Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nakerwa na hawa watu wa scams coz wanarubuni watu wengi na of coz majinga ni mengi ya kudanganywa na kupigwa hela. Ila inanikera the way these scamer wanarubuni watu. Wanapamba articles zao kwa maneno ya waridi huku ni wezi majizi makubwa. Maisha mazuri yanapatikana ka kufanya kazi kwa juhudi na HAKUNA short cut. Wanaotafuta pesa za bure bure za haraka haraka wanaangamia kila sku. Most scamers ni wa Naigeria na wa Afrka kusuni naona kuna wabongo nao sasa wanaanza kujifunza scaming and fraunding.
Ya tumekuwelewa endelea kukerwa sisi wengine huu "utapeli" tumeupenda na haturudi nyuma pia kumbuka hakuna short cut kwenye forex.
 
Na kama lengo lake ilikua kutoa elimu na sio scaming why is he trying drain people's attaintion on him. Eti local banks zinapinga forex na kusumbua kutoa hela, THE TRUTH IS HAWAWEZI KUTOA FRAUND MONEY ITS NOT EVEN REALLY


Kubwa zima hata Kizungu cha kuokotea makopo kinakushinda.
Ukipewa Forex Bible yenye page 600 utaishia Kujinyea tu.
 
Na kama lengo lake ilikua kutoa elimu na sio scaming why is he trying drain people's attaintion on him. Eti local banks zinapinga forex na kusumbua kutoa hela, THE TRUTH IS HAWAWEZI KUTOA FRAUND MONEY ITS NOT EVEN REALLY, NI UTAPELI WA HALI YA JUU NA WOTE MTAKAO JIPELEKA NA KUJIUNGA KWA "KUTUPA" VIJIPESA VYENU KUJIUNGA. MSIJESEMA SIKUWATAHADHARISHA
Ndo uwezo wako wa kufkiria umeishia hapa?
 
Internet money, forex whatever IS A WASTE OF TIME. Yu talk of LUmu what of you, umenunua magari yakifahari, maprivate jet au hayo maghorofa mangapi. Fake fake fake JAMANI MNIAMINI THIS IS ALL FRAUND NA HUYU JAMAA ATAWAPIGA HELA SIJUI ZA KUJIUNGA SIJUI STARTER SEED WHATEVER.

Oct 11 Joining Date hapa JF, nikuulize swali la kawaida tu, hivi ushafanya utafiti wa kutosha ambao ukakuwezesha wewe kuyazungumza haya unayoyazungumza?

Sisi tumekomaa toka mwezi May 2017 tuka na Ontario katika safari hii ya Forex sasa tunakaribia kufika wewe unataka kutuharibia safari kwa ufinyu wako wa kufikiri!!!!

Naomba nikufahamishe kuwa ushachelewa
 
Na kama lengo lake ilikua kutoa elimu na sio scaming why is he trying drain people's attaintion on him. Eti local banks zinapinga forex na kusumbua kutoa hela, THE TRUTH IS HAWAWEZI KUTOA FRAUND MONEY ITS NOT EVEN REALLY, NI UTAPELI WA HALI YA JUU NA WOTE MTAKAO JIPELEKA NA KUJIUNGA KWA "KUTUPA" VIJIPESA VYENU KUJIUNGA. MSIJESEMA SIKUWATAHADHARISHA

Tuseme haukutupa taarifa hivi we nani katika Forex? Wacha kujishaua Dogo!!
 
Na kama lengo lake ilikua kutoa elimu na sio scaming why is he trying drain people's attaintion on him. Eti local banks zinapinga forex na kusumbua kutoa hela, THE TRUTH IS HAWAWEZI KUTOA FRAUND MONEY ITS NOT EVEN REALLY, NI UTAPELI WA HALI YA JUU NA WOTE MTAKAO JIPELEKA NA KUJIUNGA KWA "KUTUPA" VIJIPESA VYENU KUJIUNGA. MSIJESEMA SIKUWATAHADHARISHA
Sasa mbona umechelewa kutuambia ulikuwa wapi siku zote tangu may 2017
 
Kaka hii comment yako ni ya [HASHTAG]#8583[/HASHTAG],tumeshatahadharika mpaka tumeshindikana,acha tu atutapeli.Unajua ulimwengu huu wa science & Tech hata Forex ipo mtandaoni twaisoma kabisa. Mm nikuambie tu Tarehe 23 naanza mafunzo ya kitapeli pale Jangid Plaza ntakuja kutoa ushuhuda namna nimefuzu kwenye Course ya utapeli,afu malipo yake sasa kuna mentorship 6 months ya namna ya kuendelea kujitapeli(maana sioni namna ya kutapeli mwingine)
Shukrani za Dhati kwa Ontario n Team mbarikiwe sana,nilikuwa naisikia forex sijui namna ya kuanza ila kupitia vitabu nnavyosoma naamini pia hata training itanifungua macho.
Mkuu same to me mm nimeridhia kabisa kutapeliwa kiroho safi sihitaji ushauri mana sikopi wala kuomba hela sihitaji kupewa ushauri w namna yoyote then nani kasema FOREX INA EASY MONEY HAKUNA EASY MONEY FOREX, NO SHORTCUT FOREX, ONTARIO NIPO TAYARI UNITAPELI KABISA MUDA SIO MREFU UNAKUJA MJI MKUU KARIBU,
 
Nakerwa na hawa watu wa scams coz wanarubuni watu wengi na of coz majinga ni mengi ya kudanganywa na kupigwa hela. Ila inanikera the way these scamer wanarubuni watu. Wanapamba articles zao kwa maneno ya waridi huku ni wezi majizi makubwa. Maisha mazuri yanapatikana ka kufanya kazi kwa juhudi na HAKUNA short cut. Wanaotafuta pesa za bure bure za haraka haraka wanaangamia kila sku. Most scamers ni wa Naigeria na wa Afrka kusuni naona kuna wabongo nao sasa wanaanza kujifunza scaming and fraunding.
So FX ni shortcut???
 
Na kama lengo lake ilikua kutoa elimu na sio scaming why is he trying drain people's attaintion on him. Eti local banks zinapinga forex na kusumbua kutoa hela, THE TRUTH IS HAWAWEZI KUTOA FRAUND MONEY ITS NOT EVEN REALLY, NI UTAPELI WA HALI YA JUU NA WOTE MTAKAO JIPELEKA NA KUJIUNGA KWA "KUTUPA" VIJIPESA VYENU KUJIUNGA. MSIJESEMA SIKUWATAHADHARISHA
It's too late "baby girl"
 
Wazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.

Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.

Karibuni kwaaliji ya ku discuss.

Updates

Moja ya ombi la msingi ambalo nimeona watu wengi wanaulizia ni - "Ontario ni kitabu gani naweza kuanza nacho?"

Kila mtu ambae yupo interested atafute kitabu kinaitwa Currency trading for Dummies: Kimeandikwa na Brian Dolan 2nd Ed ndio poa zaidi. Cover yake ni kama changano then kuna dunia hivi inaramani za nchi mbali mbali.

Unaweza kipakua hapo,mi pia ni mmoja wa wanaofatilia kwa karibu uzi huu,naomba kujua application/website inayotumika kutrade hasa kwa beginners,Asante sana
 

Attachments

Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom