Atakwambia anatumia code hahahaa, jamaa mbwembwe tu hana lolote kama ana cha ziada kwanini asiweke humu watu wajifunzeHuyu jamaa anataka kutapeli watu maana katika forex usipochora na kutumia horizontal support and resistance au trendline basi ni lazima utatumia indicators ambazo ni sawa na dynamic support and resistance.
Kweli ataje basi majina ya hivyo vitabu ambavyo vimeelazea concepts zaidi ya trendline, S&R au indicators ambazo ni dynamic S&R.Atakwambia anatumia code hahahaa, jamaa mbwembwe tu hana lolote kama ana cha ziada kwanini asiweke humu watu wajifunze
Hey boy You look &, Sound Choppy. Nimekupa assignment zaidi ya mbili hujafanya hata moja unaishia kusema watu matapeli. Nimekwambia weka account yako hata moja hujafanya.Kweli ataje basi majina ya hivyo vitabu ambavyo vimeelazea concepts zaidi ya trendline, S&R au indicators ambazo ni dynamic S&R.
Huyu jamaa anatakiwa aache utapeli wa kunifanya yy ana strategy kutoka mbinguni.
Azima simu upige screenshot vizuri. Pia acha maneno mengi dogo.Hey boy You look &, Sound Choppy. Nimekupa assignment zaidi ya mbili hujafanya hata moja unaishia kusema watu matapeli. Nimekwambia weka account yako hata moja hujafanya.
Nakuwekea snap hapa chini soma na utafakari. Halafu one day utanikumbuka kwasababu nimeshajua nabishana na mtu wa aina gani.
NB: Siku nyingine katika maisha yako ya kawaida acha kubeza vitu usivyokuwa na Uhakika navyo au sababu za maana za kukufanya ubeze. Nipo katika huu Uzi kabla ya wewe kuingia jf sijawahi kuitwa tapeli. Ila wewe newbie ambae umekaririshwa S&R unajiona umemaliza Forex .
Siku ukija kutusua Kwenye Forex kwa kutumia support and resistance NITAJIUA HADHARANI pale Askari Monument.
View attachment 975854
Umeshapata Wateja wakuku wakienyeji?Hey boy You look &, Sound Choppy. Nimekupa assignment zaidi ya mbili hujafanya hata moja unaishia kusema watu matapeli. Nimekwambia weka account yako hata moja hujafanya.
Nakuwekea snap hapa chini soma na utafakari. Halafu one day utanikumbuka kwasababu nimeshajua nabishana na mtu wa aina gani.
NB: Siku nyingine katika maisha yako ya kawaida acha kubeza vitu usivyokuwa na Uhakika navyo au sababu za maana za kukufanya ubeze. Nipo katika huu Uzi kabla ya wewe kuingia jf sijawahi kuitwa tapeli. Ila wewe newbie ambae umekaririshwa S&R unajiona umemaliza Forex .
Siku ukija kutusua Kwenye Forex kwa kutumia support and resistance NITAJIUA HADHARANI pale Askari Monument.
View attachment 975854
Duuh dogo ule Uzi wako wa tarehe 5/4/2016 wenye kichwa Cha habari wazeshamamalishe bado hauna mchangiaji hadi sasa hivi.Hey boy You look &, Sound Choppy. Nimekupa assignment zaidi ya mbili hujafanya hata moja unaishia kusema watu matapeli. Nimekwambia weka account yako hata moja hujafanya.
Nakuwekea snap hapa chini soma na utafakari. Halafu one day utanikumbuka kwasababu nimeshajua nabishana na mtu wa aina gani.
NB: Siku nyingine katika maisha yako ya kawaida acha kubeza vitu usivyokuwa na Uhakika navyo au sababu za maana za kukufanya ubeze. Nipo katika huu Uzi kabla ya wewe kuingia jf sijawahi kuitwa tapeli. Ila wewe newbie ambae umekaririshwa S&R unajiona umemaliza Forex .
Siku ukija kutusua Kwenye Forex kwa kutumia support and resistance NITAJIUA HADHARANI pale Askari Monument.
View attachment 975854
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Azima simu upige screenshot vizuri. Pia acha maneno mengi dogo.
Ww unajifanya unajua sana lete hivyo vitabu vyako visivyo tumia S&R.
Acha utapeli na uende ukalime goba.
Shamba boy wangu wa Kuku project ana maisha mazuri kukushinda wewe kapuku.Umeshapata Wateja wakuku wakienyeji?
Je umeshaanza kutembea uchi maana kuna Uzi ulianzisha ukasema ni utamaduni kutembea uchi mnyama?
Ile computer yako mbovu bado IPO tapeli Mdogo?Shamba boy wangu wa Kuku project ana maisha mazuri kukushinda wewe kapuku.
Zaidi ya Mbupu na simu yako ya tecno huna unachomiliki.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
..
Reason why I'm still f#£%& wrestling with big empty headed Idiot.Duuh dogo ule Uzi wako wa tarehe 5/4/2016 wenye kichwa Cha habari wazeshamamalishe bado hauna mchangiaji hadi sasa hivi.
Watu walikushtukia kuwa ww ni tapeli ndo maana walipita kimyakimya.
Vitabu visivyoongelea S&R viko wapi tapeli Mdogo?It's Holiday Guys enjoy your Vacation.
Tukutane January 07 kwenye Business.
Yani inasikitisha kwamba mtu akiukuta uzi huu, hatojifunza lolote kwa sasa, hasa kwa msg 500 za mwisho[emoji23][emoji23]
Hapa tusibishane, tushauriane, kubishana, tukabishane na MT4 zetu...
Happy New Year, More Pips!
JF raha sana. Kila mtu ana akili,maisha mazuri kumshinda mwenzie....asiemjua.Shamba boy wangu wa Kuku project ana maisha mazuri kukushinda wewe kapuku.
Zaidi ya Mbupu na simu yako ya tecno huna unachomiliki.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
..
Wengine Vacation ni msamiati usiotuhusu...tunawasubiri.It's Holiday Guys enjoy your Vacation.
Tukutane January 07 kwenye Business.
Yani inasikitisha kwamba mtu akiukuta uzi huu, hatojifunza lolote kwa sasa, hasa kwa msg 500 za mwisho[emoji23][emoji23]
Hapa tusibishane, tushauriane, kubishana, tukabishane na MT4 zetu...
Happy New Year, More Pips!
Watu wanapiga hela kimyakimyaSiku hizi naona haya mambo hayabambi tena humu JF!
Sijui kwa nini tu!!??!!