sky walker
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 1,160
- 831
mkuu mbona kama ina virus mzee baba vipiNi collection ya indicators na templetes zake.
Ili mtu aweze kuzitumia hizi indicator/ templates ni vyema kwanza akaanza na hayo mafunzo (course), azielewe video zote za S.M, ndipo ataweza kufanya Timing ya kuingia sokoni na kutoka na faida.
Nime attach kwa atakaye hitaji.
mkuu mbona kama ina virus mzee baba vipi
Tuma screenshot ya hicho tuone,
Hiyo ni zipped folder. extract ndipo ufanye installation
hebu screen shot kwako inavyo onekana kwanzaTuma screenshot ya hicho tuone,
Hiyo ni zipped folder. extract ndipo ufanye installation
Unapaswa utambueANGALIA NA KWANINI NI .exe baada ya ex4.file
Smadav - ilichokupatia tunaita False Positive , Ingia google ujifunze zaidi.
Nimekuwekea video kabisa,hebu screen shot kwako inavyo onekana kwanza
Kaweka dola 3 kwenye cent account au ? Anatumia brokage ganiWakati wengine tunabishana hapa, wengine wameamua kufanya... I'm really proud of this guy... Kaweka dola 3.50 na alipopata faida katoa dola 4... Now anakuza pesa ambayo co yake... Keep up bro...View attachment 808140
Unwz tumia kwa cmu au PC tu?Ni collection ya indicators na templetes zake.
Ili mtu aweze kuzitumia hizi indicator/ templates ni vyema kwanza akaanza na hayo mafunzo (course), azielewe video zote za S.M, ndipo ataweza kufanya Timing ya kuingia sokoni na kutoka na faida.
Nime attach kwa atakaye hitaji.
Ndio, haitumiki kwenye simu.Unwz tumia kwa cmu au PC tu?
Smadav - ilichokupatia tunaita False Positive , Ingia google ujifunze zaidi.
Bora uweke AVAST FREE au AVIRA FREE antivirus kuliko hicho kisoftware, SMADAV
View attachment 808846
Hapokwenye bold sijakupata vyema, Je ulitaka kusema nini?Nimejaribu sana kutumia BTMM nimeshindwa kuwaelewa imebidi niachane nao, natumia 15min and am a master
Hapokwenye bold sijakupata vyema, Je ulitaka kusema nini?
Kwenye kozi nzima uki_sum up utagundua kuwa umejifunza vitu vitatuNimejaribu sana kutumia BTMM nimeshindwa kuwaelewa imebidi niachane nao, natumia 15min and am a master
15M - ni nzuri for timming entry, Ila wakati mwingine huwa tunashuka hadi kwenye 5min hasa kama una pair zenye Low ADRniko vizuri kwenye 15mins chart
Kwenye kozi nzima uki_sum up utagundua kuwa umejifunza vitu vitatu
1. Market cycle - Daily, Weekly etl
2. Timming - Entry / Exit time, Market sessions na ni muda gani hutakiwi kuingia sokoni.
3. Pattern
Ukimaster hivyo vitatu, ukitazama tu_chart unajua hapa market iko level ipi?, Je uingie sokoni au usiingie sokoni? Na kwa sababu zipi??
Kozi nzima ya BTMM inakufungua mambo mengi ambayo retail traders hawajui.