James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,761
Mkuu Ontario kwa bandiko lako,ila mbona biashara hii ni kama kamari tu mkuu.At most I can call it White Collar Bingo.Why do I call it White Collar Bingo,because the back bone of this business is speculation of the value of the currency you want to buy,that is you assume under the prevailing circumstances that it will be of a higher value compared to the one you have.So this is Bingo mkuu.Kwa sababu hiyo sio kila mtu anaweza kufanya this kind of business.If for example you are a strong believer in Christ Jesus,you can't do this business.Forget about akina Bushiri who pretend to be believers but do not actually believe in Jesus Christ, but believe in other entities.
1. Mkuu nadhani kuna kitu unashindwa kukielewa hapa. Simply unawedza ukagoole halafu ukaangalia majibu yatakayokuja, kama forex ni gambling or not, halafu hayo majibu uyalete hapa.
2. Kuna vitabu vingi sana duniani ambavyo vinafundisha kuhusiana na forex. kama kweli forex ni gambling naomba uniletee vitabu ambavyo vinafundisha kuhusiana na gambling, na ukifanikiwa kuniletea hivyo vitabu, utakuwa umefanikiwa kuniteka niachane na forex.
3. Katika haya macasino kuna usemi mmoja huwa wanautumia, na unasema hivi "Always house benefits" nadhani unaeleweka tu bila shida. Yaani unaweza ukawin mara moja then ukaloose hata mara 1000. Katika forex tuna watu ambao wana winning consistency. yaani mtu katika kila trades 100 anaweza akawin hata trades 95 na akaloose trades 5 tu. Halafu kitu cha kushangaza ni kwamba loss aliyoipata katika hizo trades 5 alizopoteza inakuwa compasated na trade moja tu aliyowin na chenji inabaki.
Naomba nikujibu kitu ambacho mimi nakifahamu. Any kind of trade in this world must obey the theory of economy, that is demand and supply. Demand and supply ndio kitu ambacho kinaendesha biashara yoyote duniani. Price itaincrease kunapokuwa na increase in demand na pia itadecrease kutakapokuwa na increase in supply and viceversa. Hata forex nayo inawork under this principle 100%. Kwa maana hiyo kusema kwamba forex ni gambling ni sawa na kusema kwamba any kind of trade in this world is a gambling, kwa mfano, what if umenunua kilo 10 za mchele kwa bei ya tsh. 2000 kwa kila kilo 1 na matarajio yako yakiwa ni kuuza kwa 2200 kwa kila kilo moja, then baada ya kuja sokoni kuuza mchele wako ukakua bei ambayo watu wanauza ni 1900 tsh. kwa kila kilo. kwa maana hiyo ni lazima tu utauza kwa hasara. na je na hii nayo niite gambling?
Mwisho naomba tu nikujibu kwamba hakuna biashara ambaYO PROFIT NI 100%. kila biashara ambayo mtu amefanya na akafanikiwa basi ukae ukijua kwamba kuna some losses hata kama ni kidogo. kilichotokea mpaka akafanikiwa basi profits zilikuwa kubwa sana ukilinganisha na losses mpaka akafanikiwa. watu wananunua bidhaa and unakuta some of hizo bidhaa zinakuwa defected na hiyo yote inakuwa ni loss.
I STAND TO BE CORRECTED