Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,583
Maneno ya kanga kaanza huyo aliyeniambia mimi tapeli.
Wahenga walisema "akuanzaye mmalize".
Mimi ni mtu ninayependa sana kuheshimiana na watu, ila mtu akinivunjia heshima nampa ukweli wangu na nafasi ya kuniomba radhi.
Akiendelea kunivunjia heshima hakuna sababu ya kumuheshimu. Nampa kubwa tu.
Wahenga walisema "Akuanzaye mmalize".
Jamaa hajui hata time zone ni nini, hajui "6 PM Sunday" ni nini. Hajui kusoma kwa comprehension.
Halafu anajishaua hapa kunitusi?
Lazima nimpe kubwa tu.
Kila uongo anaosema namuambia nipe quote nilipoandika hivyo, ananywea.
Kasema nimesema nime trade Jumamosi, nimemuomba quote, hajatoa.
Kasema nime copy paste Ast, nimemuomba quote na ya huko Ast, kanywea.
Kasema nimesema kuna tofauti ya masaa 12, nimemwambia nipe quote,kanywea.
Katika jamii watu wenye viroja na vijicho kama hawa hawakosi.
Wengine wanaona hawawezi kupata pa kutokea mpaka wabishane na Al-Watan.