Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu jazia nyama kidogo kwenye maelezo yako, japo robo kilo! kama hutajali lakini!
Supply and Demand, ndizo zinazodetect direction ya market, japo co hasa ni sawa, lakn zinakaribiana sana na support and resistance.

Kirahisi, fikiria soko la nyanya pale Kariakoo.

Ishu inayoamua bei ya nyanya ni supply na demand tu, hakuna kingine.

Supply ni (urahisi wa) upatikanaji wa bidhaa.
Demand ni uhitaji wa bidhaa, hapa ni nyanya.

Supply ikizidi demand, bei inashuka.
Demand ikizidi suppy (sema ndo christmass, wengi wanataka nyanya), bei inapanda.
So supply ni kama resistance, ambako bei hugeuza na kuanza kushuka chini.
Demand ni kama support ambako price hugeuza na kurudi juu.

More here:
https://dailypriceaction.com/forex-beginners/forex-supply-and-demand
 
Supply and Demand, ndizo zinazodetect direction ya market, japo co hasa ni sawa, lakn zinakaribiana sana na support and resistance.

Kirahisi, fikiria soko la nyanya pale Kariakoo.

Ishu inayoamua bei ya nyanya ni supply na demand tu, hakuna kingine.

Supply ni (urahisi wa) upatikanaji wa bidhaa.
Demand ni uhitaji wa bidhaa, hapa ni nyanya.

Supply ikizidi demand, bei inashuka.
Demand ikizidi suppy (sema ndo christmass, wengi wanataka nyanya), bei inapanda.
So supply ni kama resistance, ambako bei hugeuza na kuanza kushuka chini.
Demand ni kama support ambako price hugeuza na kurudi juu.

More here:
https://dailypriceaction.com/forex-beginners/forex-supply-and-demand
Salute boss[emoji91]
 
Hizo ni supply and demand mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
jazia nyama kidogo kwenye maelezo yako, japo robo kilo! kama
Supply and Demand, ndizo zinazodetect direction ya market, japo co hasa ni sawa, lakn zinakaribiana sana na support and resistance.

Kirahisi, fikiria soko la nyanya pale Kariakoo.

Ishu inayoamua bei ya nyanya ni supply na demand tu, hakuna kingine.

Supply ni (urahisi wa) upatikanaji wa bidhaa.
Demand ni uhitaji wa bidhaa, hapa ni nyanya.

Supply ikizidi demand, bei inashuka.
Demand ikizidi suppy (sema ndo christmass, wengi wanataka nyanya), bei inapanda.
So supply ni kama resistance, ambako bei hugeuza na kuanza kushuka chini.
Demand ni kama support ambako price hugeuza na kurudi juu.

More here:
https://dailypriceaction.com/forex-beginners/forex-supply-and-demand
Shukurani mkuu kwa kunipa mwanga, ngoja nichek hiyo link nijue jinsi pia ya kuziona na kuzchora kwenye chart
 
Pata hii picha
Nilikuwa najaribu huduma ya FNB kwa kuamisha dola 2 ( US $2) toka skrill kuja banki, ( Ninakawaida ya kufanya majaribio kwanza kwa huduma zote zinazohusisha mtandao, fedha & banki)
Walichofanya sasa,
- Wamekata charges zao dola 25 ( Kutoka katika account yangu)
- Na kuniiingizia dola zangu mbili ( US $2) nilizozitoa skrill
Kajasho kalinitoka.
hahaaaaaaa eti kajasho kalinitoka
 
Mkuu his moving average unasetije? Mimi naona kama nashindwa.

FUATA HATUA HIZI:
1. Tap juu ya chart, ukipata ring kama hiyo, utaenda kwenye alama f.
1.png




2. hapa kuna indicators nyingi, chagua moving average.
2.png


3. utapata page hii, ambayo utaset value za moving averages kuendana na mahitaji yako. ukimaliza utabinya done juu kulia.
(kwa mfano huu, moving average ni ya rangi nyekundu)
3.png



4. ukibinya DONE. mambo yanakuwa hivi:
4.png



kama ushaweka moving average kabla na unataka kuadd nyingine, utakapobinya "f" katika hatua ya kwanza utaona unafungua page hii... utabinya kwenye f+ juu kushoto, ambayo itakupeleka hatua ya 2. hapa pia panatumika kufuta indicator ambazo tayari ziko kwenye chart, just touch hiyo dustbin juu kulia na chagua indicator ya kuifuta kwa kumark vibox then touch tena dustbin.
adding.png


maelezo haya ni kwa simu za Android pekee. iOS iko tofauti kidogo.
 
FUATA HATUA HIZI:
1. Tap juu ya chart, ukipata ring kama hiyo, utaenda kwenye alama f.
View attachment 859867



2. hapa kuna indicators nyingi, chagua moving average.
View attachment 859868

3. utapata page hii, ambayo utaset value za moving averages kuendana na mahitaji yako. ukimaliza utabinya done juu kulia.
(kwa mfano huu, moving average ni ya rangi nyekundu)
View attachment 859869


4. ukibinya DONE. mambo yanakuwa hivi:
View attachment 859870


kama ushaweka moving average kabla na unataka kuadd nyingine, utakapobinya "f" katika hatua ya kwanza utaona unafungua page hii... utabinya kwenye f+ juu kushoto, ambayo itakupeleka hatua ya 2. hapa pia panatumika kufuta indicator ambazo tayari ziko kwenye chart, just touch hiyo dustbin juu kulia na chagua indicator ya kuifuta kwa kumark vibox then touch tena dustbin.
View attachment 859872

maelezo haya ni kwa simu za Android pekee. iOS iko tofauti kidogo.
Shukrani sana kaka. Sasa naomba kujua maana wengi hutumia 21SMA na 8SMA. Je hizi zinawekwa kwenye pale kwenye "Period" au "shift" mkuu.

Japo umesema unaweka kulingana na mahitaji yako.

Asante sana kaka.
 
Pia mkuu AMLIGHT kwenye kipengele cha "Close" na "Open" hapo hapo bado sijapaelewa furesh bro. Naomba maelekezo kidogo apo mkuu.

Ubarikiwe kaka.
 
Pia mkuu AMLIGHT kwenye kipengele cha "Close" na "Open" hapo hapo bado sijapaelewa furesh bro. Naomba maelekezo kidogo apo mkuu.

Ubarikiwe kaka.
21 SMA ni Period unaweka 21 na unaweka Simple.

Nyingi ya MA (Moving Average) tunatumia Close.

Close, ni ile MA inafuata closing price

Open: MA inafuata opening price.

Vivo hvyo ukiweka HIGH au LOW.

High: MA itafuata highest point ya candle. (mwisho wa upper wick)

Low: MA inafuata lowest point ya candle (mwisho wa lower wick)
 
TEMPLER
with as minimun as $1 deposit and withdraw, via mpesa, skrill. Huenda ndo broker rahisi zaidi kumtumia, simple deposit and withdraw method, pia easier registration processes.
( https://templerfx.com )

PEPPERSTONE
minimum deposit of $25, no M Pesa. Available is skrill , netteller, direct bank and other ways...
( https://secure.pepperstone.com )

TICKMILL
minimum deposit $25. wako katika majaribio ya Mpesa, na wengine tulishajaribu kudeposit kwa mpesa na ikawa poa. japo ilisitishwa kwa muda. other deposit ways available includes skrill and visa.
NOTE: ukitaka kujisajili hapa hakikisha unatumia Tickmill Seychelles, huko ndipo Tanzania ipo, Haipo katika Tickmill UK.

( http://tickmill.com/seychelles )
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom