiyo support level ni ya toka July 7 na naamini hiyo pair itaitii hiyo level. Let me continue holding my position.


GBPUSD.PNG
 
wakuu mi nimeanza hii issue leo hii hebu mniambie app gani mnatumia ndugu zanguni ntashukuru sana
 
wakuu mi nimeanza hii issue leo hii hebu mniambie app gani mnatumia ndugu zanguni ntashukuru sana
Unajua maana ya bull trend
Bear trend
Bearish position
Bull position
Differentiate btn spaculation ;gambling; and investiment
How can you hold position how you can manage risk
So mkuu cha kwanza kabisa soma vitabu ambavyo vipo humu
Usichoke soma page zote za comment za uzi huu
 
nimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.

na wakati napitia hii thread kurasa baada ya kurasa nimekutana na link ya whatsapp group na nimeshajoin
Tangu nianze kusoma na kukoment ckupata kuona link ya hlo grp, na ckuckia mtu anaongelea... Hebu niambie ni post namba ngap yenye grp niichek

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee currenct trrading for dumies somehow kinaonekana kigumu kwa maana kuna baadhi ya vitu wameongelea juujuu hawajaingia ndani sana.. Ila unaweza kukipaka gease kwa kuchanganya na forex bible. Yaani namaanisha uwe unavizoma vyote kwa pamoja. Muongozo wako uwe CT for dummies, usipoelewa unashika Forex bible same topic/item unasoma utaelewa vizuri.

Then baada ya kumaliza chukua Naked forex, hiki hakijatungwa kwa ajili ya wanaoanza kujifunza, bali kwa waliokwisha jifunza ila wanataka kuongezea knowledge.

Ukimaliza hapo chukua Astro forex, hiki kipo kama summary ya forex bible na CT for dummies. Mpaka hapo utakuwa na mwanga wa hii biashara.

Mimi binafsi ndo njia niliyopitia. Kujifunza.
Naweza kuipata hyo unayoiita forex bible?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom