Hahaaa mkuu unanikumbusha enzi hizo tukifungwa mechi tunajipa moyo jamaa pinzani wamesaidiwa na upepo. Siku-trade news at all. Ukiangalia vizuri USDJPY kabla ya fundamental ilikua inaenda bearish either way.Perfect analysis ila hyo sababu kubwa ni bi Yellen speech.Hiyo program/software unatumia kufanya analysis na kutrade inaitwaje?nimeipenda.
Mwalimu umentupa asee... Denti wako nataabika...Nipo ndugu zangu.
Ishu nyngne sio njema, mnasababisha tujione weupe kbs...I saw a triangle pattern forming on USDJPY 15min and decided to play a little bit. Went perfectly as planned...it even respected my theoretical path....LOL
Shukrani sana mkuu, Barikiwa kwa ushauri mzuri.Disclaimer before I comment. I am a stock trader by professional with few licenses. To trade currency or speculate currency is not an easy thing. Now if you get a proper knowledge and good mentorship. You might have a chance to win big.
My simple advise ni kwamba this is not a get rich quick process. It will take time mpaka ufahamu fundamentals. Then understand analytics/ technical process kusoma charts and things of that nature. But all in all it is doable.
ahaaaaa umenifurahisha mkuu ,anyway kwa hii pair ulifanya kosa kuitrade namna hiyo pengine kama ilikua analysis hmnaa shida.jana usiku iliclose around 109.70 na ilikua ina consolidate baada ya hapo kwa maana speech ya leo ndo ilikua inaamua direction.Na next time jitahid kufatilia news kabla ya kutrade pair hii ni,Hahaaa mkuu unanikumbusha enzi hizo tukifungwa mechi tunajipa moyo jamaa pinzani wamesaidiwa na upepo. Siku-trade news at all. Ukiangalia vizuri USDJPY kabla ya fundamental ilikua inaenda bearish either way.
Natumia tradingview kufanya analysis.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maelezo mazuri tatizo nyie wataalam hamtupi full lecture mnadonoa tu jamanDisclaimer before I comment. I am a stock trader by professional with few licenses. To trade currency or speculate currency is not an easy thing. Now if you get a proper knowledge and good mentorship. You might have a chance to win big.
My simple advise ni kwamba this is not a get rich quick process. It will take time mpaka ufahamu fundamentals. Then understand analytics/ technical process kusoma charts and things of that nature. But all in all it is doable.
ni real account hio mkuu,hongeraJanet Yellen and the Jackson Hole bunch delivered.
A $3,800 profit today on long EUR/USD options. That's only because I was being overly cautious to protect my money, could have jacked it up to $10,000 - 15,000 profit. But you know how it goes, bigger rewards come with bigger risks.
There was a point when the EUR shot up so high so suddenly it felt like a rocket reaching for the moon.
Closing the week on a high note.
Ni real mkuu, kwenye demo nilipiga mara kumi ya hivyo, nilikuwa natest zali demo kidogo kabla ya kuingia real. Ndiyo maana nikasema ningekuwa nataka kuchukua risk kubwa hata $15,000 ningetengeneza, ila Euro ilipanda sana ghafla, na mara nyingine ikipanda sana ghafla inaweza kushuka sana ghafla ikiwa inatafuta a fair middle, so nikawa skeptical.ni real account hio mkuu,hongera
Dah, nifanyie hata $200 nipate mtajiNi real mkuu, kwenye demo nilipiga mara kumi ya hivyo, nilikuwa natest zali demo kidogo kabla ya kuingia real. Ndiyo maana nikasema ningekuwa nataka kuchukua risk kubwa hata $15,000 ningetengeneza, ila Euro ilipanda sana ghafla, na mara nyingine ikipanda sana ghafla inaweza kushuka sana ghafla ikiwa inatafuta a fair middle, so nikawa skeptical.
Nafikiri wiki ijayo EUR/USD inaweza kuendeleza rally. Tutaendeleza.