V Kweli Tupu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 951
- 528
Kiukweli sina mda wa kupoteza kusubiri fungua account, hivi sasahivi nimeshafungua www.forex.com tayari tangu jana. Wewe msubiri Ontario naamini atasaidia wengi wala sina shaka naye.tatizo una haraka na Papara kama una oga nje mbona jamaa ame eleza vizuri kua kila kitu ata weka sawa ame anza na kutupa vitabu vya kusoma sasa ww hata definition ya Forex huijui unataka kukimbilia kufungua A/C uko www.forex.com izo mambo za mastercard zote alisema ata tolea ufafanuzi
kwa kua huu uzi atakua ana post Updates zote
punguza kiherehere! taratibu tutafika tuu
God bless u mkuuBloomberg TV, CNN, BBC, Al Jazeera lazima ziwe uwanja wako wa nyumbani.
Kuliko kupoteza muda kushinda kwenye page ya Mange huko Insta, just focus on relevant issues zinazoongeza something in your bank account.
Hapana, bado mwanafunzi so kusafiri mpaka semester iishe na jamaa sijui kama atakuwa anatuma video Youtube ...Na una mpango wa ku-attend darasa la Ontario?
Kwnn tusianze group whatsapp tukastudy hii kitu pamoja!?wkt tunamsubiri ontario!?Kwa hiyo hakuna mtu anaeweza kuielewa hii Forex na kuimudu vizuri kabisaa bila msaada wa MENTOR?
Tulia kwnz,kunywa maji,nenda taratibu,vitu vizuri havihitaji pupa mkuu.Sijawahi kusoma thread fupi hivi chap chap imeisha
Nasubiru darasa lako,maana hapa nilipo mapigo ya moyo yanaenda mbio
Tuanzeni jmn,tustudy hivyo vitabu kwa pamoja,tunasoma chapter moja kila cku,mwisho tunakutana kwny group kuelezana,aliyekwama hakuelewa sehem anapata majibu kutokana na uelewa wa wenzie,mbn wafanyabiashara wengine wana groups what is to stop us frm doing the same,come on guys!Ontario yuko dar afu mi niko Mwanza. Afu yuko na maombi lukuku hivyo kwakuwa na wewe u mjuzi nimpunguzie jam Ontario.
Mkuu, hata kwa whatsapp ikibidi utuanzishie ka group!
Kwa sisi wa mikoani ni shida kidogoTuanzeni jmn.
Boss umetisha vibaya mno. Si kwa speed hii, najua umecomment na kulike kwanza ndio umeanza kusoma. Salute my man. Hahaaa
Usiquote uz wote unatutesa tunaotumia cmNimekuwa nikifuatilia na kusoma online books mbali mbali regarding forex trading na binary trading.
safi sana kaka tuko pamoja hapo, huu ndo mwelekeo wa 21st century
Mkuu mm
Mkuu hii mm nimecheza demo yake na cash cash
Niliweka dolla 300 nikaliwa zote ndani ya siku mbili..ila mweny demo walinipa dola 1000 mpaka sasa nina dola 2400
Sasa sijui tatizo ni nn
Nacheza kutumia sim na laptop
Mnisamehe kwq kuqoute hii post ndefu,mkuu umenikumbusha hata historia na conspiracy theories,wale rothschilds walikua wanapanga njama za kuanzisha chokochoko ht kupelekea vita ili kumanipulate masoko ya hisa ulaya miaka hiyo,kwa hiyo ni kweli kabisa,wanasiasa na hasa mataifa makubwa hii biashara wanajua wanaiendesha kwa kuset up matukio na mwisho inawalipa hasa ukizingatia biashara iko based on speculation zaidi.Naimani mko salama wana JF!
So far so good, achilia mbali kusoma na kujua how to trade au kuwa na capital/pesa kwenye account bado kuna kitu ambacho ni LAZIMA wewe kama trader ujue. Forex inaendeshwa kwa matukio mbali mbali yanyotokea duniani na nnaposema duniani namaanisha mataifa makubwa sio haa yetu ya dunia ya tatu!
Mfano, nakumbuka baada ya Donald trump kushinda uchaguzi (kabla hajaapishwa), soko la hisa na bidhaa mbali mbali duniani hasa USA zilitikisika sana hapa utajiuliza kwanini??
Kuna matukio kama lile la brexit,lile tukio la Uingereza kujitoa kwenye umoja wa Ulaya, japo sikusikia any bad new infact kwasababu sikufwatilia, ila I believe hili tukio lilitikisa sana thamani ya euro na pound!!
Haya turudi tena kwenye chokochoko za china, usa, Russia, iran, North korea na israel. Hizi zote ukiziangalia kwa angle flani zina impact katika forex. Kuna wakati naamini hizi chokochoko zinaanzishwa maksudi ili kutikisa ulimwengu wa flow ya pesa!
Haya turudi huku kwetu, baada ya magufuli kushindwa biashara/makambuni baadhi yalifungwa, je ni kwanini?? Najua wale wenzangu weanaopenda majibu mepesi watadhani wamefunga kwa sababu walikua hawalipi kodi which to some point is not true! Tuangalie lile tukio la ACACIA, baada ya kutokea yaliyotokea jamaa hisa zao zilishuka, je kwanini?? Hapa tuombe wasiende mahakamani na wakashinda kesi maana kwa hasara waliyoipata hawatatuacha salama!
Pia mikutano mbali mbali ya kimataifa kama G7 na G20 ikitokea, kuna mengi yanajadiliwa na kwa upande flani yana impact katika uchumi na siasa ambazo kwa upande Fulani yatapelekea kuyumba au kukua kwa soko la pesa!
Kwa kifupi tu FOREX inaendeshwa na matukio, na matukio haya ni yanagawanyika katika sehemu tatu, yaani siasa/politics, jamii/social na uchumi/economic! Na haya matukio yakitokea jua kuna faida au hasara inatengenezwa.
Bottom line, FOREX imeegemea katika speculation, na kwa trader/speculator mzuri, kuwa na capital tu haitoshi, ni lazima pia ukawa MFWATILIAJI MZURI wa habari na matukio mbali mbali kimataifa hasa ya nchi ziizoendelea na zenye nguvu duniani yaani G7 na G20!
Wasalaam!
Mwenzako katika kujifunza,
LT(Eng.)
Wazo zuri napendekeza uwe adm wa group li create saiv alafu tuma link hapa jukwaan then watu wa join via that link au unaonaje mkuuTuanzeni jmn,tustudy hivyo vitabu kwa pamoja,tunasoma chapter moja kila cku,mwisho tunakutana kwny group kuelezana,aliyekwama hakuelewa sehem anapata majibu kutokana na uelewa wa wenzie,mbn wafanyabiashara wengine wana groups what is to stop us frm doing the same,come on guys!
Lzm niadd member hata mmoja,pm namba then niweke link hapaWazo zuri napendekeza uwe adm wa group li create saiv alafu tuma link hapa jukwaan then watu wa join via that link au unaonaje mkuu
Thanks mkuu,ubarikiweLink hiyo hapo juu
Hoja yako imekuonesha jinsi gani ulivyo mburura kwenye huu uwanda.Mkuu Usione Niko Katika Siasa Ukafikiri Vitu Vingine sivijui Huwa Kuna Slight Change ndogo sana tunavyofanya Swaping ya Currency
Mkuu Niko Vizuri katika hayo Mambo ya Money Markets
Ma Forward Contracts