Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kuna vitoto vidogo vinavyokua huwa vinakuwa na "Oppositional Defiant Disorder".

Vinataka vitambulike kwamba na vyenyewe vipokwa kubishabisha mambo tu,bila hoja wala msingi.

Oppositional defiant disorder - Wikipedia
Forex Jumapili???, hahaha

utatafuta magonjwa yote Google.. hiyo kitu haipo tena kwa muda uliotaja


Muda wa biashara kufunguliwa na kufungwa uko wazi
 
Hao Nadex wana mambo mengine mengi mengi tu wana trade, sio forex pekee, labda kama n hayo mengine unatrade hapo panaweza pakawa na walakin, tofaut na hapo n story za kusadikika tu , hamna kitu




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sababu gani hata moja ya mm kujb wakati umeshindwa jieleza???


Wapi umeona watu wana fanya Forex Jumapili??
Sema huwezi kujibu, kwa sababu huna link, kwa sababu habari nzima umetunga.

Jamani ee, mnamuona mzushi huyu?

Kazusha nime copy paste maneno.

Nimembana anipe nilipocopy wapi?

Kashindwa kunipa link ya hapo nilipo copy.

Sasa analeta longolongo hapa.

Huyu ni mzushi na maneno yake hayana uzito wa kuaminiwa na mtu yeyote anayekwenda kwa kutafuta ukweli.
 
Weka link ya Ast niliko copy.

Hujaweka bado hiyo link.

Ukishjindwa niombe radhi.

Ukishindwa vyote wewe ni mzushi usiye na chembe ya credibility.


Mkuu Al-Watan we kiboko....unajua kumng'ang'ania mtu kweli kweli.....duuuuu...ningekuwa mm ningeshanyoosha mikono zamani..
 
Weka link ya Ast niliko copy.

Hujaweka bado hiyo link.

Ukishjindwa niombe radhi.

Ukishindwa vyote wewe ni mzushi usiye na chembe ya credibility.
Niweke ya nn??


Kuwapa watu warning [emoji615] tu inatosha.. we kuna swali ulilo jibu?? kwann nikujibu???


Ungesema tu,, Nyie Tanzania hamuwez kuchukua advantage ya muda wa soko la Australia linapofunguliwa kwasababu moja mbili tatu


Sisi huku tuliko tunaweza kwasababu moja mbili tatu, ilikua rahisi mno


Na kaul ningetengua, tofaut na hapo n uongo mtupu,, utapel wa daraja la kwanza
 
Mkuu Al-Watan we kiboko....unajua kumng'ang'ania mtu kweli kweli.....duuuuu...ningekuwa mm ningeshanyoosha mikono zamani..
Huyu mzushi.

Dawa ya mzushi ni kumu expose mpaka watu wote wamjue, kesho akileta uzushi wake mwingine watu waseme "wewe mzushi tu, tushakuzoea, Al-Watan alikupa kubwa akakuumbua hapa siku fulani na ushahidi upo"

Wazushi wazushi kama hawa tukiwaachia, wanaweza kuaminika na uzushi waoukakubalika.

Ona anatapatapa sasa anadai NADEX hawafanyi trading ya Forex binaries jioni saa 12 ya US ET wakati nishampa link ya NADEX wamesema hilowazi.

Kuna watu wanaamua kubisha tu hata jambolinapokuwa wazi, ni ujinga wa kujitutumuana yeye aonekane yumo tu.

Wakati hajui kusoma, hajui time zone ni nini, si ajabu hata trading hana interest nayoanakuja kuharibu thread tu hapa.

Mtu kama huyu anatakiwa kukemewa kwa ku derail thread.

Hebu soma hapa chini, mtu mwenye akili zake anaweza kubisha kwamba North America tunafanya trading saa 12 jioni?

Holidays & Hours

Trading hours
Nadex is open for trading from 6pm ET Sunday through 4:15pm ET Friday, excluding end-of-day processing hours which occur between 5pm and 6pm ET on Monday through Thursday. Our customer services team is available during all regular trading hours.

Trading hours for individual contracts are given in the Contract Specs for each market.
 

Unajua kusoma?

Holidays & Hours

Trading hours
Nadex is open for trading from 6pm ET Sunday through 4:15pm ET Friday, excluding end-of-day processing hours which occur between 5pm and 6pm ET on Monday through Thursday. Our customer services team is available during all regular trading hours.

Trading hours for individual contracts are given in the Contract Specs for each market.
 
ONTARIO sema na huyu kibwengo Danpol aondoe uzushi wake unaoharibu thread.

Kanizushia nime copy paste Ast, nimemwambia awekelink nilipo copy kanywea.

Anakataa kwamba US ET tuna trade saa 12 jioni, nimemuwekea link ya trading hours za NADEX anabisha.

Amesemanimesema kuna tofauti ya masaa 12, kitu ambacho sijasema, nimemuambia anipe quote nilipoandikahilo, kanywea.

Huyu ni mchafuzi tu anayejamba ushuzi kuchafua thread hapa.

Kamathread inatakakuwa serious wachafuzi kama hawa wakemewe vikali sana.

Otherwise wengine tutaona thread haiko serious.

Wakati tukitoa posts zenye kuonyesha tunavyofanya, wanakuja wachafuzi kujaza uharo hapa.

I am not about that bullshit.
 
Hakuna public sympathy [emoji13] [emoji13] we piga kelelee weee... Utakapoweza kusema hilo linaweza vipi, nitaenda fungua kitabu na kuleta hapa na kutengua kauli pia, tofaut na hapo mkuu... hilo basi lako panda mwenyewe
 
Hakuna public sympathy [emoji13] [emoji13] we piga kelelee weee... Utakapoweza kusema hilo linaweza vipi, nitaenda fungua kitabu na kuleta hapa na kutengua kauli pia, tofaut na hapo mkuu... hilo basi lako panda mwenyewe
Toa link ya wapi nime copy Ast.

Hujatoa link hiyo.

Kwa sababu wewe mzushi. Umezusha tu maneno. Hiyo link haipo.

Kama ipo kwa nini hutupi hapa umalize mjadala?
 
Ni kweli... na wala siendelei na mjadala.. mjadala ulikua mfupi sana huu... sema jamaa kwa maksud kaamua urefusha, swali analoulizwa hajibu, ananyofoa anataka ajibiwe ya kujitetea ambayo hata kama akijibiwa ama asipo jibiwa hayana impact kwa mtu mmoja mmoja

Humu kuna watu walikwisha muamin, kwenye maelezo yake, yako mambo mengi yanahitaj ufafanuz, kaul fupi tu zilikua zinamaliza kila kitu.. anacho fanya sasa ni either person attack au sympathy nionekana kama namuonea [emoji13] [emoji13]

Anyway, I'm off... ngoja niachane na haya... ila be warned,,, be warned.. hiyo forex ya Sunday hiyo... mtakuja sema Jeff kaingiza watu shimon
 
 

Dr.adams faida

Soma hapa

Holidays & Hours

Trading hours
Nadex is open for trading from 6pm ET Sunday through 4:15pm ET Friday, excluding end-of-day processing hours which occur between 5pm and 6pm ET on Monday through Thursday. Our customer services team is available during all regular trading hours.

Trading hours for individual contracts are given in the Contract Specs for each market.
 
Kwahyo n Binary??? ok, mtanzania bana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kibwengo unaelewa hata binary ni nini?

Unajua kusoma wewe guluguja?

Unajua time zone nikitu gani?

Umekubalikwamba NADEX wana trade 6 PM Sunday?

Unajua 6 PM Sunday ni muda gani gubegube wewe?

Umeshapost nilipo copy Ast hapa?
 
huyu jamaa ukimsoma kwa umakini anatafuta raia awanyofolee vyao, hana utofauti na yule aloshushuliwa na Ontario kipindi kile.
 
According to currency trading fo dummies-;
Around the World in a Trading Day
The forex market is open and active 24 hours a day, from the start of business hours on Monday morning in the AsiaPacific time zone straight through to the Friday close of business hours in New York. At any given moment, dependingon the time zone, dozens of global financial centers — such as Sydney, Tokyo, or London — are open, and currency trading desks in those financial centers are active in the market. In addition to the major global financial centers, many financial institutions operate 24-hour-a-day currency trading desks, providing an ever-present source of market interest. It may be a U.S. hedge fund in Boston that needs to monitor currencies around the clock, or it may be a major international bank with a concentrated global trading operation in Singapore.

The opening of the trading week There is no officially designated starting time to the trading day or week, but for all intents the market action kicks off when Wellington, New Zealand, the first financial center west of the international dateline, opens on Monday morning local time. Depending on where you live, it roughly corresponds to early Sunday afternoon in North America, Sunday evening in Europe, and very early Monday morning in Asia. The Sunday open represents the starting point where currency markets resume trading after the Friday close of trading in North America (5 p.m. eastern time [ET]). This is the first chance for the forex market to react to news and events that may have happened over the weekend. Prices may have closed New York trading at one level, but depending on the circumstances, they may start trading at different levels at the Sunday open.
Mkuu Danpol ndo maana kakomaa sana lakini ni vizuri kwa maana bado tunajifunza hakuna haja ya kushikana mashati.
Mkuu ONTARIO ,Bavaria amueni kesi hii matrader tusonge mbele uzi huu utatusaidia sote japo kuna baadhi wanautumia ndivyo sivyo ikiwemo kupiga dili n.k
 

Asante kwa kutupa vitu murua.

Penye wengi haliharibiki neno. Penye ukweli, uongo hujitenga.

Wahenga walisema.

Huyo dogo hata concept ya "time zone" tu imempitia kushoto, halafu hataki kujifunza.

Anaona kama kutumia advantage ya "time zone" ku trade ni "time travel". Ukimwambia mimi niko Eastern US nachukua advantage ya Time Zones ku trade Sunday evening kwa sababu New zealand ni Monday morning anaona kama ume fanya time traveling kutoka Sunday evening umeenda Monday morning.

Anabisha. Anasema kitu hicho hakiwezekani!

Sasa siwezi kushangaa hata huu utirio akija kuubishia kabla hata hajauelewa.

Na hawezi kuelewa kwa sababu kusoma hajui.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…