Wadau wa Uzi huu
Kwanza nimshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutukutanisha na kutupa uzima wa afya.
Nimesoma all posts +8200 in all 411 pages for 5 days. I committed myself to read 100 pages per day in 5 hours.
Nimeweza kushusha vitabu vyote vilivyorushwa but sijaanza kusoma. Shukrani za pekee kwa
Mwl.RCT
Most of the Posts kuhusu Technical Analysis as Posted by
Lodrick Thomas ,
Complex and
MWANA WA NGURUMO sijazielewa vizuri so ntazirudia tena next week baada ya kusoma vizuri Technical Analysis from the books. So nimepanga kusoma vitabu vyote kwa topics cz nina background ya Finance so sihitaji "msuli yatima" na ninaelewa Time Zones and when the trading markets overlap. I believe reading 7 books on one topic opens the brain into deeper zones of understanding.
When I first saw this thread, nilisema kama sitoweza kusoma 100 pages per day kwenye JF then I will not be able to read the books. Trading is all about Discipline. Determination to be disciplined is as important as rule number one.
I wish to share my reading Plan from Now on
Mondays - Trading Strategy and Trading Plan
Tuesdays - Trading Psychology (including Sentiment Analysis) and Risk Management
Wednesdays -Technical Analysis
Thursdays - MT4 and Demo Practice
Fridays - Fundamental Analysis
Saturdays - You tube Videos
Sundays - Biographies of Successful Traders
Kuna technique za msingi kwenye discipline everyone should know; When you enter a room, make sure you know how you will get out. Dont enter into trades without an exit strategy. Jingine ni principle ya football; you will win a game with good strikers but to win a Cup you need good defense. Hapa ni kujikumbusha umuhimu wa SL and TP kwenye all trades na tujifunze kuanza na conservative strategy (-1% vz +3%) and latter on tujaribu aggressive strategies (-3% vz +7%).
Nitafanya demo trading until 31 December, 2017 then in 2018 nitaanza kuweka cash. Unfortunately sikuweza kufanya registration but nitatembelea Jagad Plaza when I have time.
Lastly, as a recommendation, before you put your money you need a plan on how you will utilize the earned cash, I suggest kila mmoja atoe some part of the earned money for charity to help the needy, spend some and retain half of it to grow the trading account.
Brother
Bavaria nashukuru sana kwa insights zako, I may be in njombe next month, kama itakupendeza ningependa kukusalimia. Brother
ONTARIO thanks for this thread, nilianza kusoma hii kitu in 2015 but I gave up cz sikupata Mentor, USD 300 for the classes and Mentor is a good deal.
May God Bless you all and Good luck with your trades and reading.
Sita Sita