the viking
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 1,170
- 1,372
asante mkuu..Lot size ni leverage mkuu.
Micro lot 1 pip = 0.1 USD
Mini lot 1 pip = 1 USD
Standard lot 1 pip = 10 USD.
Kwahiyo kama unatrade kwa standard lot ya 10 ina maana kila pip inayoongezeka unakuwa unatengeneza 100 USD. Na ikienda agaist wewe unakuwa una loose 100 USD kwa kila pip.
asante mkuu..
Shukrani mkuu, ngoja nipambane hadi kieleweke.
Naona kama umeamua kutuita wateja zako watarajiwa wapumbavu pasipo na sababu yeyote. Mimi nilitegemea jinsi ulivyo mwalimu na mwandishi mzuri ungetumia busara zaidi kutujibu, lakini you lost it kwa kuni refer mimi kama mpumbavu. Bora niwe mpumbavu sasa ili nieleweshwe kuliko kuwa mpumbavu to the end.
Anyway, hebu nieleze nitaweza register vipi kwenye www.forex.com nikiwa kama mtanzania? Hizo MasterCard zitakazotolewa zitakuwa za prepaid au hapana? Kama siyo za prepaid zitakuwa na limit ya kiasi gani? Baada ya kupata training nitaweza tumia platform zipi online na payment card ya namna gani? Je itanipasa kulipia chochote baada ya training?
Hey luv,Upo sahihi kabisa.
Nikupe siri moja, jikaze mwezi mzima (tuseme June) unasoma vitabu ili upate ABCs.
July ufanye mwezi wa kusoma strategies mbalimbali.
August, ufanye mwezi wa kuitumia demo yako kutest hizo strategies zako ulizoweka.
September, anza na 100USD kufanya live trading. Mpaka hapo utakuwa better off.
Kama hujiamini anza October na live trading.
Fanya kwa moyo mmoja..
Kumbe kujifunza Forex unataka halafu unajitia kujua kwa kueleza uwongo! Two ways you can learn bro:Naona kama umeamua kutuita wateja zako watarajiwa wapumbavu pasipo na sababu yeyote. Mimi nilitegemea jinsi ulivyo mwalimu na mwandishi mzuri ungetumia busara zaidi kutujibu, lakini you lost it kwa kuni refer mimi kama mpumbavu. Bora niwe mpumbavu sasa ili nieleweshwe kuliko kuwa mpumbavu to the end.
Anyway, hebu nieleze nitaweza register vipi kwenye www.forex.com nikiwa kama mtanzania? Hizo MasterCard zitakazotolewa zitakuwa za prepaid au hapana? Kama siyo za prepaid zitakuwa na limit ya kiasi gani? Baada ya kupata training nitaweza tumia platform zipi online na payment card ya namna gani? Je itanipasa kulipia chochote baada ya training?
Hey luv,
Naona uko vizuri.
Itabidi unipe madini sasa[emoji2] [emoji2] na me nitengeneze pesaa.
hapa..What is lot size?
Kamwambie babu yako![emoji23] [emoji23] we ovyo kweli
mkuu kidogo najichanganya hapa hebu nisaidie kakangu..kuna hii term "spread"ambacho ni kiwango unachopata baada ya kusubtract the selling amount from the buying price of a particular currency pair..kwa mtazamo wangu,this is the profit you get..lakini katika materials zangu wanasema hiyo ndiyo pesa unafaa kutoa kwa wale brokers..kuna wengine wanatoza charges zingine apart from this...mkuu hebu nisaidie hapa..usichoke ndugu yanguNini maana ya mshumaa au candlestick. Hebu soma mkuu acha pupa boss, kua tyr kujifunza.
hapa..
Lot size is the units of major currencie supposed to be sold o bought.What is lot size?
mkuu kidogo najichanganya hapa hebu nisaidie kakangu..kuna hii term "spread"ambacho ni kiwango unachopata baada ya kusubtract the selling amount from the buying price of a particular currency pair..kwa mtazamo wangu,this is the profit you get..lakini katika materials zangu wanasema hiyo ndiyo pesa unafaa kutoa kwa wale brokers..kuna wengine wanatoza charges zingine apart from this...mkuu hebu nisaidie hapa..usichoke ndugu yangu
mkuu wacha niendelee na somo..nkishapita hapo na kufahamu nitajibu kwa uelewa wangu mwenyewe..but for now naomba nifafanulie hilo swaliWhat is the difference between Wammies and Moolahs?
What is Last Kiss? How is it different from Big Shadows?
cc: Bavariamkuu kidogo najichanganya hapa hebu nisaidie kakangu..kuna hii term "spread"ambacho ni kiwango unachopata baada ya kusubtract the selling amount from the buying price of a particular currency pair..kwa mtazamo wangu,this is the profit you get..lakini katika materials zangu wanasema hiyo ndiyo pesa unafaa kutoa kwa wale brokers..kuna wengine wanatoza charges zingine apart from this...mkuu hebu nisaidie hapa..usichoke ndugu yangu
Nikupe siri 1, this comes me. Forex hupaswi kusoma vitabu vyote uvionavyo, forex si lazima ujue kila kitu, forex si kitu ambacho unabidi ukiogope, forex is a mind game, forex ili ufanikiwe huitaji kuwa genius, ukiweza kucontrol emotions zako you are almost half way. Unaweza ukasoma vitabu viwili ukawa cream kuliko mtu aliyesoma vitabu 50. Forex is a game, you only need a working strategy. Kuna vitabu zaidi ya 500, wewe focus on what works best for you... fahamu the basics, then ukipata mentor mzr anakuguide kufikia kwenye strategy ambayo kwake inawork. Hilo swali km haujagoogle basi umeelewa vzr sn.Lot size is the units of major currencie supposed to be sold o bought.
Example USD/EUR=1.5050 If you click buy. You buy 1usd for 1.5050eur, but you can't buy only one unit of USD. You buy either 1000 units of usd, 1000units is that called lot. Am I right boss??
cc: Bavaria