Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Biashara hii Nayo haina Tofauti na Hisa na Inahitaji Mtaji Mkubwa let say una $10,000 ukipanda kwa $0.05 ndo unaenda Kuuza unapata faida biashara hii Kama una 1,000,000/= Subiri
 
Mkuu unaonekana una experience kidogo kuhusu hii biashara ila kwa jinsi ninavyokusoma kwa mbaaali unaonekana hupendi watu wajoin hii biz....yan kiuhalisia unaungana na wale jamaa wa mabank wanaopenda hizi info ziendelee kuwa in curtain.
Nasema hivi kwa sababu katika maelezo yako 70% ni kutujaza uoga na wakati huohuo unasema una uzoefu na hii kitu na kwamba sasa unaendelea vzr,sasa si uwaambie watu kwa namna gani unafaidika kuliko kukatisha watu tamaa? Hivi kuna biashara gani haina risk?

Pili,kufaidika kwa ONTARIO.
Ndugu yangu hivi mtu anaekuletea maarifa ya kifedha na ukayafanyia kazi hayo maarifa kisha ukafaidika kupitia hayo maarifa,meanwhile yule aliyekuletea mchongo pia akafaidika kupitia wewe ubaya upo wapi hapo mkuu,mbona hili swala la Ontario kufaidika wewe limekuuma sana? Mbona zile ada tunazotoa kule shule hazituumi Na ni nani anayeweza kukuhangaikia akutafutie maarifa wewe upate pesa tu bure? Tuache wivu usiokuwa na faida,yaani mimi binafsi kwa jinsi nilivyomuelewa huyu Ontario ningependa atoze fee katika hii training tulipie kwa sababu hata kule shule zinapotozwa ada huwezi fundishwa hii kitu.
Ila nilichofurahi ni kwamba pamoja na risk zilizopo forex ila na wewe bado unaendelea nayo na sasa upo "vizuri"...thanks.
 
Nimekuwa nikifuatilia na kusoma online books mbali mbali regarding forex trading na binary trading.
safi sana kaka tuko pamoja hapo, huu ndo mwelekeo wa 21st century
 
tatizo una haraka na Papara kama una oga nje mbona jamaa ame eleza vizuri kua kila kitu ata weka sawa ame anza na kutupa vitabu vya kusoma sasa ww hata definition ya Forex huijui unataka kukimbilia kufungua A/C uko www.forex.com izo mambo za mastercard zote alisema ata tolea ufafanuzi
kwa kua huu uzi atakua ana post Updates zote


punguza kiherehere! taratibu tutafika tuu
 
Nimejaribu kucheck You tube confusion ni kubwa mpaka mtu wa kukufundisha tu apatikane.
 
Reactions: MC7
Sasa kama broker anakula commission kutoka kwa retailers, inawezekanaje broker apige chapaa wakati huo retailers wake wakiloose? Yaani hapa sijakuelewa kabisa
Amesema brokers wapo wa aina nyingi ila yeye ameainisa wa aina 2 ambao ni market maker na ECN forex broker.
Market maker hawa sio wazuri kwa sababu kuloose kwako ndiyo gain yake
ECN hawa ndiyo wazuri kwamba kufanikiwa kwako ndo faida kwao,na faida zaidi kwako ndiyo faida lukuki kwao na hawapo tayari wewe upate hasara so watakulinda kivyovyote ili usipate lose....me ndiyo nilivyomuelewa mkuu Ontario.
 
Pia mkuu Ontario me nauliza hv,mimi ni mkulima nipo matombo sasa nataka kuvuna nyanya zangu ili nisafirishe kwenda dar sokoni kuuzwa,sasa kabla nyanya sijazichuma nikaamua kupiga simu dar sokoni ili kuuliza bei ya "MASLAHI"....Je hapo si nime'speculate? Nimeuliza hivi nina maana yangu mkuu nisaidie kujibu.
Pili, kuna vigrop viingi vya whatssap sasa hivi vinatoa ushawsishi kwamba eti weka 5000 mpaka 50000 kisha baada ya siku 7 unapokea mara 4 ya ulichoweka,swali langu je hawa jamaa wanaokusanya hizi pesa wanafanya hizi biahara za Forex kama wafanyavyo mabenk pendwa?
 
Hujui lolote mkuu..

Rudi siasani ukabishane..
Mkuu Usione Niko Katika Siasa Ukafikiri Vitu Vingine sivijui Huwa Kuna Slight Change ndogo sana tunavyofanya Swaping ya Currency

Mkuu Niko Vizuri katika hayo Mambo ya Money Markets

Ma Forward Contracts
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…