Broker yupi hii bonus ya 40.57opened a/c yesterday for a friend of mine after verification he got no deposit bonus of €40.57 then do see how i gave him financial freedom startup and there is GBPUSD running on profit about €73
Forex is real Great thinkers
View attachment 743262
PM tafadhali not for those who spit shit about forexBroker yupi hii bonus ya 40.57
Pls check pmPM tafadhali not for those who spit shit about forex
Broker yupi hii bonus ya 40.57
Samahani Mkuu, Yenyewe ina ukweli wowote? na je kuna waTZ wanaifanya?Hiyo ni binary option ni tofauti na forex mkuu
James WonderzlightNimekujibu, napata pm nyingi sitoweza kujibu zote broker ni FBS
https://fbs.com/promo/bonus50
PS hii sio IB link au nenda fbs.com tafuta mwenyewe
Ina ukweli mkuu pia wapo wabongo wanaoifanyaSamahani Mkuu, Yenyewe ina ukweli wowote? na je kuna waTZ wanaifanya?
Nicheck inbox, kama bado hujafund account yako ya templerHabari ndugu nimefata hatua zote za maelezo yako na kuja vipengele vyote ila tatizo linakuja nikikusanya taarifa zangu naletewa neno hilo sijui nakosea wapi? tafadhali msaada na kwa yoyote anipe mwanga wa kufungua akaunti ya bonusView attachment 739994
Bonyeza hapo palipoandikwa submit a ticketNdugu nimebonyeza hapo kwenye support imeniletea hivyo sasa nabonyeza wapi? tafathali View attachment 738411
Mkuu kama uliijua forex kitambo kabla ya Ontario je tmt ulienda kujifunza au ulienda kuchunguza utapeli wao?Dogo Mimi ni Guru wa hii kazi.. Nimeijua Forex kipindi hicho wewe huko maskani na masela mnakula widi.
Sijaijua Forex kwa sababu ya Ontario... Nimejifunza hii mambo nikiwa 123 schooner avenue, laser park, gauteng province, Johannesburg.
Learning is the continuous process from cradle to grave mkuu...Mkuu kama uliijua forex kitambo kabla ya Ontario je tmt ulienda kujifunza au ulienda kuchunguza utapeli wao?
OK nimekuelewa but tuna mengi ya kujifunza toka kwako make nimeona una vingi kuhusu forex,Learning is the continuous process from cradle to grave mkuu...
Niliamini nitapa kitu kipya maana nilitrade awali then baadae nikaacha baada ya kutokuwa na enough skills zilizosababisha loss kibao then nikiposikia kuna expert toka SA wako bongo nikahisi nitaenda kujifunza kitu kipya the deep way of analysing market but haikua hivyo.
Kingine I was blinded na maneno ya kutia moyo ya jamaa nikaingia mzima nikala za uso. Done.
OK nimekuelewa but tuna mengi ya kujifunza toka kwako make nimeona una vingi kuhusu forex,Learning is the continuous process from cradle to grave mkuu...
Niliamini nitapa kitu kipya maana nilitrade awali then baadae nikaacha baada ya kutokuwa na enough skills zilizosababisha loss kibao then nikiposikia kuna expert toka SA wako bongo nikahisi nitaenda kujifunza kitu kipya the deep way of analysing market but haikua hivyo.
Kingine I was blinded na maneno ya kutia moyo ya jamaa nikaingia mzima nikala za uso. Done.
We unaamini ktk swinger ebu nitoe tongotongo kidogo je tofauti na trailing order ni oder gani nyngne unaweza kutumia kuhold position walau wiki 2?Learning is the continuous process from cradle to grave mkuu...
Niliamini nitapa kitu kipya maana nilitrade awali then baadae nikaacha baada ya kutokuwa na enough skills zilizosababisha loss kibao then nikiposikia kuna expert toka SA wako bongo nikahisi nitaenda kujifunza kitu kipya the deep way of analysing market but haikua hivyo.
Kingine I was blinded na maneno ya kutia moyo ya jamaa nikaingia mzima nikala za uso. Done.
Muhimu ni kuendelea kubadilishana uzoefu tu ili tuwe consistency profitable independent traders ni Bonge la fursa sema linaandamwa sana na wapigaji kutokana na potential yake ya kiuchumi.OK nimekuelewa but tuna mengi ya kujifunza toka kwako make nimeona una vingi kuhusu forex,
Mkuu kulikoni trailing order haipo kwa watumiaji wa simu/Android? Na je ni kweli kwa watumiaji wa pc trailing order ni lazima data iwe on masaa yote?Learning is the continuous process from cradle to grave mkuu...
Niliamini nitapa kitu kipya maana nilitrade awali then baadae nikaacha baada ya kutokuwa na enough skills zilizosababisha loss kibao then nikiposikia kuna expert toka SA wako bongo nikahisi nitaenda kujifunza kitu kipya the deep way of analysing market but haikua hivyo.
Kingine I was blinded na maneno ya kutia moyo ya jamaa nikaingia mzima nikala za uso. Done.
Ktk pending order hata ukizima data response itakuja kulingana na reaction ya market yaani hakuna madhara! Je kuna madhara gani kwa mtumiaji wa PC aliyeplace trailing order endapo atazima data?Muhimu ni kuendelea kubadilishana uzoefu tu ili tuwe consistency profitable independent traders ni Bonge la fursa sema linaandamwa sana na wapigaji kutokana na potential yake ya kiuchumi.
Let's empower each other. Each one teach one.