Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Thank you for the update

I pray they reach here safely

Tuko tayari mkuu. Mambo mazuri sometimes hayataki haraka maana kuna wahenga walisema haraka haraka haina baraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
moment we been waiting for, pole sana boss kwa vkwazo, uchofu unalo jeshi la kutosha katika hili, support yetu n kitu kikubwa sana kwako xo kwa hilo tutakua pamoka til da end

Sent using Jamii Forums mobile app
 
thanks kwa taarifa mkuu mkombozi wa kweli kwa vijana kwa tanzania.
 
Tuko pamoja, Tusonge mbele.
 
Unajua mpaka now cjaelewa, nipo hapa lakn cjajua hasa dhumuni.
Unalaunch school pekee, ambako tutajifunza, au pia unafanya process za kufungua brokerage company?

Kwa maoni yangu, wengi tutasoma, lakn linapokuja suala la kupata mabroker itakuwa changamoto, hasa kwa suala la replenishing na withdraw katika akaunt.

Have you thought about this?

All in all,
All the best in all your plans.
Stay Blessed and protected!

<> semper fi <>
 
Leo tunapiga fresh profit ya $1850, jana tulipiga about $1000 na Dow 30 futures.

Wiki hii nakuwa risk averse zaidi. Kuliko kawaida. Trump hachelewi kukubadilishia gia hewani saa ya mwisho ya safari.

Wiki inaisha vizuri.
To be honest natamani nijiconvert sijui namna gani niwe na kiwango chako mkuu......unanimotivate sana.
[emoji29] kungekuwa na sindano ya kuchoma kama zile za kuongeza sehemu ya mwili ningechoma.
 
Thanks Brother kwa taarifa, i guess i have few more days za kukaa huku..

Mungu awalinde wawezeshaji waliopo njiani wafike salama.
Tuko pamoja mkuu.
 
finally..the long awaited feedback..asante kiongozi kwa jitihada na unyenyekevu..naamini umepitia meeengi tu..ila kwa moyo wako wa kupenda kusaidia wengine umejikaza sana and finally it have paid off..thanks brother..
 
Per earlier prediction.

It's a wrap.

$1850 fresh profit today in the portfolio. Courtesy of futures binary options for Wall St 30 (Dow Jones 30) > 21920 @ 4:15 US ET September 1 2017.

Let the long weekend begin.
 
Since day 01 I had faith in u brother.....No matter what people say or circumstances that u face, I pray to God that we may not loose our focus....Let's be bold and fight till the end, it will all be worthy, "Together we can".......I truly appreciate your tireless efforts Ontario.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…