iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 289
ONTARIO usimjibu huyu jamaa.
1. Kwa sababu hoja zake zote ulishazitolea ufafanuzi kwa initial & subsequent posts
2. Kwa sababu hoja zake si za kweli. Hazina mashiko na inaonyesha aidha anajua lakini anafanya makusudi au hajui kaamua tu kuharibu
Najua una moyo wa kipekee sana, ila watu kama huyu bwana ni wa kuwajibu kwa vitendo. Tuwapuuze.
...Narudi kwenye chapter ya Trading Strategies.....
this is a pure risk management business - (it combines two most powerful forces in entreprenuership) INTENSE CAPITAL and HIGH RISK; if you ignore that... you will have to find out yourself, the hard way;