PRESIDA TO BE..
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 302
- 200
Mkuu naomba uniweke kwenye list. Kwa muda mrefu sana niliwahi kutafuta knowledge ya kufanya hii kitu hapa Tanzania lakini sikufanikiwa.Down to earth comment.
Sio mtu anakuja hapa anatisha watu, oh sijui jiandae kuteketeza $2000. Hivi mpk mtu anapoteza hiyo na amezungukwa na mentors zaidi ya wa5 si anakua kajitakia.
Boss! FNB wako vizuri sana, hasa ukizingatia ndio wanatafuta kupenya kwenye soko la TZ so huduma zao ziko very loyal to customers ili kuattract new clients.
Soon baada ya phase kama 5 hivi nitafikiria kuexpact operations. Kama tutahitaji msaada wako tutakutafuta kiongozi. We must push hii kitu aisee. Kama utakua Bongo siku tunaanza classes, I'd wish to invite you utupe ushauri kiasi gani tunaweza kuimprove hii kitu kwa manufaa mapana ya hii programme.
Hahaaaaaaa. Dah umeniamsha vema. Kiuhalisia hesabu inatakiwa iwe sehemu ya maisha yetu ya kila siku.hii kitu imewapagawisha watu wengi humu yani wengine hatuna interest na mahesabu ila nimejikuta nayasoma na yanapanda kwelikweli sasa nimejiuliza mbona way back in school nilikuwa siwezi kitu iweje hapa nielewe hivi...😀😀😀😀pesaaaaa kitu kingine bhana..
any way mkuu ontario kwa heshima yako naomba tusaidie namna nzuri ya kuanza hilo demo sasa material tunaendelea kuyasoma ila inavyoonesha ili tuelewe vizur zaidi kuhusu hii issue lazima iambatane kwa vitendo huku elimu ikiendelea kutolewa maana naona mabroker ni wengi tu sijui niingie wapi au nijoin broker zaidi ya mmoja kwa ajili ya demo bado sijajua kwakeli...
note: pia ungetoa mwongozo kwa ujumla kuhusu hiyo seminar/course ya Forex trade maana ninachokiona hapa ni kama vifaranga vilivyokosa mwongozo wa mama yao kila mmoja anajiendea anapopajua ili kupata chakula bila tahadhali ya kuliwa na mwewea.. maana hii biashara wanaofanikiwa ktk 100% ni kama 10% tu na 90% wanapoteza biashara zao yani wanaunguza account kwa sababu ya kukosa elimu elimu elimu elimu....nawasilisha
Hapahapa Tannzania----hiyo ni electronic platform kwa hiyo it doesnt matter reallySorry mkuu....
Kabla sijakuuliza swali linalohusu huki ulichoandika hapa.
Naomba kwanza kujua hizo investment ulikuwa unazifanyia nchi gani? Ni Tanzania, Kenya, Uganda, SA, Japan, USA au wapi?
Mimi sijaona cha maana chochote alichoongea kwenye hilo bandiko lake zaidi ya kutaka kutuambukiza ujinga, ndio maana nikakutaka wewe unifahamishe hicho cha maana ulichokiona humo ndani! Pengine labda mimi ndio mjinga kwa kutokuona madini yaliyomo kwenye hiyo comment yake uliyemnukuu.Kwani wewe umeelewa vipi?
jamani samhani nilisema sitojibu PM yeyote ya mtu so plz msijisumbue saana. hapa naangaika kutafta ka kitabu flani nilikanunua mwaka 2011 kutoka dow jones. Ni kazuri saaana kanasaidia beggeners pamoja na pros. aisee kako poa mnoo hata uwe nesi ukikasoma kale na kalivyosimple (maana jamaa wanaelezea forex market kama wanamfundisha mtoto wa darasa la saba toka kishumundu) kana njia zoote za kukuepusha wewe na risk pia maswali kadhaa kwa forex dealer waako nk. Aisee nikazur saana. sasa jamani nakatafta sikapati kabisa sijui kako waapi na jini sikakukmbuki maani ni kama ka hand book. Niombeeni nikakumbuke jamani mimi nitakatoa hapa bure japo nilikanunua $1100.
Mkuu mbona ukipakua hivi vitabu kinakuja kitabu hicho hicho kimoja?Binafsi Katika pita pita zangu nilikutana na ebooks hizi ambazo ni muhimu katika jinsi ya kutrade forex.
Pakua hapo[emoji116]
hamna bana watu wapo chimbo wanasoma utagundua pale yatakapoanza kuulizwa maswal ya kutosha, no sweet without sweat xo acha tupambanetaratibu uzi unaanza kwenda mwendo wa kinyonga sasa kile kimue mue na papara zinaanza kupotea wengi humu wameshagundua hii kitu si nyepesi kama walivyodhani inaitaji muda kujifunza, utaalamu na bongo inayochemka si bongo lala....binafsi nilivyoipitia pitia nimeona hapa ili kumaster vizur hii course inabidi muda usiopungua miezi mitatu hadi sita uwe unajifunza hii kitu taratibu tena kila siku..elimu zaidi na practicals kwa demo ndio muhimu....anyway ngoja niishie hapo.
Wazee wa kubet tutahamia huku sasa. Sekiyu sana
Mi nataka nijue where to start on doing forexAisee hii ni tofauti na kubet jombaa. Sema tuu ukiwa muweka mizigo unakuwa na advantage moja, Pressure ya kupoteza na kuloose unakuwa na experience nayo, kwa maana utaibeba tokaa huko katika mikeka na kuhamia nayo huku katika Forex.
Mi nataka nijue where to start on doing forex
Nakuona mkuu!!ForexTrader Pro