OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mkuu naomba nieleweshe kuhusu SL na TP huwa zinatokeaje?Nimekupata mkuu tayari..thanks
All men are self made [emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba nieleweshe kuhusu SL na TP huwa zinatokeaje?Nimekupata mkuu tayari..thanks
All men are self made [emoji123]
A TRADE IN DARK IS A TRADER IN RED
Pips keep pouring out blues.
We learn and practice what we have learned
Approaching my TP
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
My TP target is now hit for the NZDUSD pair
[emoji120] [emoji120] [emoji120] to ONTARIO kwa kututoa tongotongo kwenye hii kitu
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa USD leo amekua na nguvu kweli kweli!!Naona ulitembea na bearish kangaroo tail
Naona leo kangaroo tail imekukubali mkuu, hongera sana!!My TP target is now hit for the NZDUSD pair
[emoji120] [emoji120] [emoji120] to ONTARIO kwa kututoa tongotongo kwenye hii kitu
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120] [emoji120] [emoji120] Lodrick ThomasNaona leo kangaroo tail imekukubali mkuu, hongera sana!!
ndugu zangu mlikofika hadi nawaonea wivu...... mimi wakati naiona hii thread shule ilikua imenikaba kooNashangaa USD leo amekua na nguvu kweli kweli!!
Hata sisi tulipokua tunaanza tulikua tunawaone wivu akina bavaria na ontario, ila hatukuishia tu kwenye kuona wivu, tulienda mbele zaidi na kuanza kujifunza wenyewe taratibu kupitia vitabu!!ndugu zangu mlikofika hadi nawaonea wivu...... mimi wakati naiona hii thread shule ilikua imenikaba koo
nimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.Hata sisi tulipokua tunaanza tulikua tunawaone wivu akina bavaria na ontario, ila hatukuishia tu kwenye kuona wivu, tulienda mbele zaidi na kuanza kujifunza wenyewe taratibu kupitia vitabu!!
Hujachelewa anza kusoma...
Bora umetoka shule akili bado iko active!!nimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.
na wakati napitia hii thread kurasa baada ya kurasa nimekutana na link ya whatsapp group na nimeshajoin
nitumie namba ya ilo group nijiunge na mimi maana ndo nimeijua tu juzi kati nataka kuingia kwenye hii issue plznimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.
na wakati napitia hii thread kurasa baada ya kurasa nimekutana na link ya whatsapp group na nimeshajoin
Bora umetoka shule akili bado iko active!!
Kama unatumia PC ongeza na hivi...
nenda page ya 56 kuna link... ingia kwa kutumia simu itakudirect automatically kwenye group. ILA NAHISI LIMESHAJAA maana mi nimekua 254 kati ya 256nitumie namba ya ilo group nijiunge na mimi maana ndo nimeijua tu juzi kati nataka kuingia kwenye hii issue plz
Click hako ka-arrow mkono wa kulia kwa juu...kaka naomba unitoe tongotongo... inaonekana hii technology ni mpya kwangu... natumia PC ila nimeclick nashangaa havidownload kama nilivyozoea
nimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.
na wakati napitia hii thread kurasa baada ya kurasa nimekutana na link ya whatsapp group na nimeshajoin