A TRADER IN DARK IS A TRADER IN RED
Another setup for Kangaroo tail already in blues. The kangaroo tail has been formed in both H1 and M30 TF.
I understand that there are economic news around 16:00. Let me waite and see, if it will reverse
Sent using Jamii Forums mobile app
Nnamashaka nayo. Angalia hiyo bearish trend kwenye previuos candles...A TRADER IN DARK IS A TRADER IN RED
Another setup for Kangaroo tail already in blues. The kangaroo tail has been formed in both H1 and M30 TF.
I understand that there are economic news around 16:00. Let me waite and see, if it will reverse
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliiona hiyo trend, slope yake in kubwa lkn Ikn nimerisk nione what happenedNnamashaka nayo. Angalia hiyo bearish trend kwenye previuos candles...
Usisahau kuleta mrejesho...Niliiona hiyo trend, slope yake in kubwa lkn Ikn nimerisk nione what happened
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kawaida yangu mrejesho utaupata mkuuUsisahau kuleta mrejesho...
poa ntajaribunenda page ya 56 kuna link... ingia kwa kutumia simu itakudirect automatically kwenye group. ILA NAHISI LIMESHAJAA maana mi nimekua 254 kati ya 256
Usijaribu. Fanya.poa ntajaribu
Usisahau kuleta mrejesho...
Unajua maana ya bull trendwakuu mi nimeanza hii issue leo hii hebu mniambie app gani mnatumia ndugu zanguni ntashukuru sana
okey nafanya ndo nmeanza kusoma kitabu cha kwa apa kinaitwa forex survival guide secreteUsijaribu. Fanya.
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Mbona hukuniita dada yako siku zote hizi sasa adhabu yako kunipa samare yoote mpaka comment ya mwisho
Iyo summary ukiipata ntashukuru sana kama na mm utanisaidiaMbona hukuniita dada yako siku zote hizi sasa adhabu yako kunipa samare yoote mpaka comment ya mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu nianze kusoma na kukoment ckupata kuona link ya hlo grp, na ckuckia mtu anaongelea... Hebu niambie ni post namba ngap yenye grp niicheknimeshaanza kusoma boss kile kitabu cha Currency trading or dummies.... nimesogea sogea japo hizo technical analysis bado hazijakaa kichwani... hop i will make it maana nina miez miwili ya likizo... na kaka if unaweza kuwa mentor kwangu, i humbly submit my request to you.
na wakati napitia hii thread kurasa baada ya kurasa nimekutana na link ya whatsapp group na nimeshajoin
Naweza kuipata hyo unayoiita forex bible?Aisee currenct trrading for dumies somehow kinaonekana kigumu kwa maana kuna baadhi ya vitu wameongelea juujuu hawajaingia ndani sana.. Ila unaweza kukipaka gease kwa kuchanganya na forex bible. Yaani namaanisha uwe unavizoma vyote kwa pamoja. Muongozo wako uwe CT for dummies, usipoelewa unashika Forex bible same topic/item unasoma utaelewa vizuri.
Then baada ya kumaliza chukua Naked forex, hiki hakijatungwa kwa ajili ya wanaoanza kujifunza, bali kwa waliokwisha jifunza ila wanataka kuongezea knowledge.
Ukimaliza hapo chukua Astro forex, hiki kipo kama summary ya forex bible na CT for dummies. Mpaka hapo utakuwa na mwanga wa hii biashara.
Mimi binafsi ndo njia niliyopitia. Kujifunza.