Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu AMLIGHT huyo broker wa kutumia M Pesa kudeposit na kudraw ni katika dollars au tshs mkuu.
Unadeposit katika Tsh, na unadraw katika Tsh... Anaconvert mwenyewe... Na conversion rate yake ni $1 = 2239TZS, unapodeposit. Ila unapotoa, $1 huwa hadi 3120Tsh, kwa sbb ya conversion ya Ksh kwanza, then Tsh. (unapowithdraw, pesa inaingia kwa namba ya Kenya)
 

Ipo kwenye international finance.
 
Hii biashara inanizungusha mno ..naona km ma broker ndio wanafaidi hp... Maana naona all successful traders wanauza other supporting services/mentors.. Sijaona trader mdg successful anafanya trading peke yake...
 
Hii biashara inanizungusha mno ..naona km ma broker ndio wanafaidi hp... Maana naona all successful traders wanauza other supporting services/mentors.. Sijaona trader mdg successful anafanya trading peke yake...


I do. And this is today...
 
Hongera kiongozi... Karibu mbwawa/zegereni na mbezi nauza viwanja mkuu... Ukipiga ..japo na sie tupatie faida ya forex huku... Huko vichwa tu mnapaweza bwana
Usikate tamaa boss, umejaribu kutrade? Umebahatika kuchoma akaunt ngapi?
 
Ukiwa humo ukapata mwanga, huku inakuwa rahisi zaidi.
Nimepita huko mkuu, ila bado vyuma vinakaza.......

Ile elimu ni tofauti na hii ya support and resistance, fibonachi, doji etc

Acha kabisa mkuu. Haya hayapo NBAA ndiyo maana natamani kama wangeyaongeza
 
Siku ya kwanza nilipofungia uzi huu sikutaka hata kupoteza muda nikajua mambo yale yale ya living forever sasa nimepata mwanga.

Sasa nawezaje kujiunga na hii biashara please naomba muongozo.
 
Siku ya kwanza nilipofungia uzi huu sikutaka hata kupoteza muda nikajua mambo yale yale ya living forever sasa nimepata mwanga.

Sasa nawezaje kujiunga na hii biashara please naomba muongozo.
Humu kuna vitabu kibao, je umevisoma? Na kuna kitu kinaitwa demo akaunti, (akaunt ya kufanyia mazoezi) je unayo?
 
Hii biashara inanizungusha mno ..naona km ma broker ndio wanafaidi hp... Maana naona all successful traders wanauza other supporting services/mentors.. Sijaona trader mdg successful anafanya trading peke yake...
Mkuu i wish you wont give up, unaweza kujitegemea mwenyewe ukiamua, as i do... Hadi muda huu, niko hapa. Ni ndogo sana hyo, lakini ni karb 20,000/= ya tz, ambayo imeingia ndani ya chn ya 1hr. If you serious I can help you
 
Humu kuna vitabu kibao, je umevisoma? Na kuna kitu kinaitwa demo akaunti, (akaunt ya kufanyia mazoezi) je unayo?

Mkuu sijasoma kitabu wala hiyo accaunti ya Demo sina naomba muongozo
 
Hii biashara inanizungusha mno ..naona km ma broker ndio wanafaidi hp... Maana naona all successful traders wanauza other supporting services/mentors.. Sijaona trader mdg successful anafanya trading peke yake...

Hata Mtoto huanza kunyonyeshwa, kulishwa Na akisha kuwa anajimudu huanza kula mwenyewe.
 
Hii biashara inanizungusha mno ..naona km ma broker ndio wanafaidi hp... Maana naona all successful traders wanauza other supporting services/mentors.. Sijaona trader mdg successful anafanya trading peke yake...

Hata Mtoto huanza kunyonyeshwa, kulishwa Na akisha kuwa anajimudu huanza kula mwenyewe.
 
Nimepita huko mkuu, ila bado vyuma vinakaza.......

Ile elimu ni tofauti na hii ya support and resistance, fibonachi, doji etc

Acha kabisa mkuu. Haya hayapo NBAA ndiyo maana natamani kama wangeyaongeza

Bado Uko level ya atec hapa, endelea kujifunza. Ukifika module F utakuwa vizuri tu. Polepole ndio mwendo.
 
Mkuu sijasoma kitabu wala hiyo accaunti ya Demo sina naomba muongozo
Huna namna, kawa wataka kuwa self reliant trader muongozo ni kusoma tu na kuchezea demo mpaka kieleweke... La sivyo utaingia na kuamua kuacha tu kwa hasara unazopata
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…