Huyo ni call center. Broker gani huyo ulofungua account naye?Anajitambulisha kama Josh Martinez
Embu isome hii alafu uniambie umeelewaje!!
Kwa kifupi mkuu haya mambo yanachanganya na ndio maana nimeweka muda wa kusoma!!Ipo sawa, the main issue ipo kwenye dhumuni. Kwanini utake kuuza Euro ili ununue USD? Wakati kwa kawaida Euro ni base currency kwa maana ina nguvu. Inaitwa short sababu unauza fedha yenye thamani ili ununue fedha mbayo ina thamani ndogo kwenye pair yako.
Kwa kifupi mkuu haya mambo yanachanganya na ndio maana nimeweka muda wa kusoma!!
Mwanzoni nlikua najua nimejua kumbe nilikua chaka!!
Taratibu tutaelewa no presha at all!
Kweli kabisa mkuu!! Tena akikaa vibaya asishangae tukaanza kumpa somo hahahaaa!!Kuanza kujisomea mwenyewe kuna faida sana, ukienda kwenye Darasa la Ontario utakuwa una tiririka na kuelewa zaidi
Kweli kabisa mkuu!! Tena akikaa vibaya asishangae tukaanza kumpa somo hahahaaa!!
Kesho nikipata mda nitapitia forex mechanics chapter ya tano kama sikosei! Pia jaribu kupitia vitabu vingine na youtube videos mkuu!
Nimekupata mkuu!! Jua kuna viwili mkuu...kuna kimoja kiko nusu kingine kiko full...cheki post namba 441 utaona kilicho full!!Naenda kimoja baada ya kingine mkuu. Nikimaliza hiki cha Ontario nasoma second edition yake nimeona online chenyewe Lina chapter za ziada then nitasoma naked forex nitamalizia cha 7 winning strategies for FX. Nikitoka hapo ndio naingia YouTube na kuanza demo account huku nasubiri training ya Ontario.
Nimekupata mkuu!! Jua kuna viwili mkuu...kuna kimoja kiko nusu kingine kiko full...cheki post namba 441 utaona kilicho full!!
Mkuu bavari ndo huki au tungoje kingine
mkuu Bavaria je unaeza kuimaster hii kitu bila traininh?? kama ndio ebu nifungue kdogo kwa kunipa hints namna ya kuanza ili niielewe vema either through youtube, books or google koz i hope we umejifunza mwenyewe. afu malizia kwa kunambia unae mentor au lah?
Mkuu naomba ukiweke hapa basi hicho cha 7 winning strategy ili tuzidi kujifunzaNaenda kimoja baada ya kingine mkuu. Nikimaliza hiki cha Ontario nasoma second edition yake nimeona online chenyewe kina chapter za ziada then nitasoma naked forex nitamalizia cha 7 winning strategies for FX. Nikitoka hapo ndio naingia YouTube na kuanza demo account huku nasubiri training ya Ontario.
Nmeifatilia kidogo kwa kusoma vijitabu na nmejisajili kwenye platform ya ifc blocker kama demo account ili nipate ujuzi kidogo na kufahamu baadhi ya mambo kama leverage na ask currency,bid currency,pair currency ...kuikweli nimepata changamoto ya kurun ile software yao labda nikutafute mkuu unijuze jins ya kununua na kuuza kupitia hawa broker....Swali makini sana!
Boss si mbaya ukacheki YouTube videos, zitakutoa tongo tongo kwa kiasi kikubwa sana. Hata mimi binafsi zimenisaidia.
Lakini... kila trader ana strategy yake ya kutrade, sasa ukicheki sana YouTube unaeza ukajikuta unafika point unachanganywa, huyu anasema tumia fibonacci, mwindine anasema tumia lagging indicators, mwingine anasema tumia support and resistance. Sasa unakua huelewi which is which.
Forex unaeza kuanza na kiasi chochote, inaendana na ntu na ntu. Lakini kadri unavyokuwa na balance kubwa ndivyo unavyokua na wigo mpana wa kutrade. Kuna vitu nikiongea hapa hautaelewa viko technical kidogo. But mimi na recommend usiwe na less than $200.
Kuhusu muda wa kuvuna: Forex unavuna kadri unavyotrade winning trades. Unaeza ukaanza na $200 ndani ya wiki 1 (siku 5) una profit ya $500. Na muda wowote unaweza ukawithdraw, unaweza leo ukatrade ukapiga profits $50 na ukaichomoa yote ukafanya mambo yako mengine.
Kuna watu humu ndani waga wanaponda sana betting....ila hapa wanataka waingie hawajui kuwa hii ni gambling pia.