Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Hey mates!! Saa 3 ndio hii.

Hope all you are doing well.

Guys kesho Tarehe 2 ilibidi tulaunch kama nilivyotangaza awali na tarehe 4 ndio tuanze na batch ya kwanza... But very unfortunately delays nyingi zimejitokeza nje ya uwezo wetu.

Kwanza kabisa kuna mambo kadhaa yaliingiliana huku upande wangu, so nikashindwa kupush hii ishu yetu. But namshukuru Mungu sasa ninavyoongea kila kitu kipo on point.

Na upande wa pili, my team are driving from SA till here. Expectations zimekuwa tofauti kabisa na reality. Kiuhalisia wamesumbuliwa sana boarders humu, sehemu zingine inabidi wakae more than 4 hrs kuprocess makaratasi. Lkn mpk saa 7 mchana, walikuwa Zambia. So hopefully Mungu akitupa uzima, kesho usiku wanaweza kua Bongo. Kama hiyo itatokea basi we will start ASAP.
79980cbc4b73802994badd9aa6d29b8b.jpg


As far as bado tuna uzima, ni jambo la kheri na kumshukuru Mungu. So my guys wakishafika tu Bongo, then tutastrategize upya na kujua lini tunalaunch na lini tunaanza. Lkn nina uhakika zaidi ya asilimia 90 kua hii ndio wiki ya mwisho. Wiki ijayo kati ya j5 au Alhamisi tutalaunch the programme.

Pia kati ya kesho (jmosi) ama kesho kutwa (jumapili) nitafungua uzi mpya ili kuelezea kuhusu utaratibu mzima kuanzia launch, training programme! syllabus structure, registrations & admissions nk nk.

Zaidi ya yote guys, ntakua mnafiki sana nisiposema kua the whole of this journey has taught me many lessons that I'd otherwise not learn from anywhere on earth. Nimejifunza vitu vingi sana sana sana, both negative and positive. Nimekutana na watu wengi sana, wengine wakijaribu kunikata stimu, wengine wakileta vitisho na wengine wakinipa reasonable solutions. All in all am always greatful kwamba watu wameweza kuwa na positive mindset about global financial markets, na itakua furaha kubwa sana kwangu kuona my fellow black brothers and sisters getting into the real part of it.

Pamoja sana wandugu and enjoy your weekend. Tupo pamoja hadi kieleweke.
Nami nina ombi kuhusu updates mkuu. Kwanza hongera hadi hapo ulipofika. Si kazi ndogo. Pili kuhusu updates, hata kama utaanzisha uzi mpya ni kuwa ukiwa na jambo jipya na nyeti liweke pale kwenye post ya kwanza ili tuweze kujua kinachoendelea kwa urahisi. Post zikiwa nyingi inakuwa pia ngumu kufuatilia updates zako

Imetumwa kupitia Tecno Camon Cx
 
Per earlier prediction.

It's a wrap.

$1850 fresh profit today in the portfolio. Courtesy of futures binary options for Wall St 30 (Dow Jones 30) > 21920 @ 4:15 US ET September 1 2017.

Let the long weekend begin.
Alwatan kama hutajali Boss tuachie mawasiliano tukutafute mkuu , una Inspire sana
 
My "art work" 3 days ago. As a result, EURUSD went down over 100 pips. Keep learning and spend time practicing
 

Attachments

  • eurusd_.PNG
    eurusd_.PNG
    50.3 KB · Views: 71
  • eurusd2.PNG
    eurusd2.PNG
    55.9 KB · Views: 64
My "art work" 3 days ago. As a result, EURUSD went down over 100 pips. Keep learning and spend time practicing
Mkuu. Brilliant.

Nafikiri siku ilivyopanda hivi nilitoa onyo na kusema ilivyopanda ghafla inaweza kushuka hivyo hivyo kutafuta a happy settling.

Analysis ya charts kama hivi muhimu sana.

Thanks for the inspiration that shows we can figure this out.

Sent from my Kimulimuli
 
Nieleweshe hapa. Ina maana umetia kibindoni hiyo amount? Na umeenda kuichukulia benki>

Imetumwa kupitia Tecno Camon Cx
Nimepata hiyo amount kwenye account yangu ya NADEX. Hizo ni US dollars nilizopata Ijumaa. Alhamisi nilipata about $1000. Kuna ijumaa ya wiki iliyopita nilipata $3,800. Kuna siku nilijipanga na markets zilienda vizuri nikapiga $5,000 kwa siku moja. Ukifuatilia posts zangu za nyuma utaona nimepost nafikiri. So hizi za jana na juzi nimekuwa machale zaidi kwa sababu ya mwenendo wa volatility kama ya EUR/USD alivyoonyesha Rob hapo juu.

Naweza kuzitoa NADEX kuziweka katika bank account yangu, lakini nataka kuzitumia kupiga hela zaidi kwanza kabla ya kuzitoa.

Sent from my Kimulimuli
 
Nimepata hiyo amount kwenye account yangu ya NADEX. Hizo ni US dollars nilizopata Ijumaa. Alhamisi nilipata about $1000. Kuna ijumaa ya wiki iliyopita nilipata $3,800. Kuna siku nilijipanga na markets zilienda vizuri nikapiga $5,000 kwa siku moja. Ukifuatilia posts zangu za nyuma utaona nimepost nafikiri. So hizi za jana na juzi nimekuwa machale zaidi kwa sababu ya mwenendo wa volatility kama ya EUR/USD alivyoonyesha Rob hapo juu.

Naweza kuzitoa NADEX kuziweka katika bank account yangu, lakini nataka kuzitumia kupiga hela zaidi kwanza kabla ya kuzitoa.

Sent from my Kimulimuli
be my mentor plz, nakula nondo za forex mdogo mdogo.....
 
Nimepata hiyo amount kwenye account yangu ya NADEX. Hizo ni US dollars nilizopata Ijumaa. Alhamisi nilipata about $1000. Kuna ijumaa ya wiki iliyopita nilipata $3,800. Kuna siku nilijipanga na markets zilienda vizuri nikapiga $5,000 kwa siku moja. Ukifuatilia posts zangu za nyuma utaona nimepost nafikiri. So hizi za jana na juzi nimekuwa machale zaidi kwa sababu ya mwenendo wa volatility kama ya EUR/USD alivyoonyesha Rob hapo juu.

Naweza kuzitoa NADEX kuziweka katika bank account yangu, lakini nataka kuzitumia kupiga hela zaidi kwanza kabla ya kuzitoa.

Sent from my Kimulimuli
unatisha mkuu
 
Week iliyopita, Movement ya GOLD na DOW zimeniwezesha kumultiply five times 30 USD welcome bonus ya tickmill to 148 USD. Technically nimetengeneza faida ya almost 120 USD, na hii move imenichukua almost mwezi mzima toka nianze kutrade hii welcome bonus ya TICKMILL. Initialy nilichoma 30 USD welcome bonus ya XM, na kwa kuwa rule inasema do not invest on something you don't know about, nikajiona sijui bado na nikaogopa kufanya real deposit, nikasema ngoja nimtafute broker mwengine mwenye welcome bonus nijaribu kuipandisha tena kama nitaweza ndipo nikaangukia kwa tickmill. Kwa mujibu wa sheria za Tickmill hapo naweza withdraw up to 100 USD as my profit. So siyo lazima uwe na 5000 USD kama mdau mmoja alivyoshauriwa hapo kabla ndo uwaze anza forex. Just umakini na discpline matters.


dow.PNG
 
Week iliyopita, Movement ya GOLD na DOW zimeniwezesha kumultiply five times 30 USD welcome bonus ya tickmill to 148 USD. Technically nimetengeneza faida ya almost 120 USD, na hii move imenichukua almost mwezi mzima toka nianze kutrade hii welcome bonus ya TICKMILL. Initialy nilichoma 30 USD welcome bonus ya XM, na kwa kuwa rule inasema do not invest on something you don't know about, nikajiona sijui bado na nikaogopa kufanya real deposit, nikasema ngoja nimtafute broker mwengine mwenye welcome bonus niipandishe tena ndipo nikaangukia kwa tickmill. Kwa mujibu wa sheria za Tickmill hapo naweza withdraw up to 100 USD as my profit. So siyo lazima uwe na 5000 USD kama mdau mmoja alivyoshauriwa hapo kabla ndo uwaze anza forex. Just umakini na discpline matters.


View attachment 580191
Hongera Complex,so ingekua $300 now ungekuwa na $1500!Training ianze tu asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera Complex,so ingekua $300 now ungekuwa na $1500!Training ianze tu asee

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaahaaa, Siyo rahisi hivyo aisee, ningeweka hiyo 300 USD katika akaunti najua ningekuwa na faida chini ya hapo pengine 500 USD, Kwani ningecheza kwa kupaki basi mithili ya Jose Mourinho, huku huwa hesabu za kuzidisha zinakataa kabisa, Hesabu nzuri katika hii biashara ni kutoa na kujumlisha. Ukipenda sana kuzidisha hukawii kukuta umejitia kiberiti mwenyewe Heheehehehee.
 
Nimepata hiyo amount kwenye account yangu ya NADEX. Hizo ni US dollars nilizopata Ijumaa. Alhamisi nilipata about $1000. Kuna ijumaa ya wiki iliyopita nilipata $3,800. Kuna siku nilijipanga na markets zilienda vizuri nikapiga $5,000 kwa siku moja. Ukifuatilia posts zangu za nyuma utaona nimepost nafikiri. So hizi za jana na juzi nimekuwa machale zaidi kwa sababu ya mwenendo wa volatility kama ya EUR/USD alivyoonyesha Rob hapo juu.

Naweza kuzitoa NADEX kuziweka katika bank account yangu, lakini nataka kuzitumia kupiga hela zaidi kwanza kabla ya kuzitoa.

Sent from my Kimulimuli
Thanks kwa maelezo ya awali. Huyo nadex ni broker? Na ni benki gani waweza deposit hii hela ya forex na ku draw bila mizengwe? Nakumbuka Ontario alisema benki kama crdb wanazingua. Response yako ni VALUABLE sana

Imetumwa kupitia Tecno Camon Cx
 
Hahahaahaaa, Siyo rahisi hivyo aisee, ningeweka hiyo 300 USD katika akaunti najua ningekuwa na faida chini ya hapo pengine 500 USD, Kwani ningecheza kwa kupaki basi mithili ya Jose Mourinho, huku huwa hesabu za kuzidisha zinakataa kabisa, Hesabu nzuri katika hii biashara ni kutoa na kujumlisha. Ukipenda sana kuzidisha hukawii kukuta umejitia kiberiti mwenyewe Heheehehehee.
Yap naelewa hata ingefika 500 almost umei double! Si haba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Week iliyopita, Movement ya GOLD na DOW zimeniwezesha kumultiply five times 30 USD welcome bonus ya tickmill to 148 USD. Technically nimetengeneza faida ya almost 120 USD, na hii move imenichukua almost mwezi mzima toka nianze kutrade hii welcome bonus ya TICKMILL. Initialy nilichoma 30 USD welcome bonus ya XM, na kwa kuwa rule inasema do not invest on something you don't know about, nikajiona sijui bado na nikaogopa kufanya real deposit, nikasema ngoja nimtafute broker mwengine mwenye welcome bonus nijaribu kuipandisha tena kama nitaweza ndipo nikaangukia kwa tickmill. Kwa mujibu wa sheria za Tickmill hapo naweza withdraw up to 100 USD as my profit. So siyo lazima uwe na 5000 USD kama mdau mmoja alivyoshauriwa hapo kabla ndo uwaze anza forex. Just umakini na discpline matters.


View attachment 580191
XM na tikmil ni brokers?

Imetumwa kupitia Tecno Camon Cx
 
Mkuu. Brilliant.

Nafikiri siku ilivyopanda hivi nilitoa onyo na kusema ilivyopanda ghafla inaweza kushuka hivyo hivyo kutafuta a happy settling.

Analysis ya charts kama hivi muhimu sana.

Thanks for the inspiration that shows we can figure this out.

Sent from my Kimulimuli
Thanks mkuu. Correct, I think pair ina-retrace sasa au ndo inarudi ilikotoka.Either way its going down. Itazidi kushuka next week maana kwa sasa ilikua at its highest point since 2015. Same applies to EURGBP.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom