iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 289
ONTARIO usimjibu huyu jamaa.
1. Kwa sababu hoja zake zote ulishazitolea ufafanuzi kwa initial & subsequent posts
2. Kwa sababu hoja zake si za kweli. Hazina mashiko na inaonyesha aidha anajua lakini anafanya makusudi au hajui kaamua tu kuharibu
Najua una moyo wa kipekee sana, ila watu kama huyu bwana ni wa kuwajibu kwa vitendo. Tuwapuuze.
...Narudi kwenye chapter ya Trading Strategies.....
Kwani wewe jamaa unachokitaka humu nini.? Kwa kuwa hicho kitu ulichoandika ni cha kugoogle mtandaoni, na bahati mbaya umeshindwa kukielewa nini kinamaanisha. Maana mwanzo umekuja na point na maswali yako uchwara ukajibiwa, Bado tuu hujatosheka, unakuja katika personal attacks, Kwani kuna mtu kakulazimisha humu umlipie pesa ama umpe mtaji wa forex.? kana kwamba unaona pesa yako itapotea.?
Kama hakuna basi kaa kimya, Utuache. Sisi tumeamua hivyohivyo kuingia, Kama tunaibiwa sawa kama tutawin sawa (mimi binafsi naamini hii ni real deal kwa kuwa nishajiridhisha vya kutosha, na ni jitihada zako tuu na kichwa chako kitakufikisha katika lengo lako).
Na usidhani wote humu ni mapoyoyo hatuna uelewa wa nini na how dunia inavyoenda. Na sisi wengine risking ndo part ya maisha yetu, Na tuna hobby ya kudiverge na normal trend mradi tuu ina manufaa. Inaonekana umekariri kuwa njia pekee ya kupata pesa ni kuajiriwa na kulima. My friend, Kuna njia lukuki za kupata pesa. Moja wapo ni hii. Kila mtu hapa atatoa mtaji wake, na ataingiza katika akaunti yake na atafanya mwenyewe anavyoona. Tusipangiane maisha, Wewe kama unaina huu ni utapeli, Just back off ukae utuangalie sisi tunavyoenda kutapeliwa.
Hatukupangii, na wewe usitupangie.
Senior, hapo kwny jibu lako n 13.216AUD au USD??
Unaisema d9 siyo..HYIPs zote ni scam, that's no doubt. Huwezi invest pesa afu umekaa nyumbani mwisho wa mwezi unapewa asilimia 30. Pesa ya investors wapya ndio inawalipa wale wa zamani, siku wakikosekana wapya wengine ndio mwisho wa mchezo. Kuna 1 imeingia kwa kasi hapa Bongo.
Ila zile hela za d9 nazitamani mbaya!!Kuliko kupoteza hela zako $2000 kwenye D9 club.. ni bora kuziweka huku FOREX.. maana kule d9 CLUB ni kama desi hiv
Mkuu tayar nn ?Hivi mkuu kwa ambao wapo nje ya Tz utawashirikisha kwenye hiyo offer ya wanajf maana nimeona target yako ni TZ.??
acha kutupoteza mkuuNatafuta vifaranga wa Bata wakuu, naona wote huku mmekomaa na Forex....
Sorry mkuu nimerekebisha, ni USD AND NOT AUD!! Thanks for your observation!Senior, hapo kwny jibu lako n 13.216AUD au USD??
a wise man learns from his mistakes, a wiser man learns from other peoples mistakes.
I agree with you, kuna vitu vingine ni mpaka mtu mwenyewe ujaribu ndio uone, if someone else tells you, you will remain with alot of questions;
Mna raha sana mkuu! Wenzenu tumezoea cosine...sin...tan...cot of angle!!The topic is getting more interested haya mambo nilisoma kwny international finance lkn nilikua naona kama ni theories na biashara za taasis kubwa. Asante kwa kiniamsha toka usingizi. Tafazal usiniache kat ya wale watu 300
acha kutupoteza mkuu
acha kutupoteza mkuu
Tayari tumeshafika 770, ONTARIO ameshasema anatamani hata kupunguza list mpaka 30, sasa sijui critera gan itatumika kuwapata hawa first batch hahahahahahNaomben jaman na mm kwa moyo wa dhati nisikoswe kwenye wateule 300, maana niko shallow nina hamasa kuijua had nime subscribe hii topic
Mbona sjaona kitabu alichosema kisomweTayari tumeshafika 770, ONTARIO ameshasema anatamani hata kupunguza list mpaka 30, sasa sijui critera gan itatumika kuwapata hawa first batch hahahahahah
Mi ngoja niendelee kubukua hapa vile vitabu alivyosema tusome asije akatoa kamtihani ka marticulation ili kupata wenye idea ndo aanze nao