Sorry kwa uelewa wangu IB in introducing Broker.yani broker(MTU)anayekuintroduce kwa broker kama Tickmill na anapewa commission. Hiyo namba ni ya nani?https://secure.tickmill.com/redirect/index.php?cii=10083&cis=1&lp=https://tickmill.com/
Sorry sikuwa online kwa muda mrefu.. Nimekuta PM nyingi kuhusu Broker aitwaye Tickmill,
Pia watu wanasumbuka kufungua live account na tickmill kwakuwa pale chini kuna sehemu ya kujaZa IB Number wengi hawanaga so ukiwa unafungua live tumia number hii :23138654
Sent using Jamii Forums mobile app
aise hii kali mkuu yani anataka kutufanya sisi washamba sana ili tumuingizie pesa safi Mkuu.Sorry kwa uelewa wangu IB in introducing Broker.yani broker(MTU)anayekuintroduce kwa broker kama Tickmill na anapewa commission. Hiyo namba ni ya nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fx pro financial limitted, hawana shida kwenye withdraws zao
Mkuu sijathibitisha,nilikua nauliza tupate ufafanuzi zaidiaise hii kali mkuu yani anataka kutufanya sisi washamba sana ili tumuingizie pesa safi Mkuu.
okay mkuu nimekupata ngoja tusubili ufafanuzi kutoka kwa mdau aliyeweka hiyo link.
Yani kirahisi tu watu tutumie namba ambayo hatuijui maana yake kwenye maswala ya msingi sana kama hela??? you can't be serious dude. tuambie hiyo namba maaana yake na madhara ya kuitumia hiyo namba na pia umeipata wapi a.k.a nani kakupa. who is the guy behind the number??????? otherwise I can smell fishy on the number and that brings questions to the Tickmill reputation as a trusted broker! So the number u gave us + Tickmill broker are officially DISQUALIFIED. Otherwise proven beyond doubt.https://secure.tickmill.com/redirect/index.php?cii=10083&cis=1&lp=https://tickmill.com/
Sorry sikuwa online kwa muda mrefu.. Nimekuta PM nyingi kuhusu Broker aitwaye Tickmill,
Pia watu wanasumbuka kufungua live account na tickmill kwakuwa pale chini kuna sehemu ya kujaZa IB Number wengi hawanaga so ukiwa unafungua live tumia number hii :23138654
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap .. Three mountains or three tops is top reversal.
Habari ya asubuhi.
Hongera wote kwa kutambua hii Biashara.
kwa wale ambao tayari wameanza,
Mapendekezo (preference) yangu kwa leo ni.
Happy trading.
- EURUSD - LONG
- GBPUSD - LONG
- USDJPY - ** Caution
- EURJPY - LONG
- GBPJPY - LONG
- AUDUSD - LONG
- USDCAD - SHORT
- GOLD - LONG
Yani kirahisi tu watu tutumie namba ambayo hatuijui maana yake kwenye maswala ya msingi sana kama hela??? you can't be serious dude. tuambie hiyo namba maaana yake na madhara ya kuitumia hiyo namba na pia umeipata wapi a.k.a nani kakupa. who is the guy behind the number??????? otherwise I can smell fishy on the number and that brings questions to the Tickmill reputation as a trusted broker! So the number u gave us + Tickmill broker are officially DISQUALIFIED. Otherwise proven beyond doubt.
Tuko pamoja kaka ...Shukrani sanaTunajaribu Ku apply kile tulicho soma ingawa pamaweza kuwa na makosa madogo madogo kadhaa ni sehemu ya kujifunza.
Mm nimeuona huu Uzi almost 15 minutes baada ya kuwa published. I was so motivated kuanzia tarehe hiyo 26 May 2017, miezi mitatu sasa imepita.
Mwanzoni nami nilikuwa naona Cheche, nilikuwa sielewi vzr vitu hivi. Nilisoma kwa bidii sana kuhakikisha hii kitu ninaielewa. Yaani zaidi ya 50% ya muda wangu wa kila siku niliutumia kwenye forex. Masaa yangu ya kulala yalibadilika. Nilikuwa nalala mara nyingi saa 8 usiku kwa sbb ya msuli wa hii kitu. Mchana natafuta muda nikiwa kazini nakula msuli (kwa kweli hata muda wa muajili nimeuiba sana kwa ajili ya forex). My mind was completely swallowed by forex.
Hivyo it is not easy. It takes time with a lot of efforts and determination you put in it.
Nami hata sasa kuna mengi sijajua kuhusu forex. Natamani nipate nafasi ya Ku attend seminar ya ONTARIO. I am not that confident mpaka tu nitakapo attend hiyo training.
So don't loose hope, kazana kusoma na usirukie kwenye kufanya analysis kabla ya kujua basics za forex. Nakushauri soma kitabu cha my forex bible, kisha nenda kwa astroforex. At least hivi vinaanza kukuelekeza kama mtoto anayefundishwa kuanza kukaa.
Nakusisitiza usiruke kukimbilia mbele au kumaliza kitabu. Soma kwa makini hatua kwa hatua usiruke ruke, hutaambulia kitu ukifanya hivyo.
Ukizingatia hayo, with time utashangaa unaanza kuona mwanga na kuelewa kinachoendelea
Pamoja mkuu.
Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah shukrani sana mkuu. .ni kwenye demo au real account?Nawahamasisha wakuu.
Ujue kila mtu akiwa anaongelea biashara ya Forex bila hata mtu mmoja kuonyesha mafanikio yake hapa, itaonekana kama hadithi za ajabu.
Umeona zaidi ya faida ya $500 ya Jumapili jioni nimeongeza $1030 faida mpya Jumatatu asubuhi saa mbili kamili za huku?
Sasa hivi wiki hii kuanzia Jumapili mpaka Jumatatu asubuhi nishapiga faida ya $1530.
Na hapo bado Jumatatu ina masaa kibao ya kuongeza faida zaidi kama nataka kuendeleza libeneke.
Sikutishi mkuu.
Nakupa changamoto.
Sent from my Kimulimuli
Yani kirahisi tu watu tutumie namba ambayo hatuijui maana yake kwenye maswala ya msingi sana kama hela??? you can't be serious dude. tuambie hiyo namba maaana yake na madhara ya kuitumia hiyo namba na pia umeipata wapi a.k.a nani kakupa. who is the guy behind the number??????? otherwise I can smell fishy on the number and that brings questions to the Tickmill reputation as a trusted broker! So the number u gave us + Tickmill broker are officially DISQUALIFIED. Otherwise proven beyond doubt.