Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Naona sasa mambo yameanza kuwa shwari maana kelele za forex zimepungua kwa kiasi kikubwa sana. Sasa angalau kumekuwa na utulivu hivyo wanaogonga pips endeleeni vyema na wale waliorudi nyuma pia waendelee na shughuli nyingine za maendeleo. REMEMBER FOREX IS NOT FOR EVERY ONE, FOREX IS SIMPLE BUT NOT EASY FOR EVERYONE, FOREX IS NOT A GET RICH QUICK SCHEME BUT FOREX CAN BE A LUCRACTIVE SOURCE OF INCOME IF PROPERLY TRADED!
 
Mkuu naomba sana unisaidie kunichekia softcopy ya hii manual ya TDI PRO kwenye website ya compassfx.com
Ndugu MVB Jr
Nimepitia site husika, bei ya TDI pro ni USD249.

Ila tayari nimefanya yangu, naiweka hapa JF bure
  • Download ZIP folder = Ni TDI pro indicator

    Jinsi ya kuiweka hii indicator.
    - Unzip downloaded file ili kupata .ex4 file, copy file husika.
    - Kisha Kwenye MT4 click: File >> OPEN DATA FOLDER >> MQL4 >> INDICATORS >> Paste hapo TDI pro
    - Restart MT4 kisha bofya CTRL + N , na hapo utaiona TDI pro, Drag na Drop kwenye chart

  • Bonus I: Nimekuwekea pia TDI pro user manual na maelekezo ya kuweka TDI kwenye simu yako, Download hizi attachment

  • Bonus II: Jiunge na Telegram Channel yangu kwa kufuata hii link: DayTradersTZ au kwa kusearch neno @DTTfx kwenye app yako ya telegram. Pia ndugu MVB Jr share link ya telegram channel kwenye groups zingine. Ahsante kwa KU_share.
Pichani ndicho kinachoendelea kwenye telegram channel; DayTradersTZ






Karibuni FX traders kwenye Telegram channel, Search neno @DTTfx kwenye app yako ya telegram
 

Attachments

Tunaianza siku na CADJPY



Ili usipitwe na entry kama hizi jiunga na Telegram cahnnel kwa kufuata hii link: DayTradersTZ

Au search neno @DTTfx kwenye APP yako ya telegram.
 
Mkuu nashukuru sana..!

Tayari nimeshajiunga kwenye hiyo channel.!

Soon nitaanza kuishare pia kwa baadhi ya wadau.!
 
Hapana sio indicator bora zaidi.

Uzuri au ubaya wa indicator inatokana na treading strategy/ treading style uliyonayo. Kila indicator imelenga kusaidia jambo fulani.


Unajua lengo ni kupiga hela, right?
Hii indicator "TDi" ina inatoa viashiria karibu vitatu....!

Uumesema siyo bora sana, but at least kuna ilio bora ya hii, whch one na tunaweza ipata?
 
Have been looking for this for years! Was planning to buy it, thanks buddy... You awesome! Unakumbuka nlikuombaga uwe mentor wangu?[emoji28]
 
Don't let people who don't trade forex to tell you that you need thousands of dollars to start trading. You can start with even $15..
Why do cent accounts exist? Obviously, it’s impossible to make a fortune from $5. However, it’s a great opportunity for traders-beginners to experience real trading. Trading on demo is a perfect way to get trading skills and to test different strategies, but it doesn’t give you a full image of live trading. There are some psychological aspects, that differ demo and live trading. It’s easy to keep calm and follow your strategy, when you trade virtual money, but if you risk real money, your emotions may affect your actions.
That’s why cent accounts were created, for real Forex trading with minimal costs.
FREEE FREEEE FREEEE FREEE FREEE
Bright Forex Tanzania institutes

 
Nataka kujifunza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…