Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
A TRADE IN DARK IS A TRADER IN RED

Pips keep pouring out blues.
We learn and practice what we have learned

b31086b0ff2dafdb841d086d089bb91d.jpg


5c99dad2d4af0f3980146a65f0f5faa4.jpg


dfa30bb88ecca70c0ce1b6e7e69a9f72.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndugu zangu mlikofika hadi nawaonea wivu...... mimi wakati naiona hii thread shule ilikua imenikaba koo
Hata sisi tulipokua tunaanza tulikua tunawaone wivu akina bavaria na ontario, ila hatukuishia tu kwenye kuona wivu, tulienda mbele zaidi na kuanza kujifunza wenyewe taratibu kupitia vitabu!!

Hujachelewa anza kusoma...
 
Hata sisi tulipokua tunaanza tulikua tunawaone wivu akina bavaria na ontario, ila hatukuishia tu kwenye kuona wivu, tulienda mbele zaidi na kuanza kujifunza wenyewe taratibu kupitia vitabu!!

Hujachelewa anza kusoma...
nimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.

na wakati napitia hii thread kurasa baada ya kurasa nimekutana na link ya whatsapp group na nimeshajoin
 
nimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.

na wakati napitia hii thread kurasa baada ya kurasa nimekutana na link ya whatsapp group na nimeshajoin
Bora umetoka shule akili bado iko active!!

Kama unatumia PC ongeza na hivi...

 
nimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.

na wakati napitia hii thread kurasa baada ya kurasa nimekutana na link ya whatsapp group na nimeshajoin
nitumie namba ya ilo group nijiunge na mimi maana ndo nimeijua tu juzi kati nataka kuingia kwenye hii issue plz
 
Bora umetoka shule akili bado iko active!!

Kama unatumia PC ongeza na hivi...


kaka naomba unitoe tongotongo... inaonekana hii technology ni mpya kwangu... natumia PC ila nimeclick nashangaa havidownload kama nilivyozoea
 
nitumie namba ya ilo group nijiunge na mimi maana ndo nimeijua tu juzi kati nataka kuingia kwenye hii issue plz
nenda page ya 56 kuna link... ingia kwa kutumia simu itakudirect automatically kwenye group. ILA NAHISI LIMESHAJAA maana mi nimekua 254 kati ya 256
 
nimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.

na wakati napitia hii thread kurasa baada ya kurasa nimekutana na link ya whatsapp group na nimeshajoin

Aisee currenct trrading for dumies somehow kinaonekana kigumu kwa maana kuna baadhi ya vitu wameongelea juujuu hawajaingia ndani sana.. Ila unaweza kukipaka gease kwa kuchanganya na forex bible. Yaani namaanisha uwe unavizoma vyote kwa pamoja. Muongozo wako uwe CT for dummies, usipoelewa unashika Forex bible same topic/item unasoma utaelewa vizuri.

Then baada ya kumaliza chukua Naked forex, hiki hakijatungwa kwa ajili ya wanaoanza kujifunza, bali kwa waliokwisha jifunza ila wanataka kuongezea knowledge.

Ukimaliza hapo chukua Astro forex, hiki kipo kama summary ya forex bible na CT for dummies. Mpaka hapo utakuwa na mwanga wa hii biashara.

Mimi binafsi ndo njia niliyopitia. Kujifunza.
 
A TRADER IN DARK IS A TRADER IN RED

Another setup for Kangaroo tail already in blues. The kangaroo tail has been formed in both H1 and M30 TF.

I understand that there are economic news around 16:00. Let me waite and see, if it will reverse


0300b57a26215a593081a4e2030f621b.jpg


129bbd955c7eaa6c8f9764964d043273.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom