Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kaka chukua jina langu..

Niwe wa kwanza kwenye list yako ya watu 300.

Thanks and all the best brother..Ontario
 
Down to earth comment.
Sio mtu anakuja hapa anatisha watu, oh sijui jiandae kuteketeza $2000. Hivi mpk mtu anapoteza hiyo na amezungukwa na mentors zaidi ya wa5 si anakua kajitakia.

Boss! FNB wako vizuri sana, hasa ukizingatia ndio wanatafuta kupenya kwenye soko la TZ so huduma zao ziko very loyal to customers ili kuattract new clients.

Soon baada ya phase kama 5 hivi nitafikiria kuexpact operations. Kama tutahitaji msaada wako tutakutafuta kiongozi. We must push hii kitu aisee. Kama utakua Bongo siku tunaanza classes, I'd wish to invite you utupe ushauri kiasi gani tunaweza kuimprove hii kitu kwa manufaa mapana ya hii programme.
Mkuu naomba uniweke kwenye list. Kwa muda mrefu sana niliwahi kutafuta knowledge ya kufanya hii kitu hapa Tanzania lakini sikufanikiwa.

Hongera sana kwa hiki ulichofanikisha mpaka sasa. Na unalosema ni kweli benki nyingi hawataki watu wajue kuhusu hii kitu.

Mimi niliwahi kumuuliza jamaa mmoja ni trader wa NMB Bank dawati la Forex ebana nilizungushwa mpaka basi. Halafu jamaa alikua mbele yangu chuo miaka miwili.
 
Mkuu naomba sana, uniweke kwenye orodha ya hao 300 utakao anza nao.
 
hii kitu imewapagawisha watu wengi humu yani wengine hatuna interest na mahesabu ila nimejikuta nayasoma na yanapanda kwelikweli sasa nimejiuliza mbona way back in school nilikuwa siwezi kitu iweje hapa nielewe hivi...😀😀😀😀pesaaaaa kitu kingine bhana..

any way mkuu ontario kwa heshima yako naomba tusaidie namna nzuri ya kuanza hilo demo sasa material tunaendelea kuyasoma ila inavyoonesha ili tuelewe vizur zaidi kuhusu hii issue lazima iambatane kwa vitendo huku elimu ikiendelea kutolewa maana naona mabroker ni wengi tu sijui niingie wapi au nijoin broker zaidi ya mmoja kwa ajili ya demo bado sijajua kwakeli...
note: pia ungetoa mwongozo kwa ujumla kuhusu hiyo seminar/course ya Forex trade maana ninachokiona hapa ni kama vifaranga vilivyokosa mwongozo wa mama yao kila mmoja anajiendea anapopajua ili kupata chakula bila tahadhali ya kuliwa na mwewea.. maana hii biashara wanaofanikiwa ktk 100% ni kama 10% tu na 90% wanapoteza biashara zao yani wanaunguza account kwa sababu ya kukosa elimu elimu elimu elimu....nawasilisha
Hahaaaaaaa. Dah umeniamsha vema. Kiuhalisia hesabu inatakiwa iwe sehemu ya maisha yetu ya kila siku.
Daily unatakiwa ubalance income and expenses, assets and liabilities, tena according to Robert Kiyosaki, hapo maisha yatakunyookea
 
Mkuu Ontario, usinisahau kwenye hii fursa maana naona itanipa matokeo makubwa katika kupata asali na maziwa.
 
Sorry mkuu....
Kabla sijakuuliza swali linalohusu huki ulichoandika hapa.
Naomba kwanza kujua hizo investment ulikuwa unazifanyia nchi gani? Ni Tanzania, Kenya, Uganda, SA, Japan, USA au wapi?
Hapahapa Tannzania----hiyo ni electronic platform kwa hiyo it doesnt matter really
 
jamani samhani nilisema sitojibu PM yeyote ya mtu so plz msijisumbue saana. hapa naangaika kutafta ka kitabu flani nilikanunua mwaka 2011 kutoka dow jones. Ni kazuri saaana kanasaidia beggeners pamoja na pros. aisee kako poa mnoo hata uwe nesi ukikasoma kale na kalivyosimple (maana jamaa wanaelezea forex market kama wanamfundisha mtoto wa darasa la saba toka kishumundu) kana njia zoote za kukuepusha wewe na risk pia maswali kadhaa kwa forex dealer waako nk. Aisee nikazur saana. sasa jamani nakatafta sikapati kabisa sijui kako waapi na jini sikakukmbuki maani ni kama ka hand book. Niombeeni nikakumbuke jamani mimi nitakatoa hapa bure japo nilikanunua $1100.
 
Kwani wewe umeelewa vipi?
Mimi sijaona cha maana chochote alichoongea kwenye hilo bandiko lake zaidi ya kutaka kutuambukiza ujinga, ndio maana nikakutaka wewe unifahamishe hicho cha maana ulichokiona humo ndani! Pengine labda mimi ndio mjinga kwa kutokuona madini yaliyomo kwenye hiyo comment yake uliyemnukuu.
 
mimi nina miaka 60 na nategemea nitumie kiinua mgogo changu kuingia kwenye hiyo biashara je?nitakuwa nimechelewa kwa ajili ya umri wangu?
 
jamani samhani nilisema sitojibu PM yeyote ya mtu so plz msijisumbue saana. hapa naangaika kutafta ka kitabu flani nilikanunua mwaka 2011 kutoka dow jones. Ni kazuri saaana kanasaidia beggeners pamoja na pros. aisee kako poa mnoo hata uwe nesi ukikasoma kale na kalivyosimple (maana jamaa wanaelezea forex market kama wanamfundisha mtoto wa darasa la saba toka kishumundu) kana njia zoote za kukuepusha wewe na risk pia maswali kadhaa kwa forex dealer waako nk. Aisee nikazur saana. sasa jamani nakatafta sikapati kabisa sijui kako waapi na jini sikakukmbuki maani ni kama ka hand book. Niombeeni nikakumbuke jamani mimi nitakatoa hapa bure japo nilikanunua $1100.

Kinaitwaje??
 
taratibu uzi unaanza kwenda mwendo wa kinyonga sasa kile kimue mue na papara zinaanza kupotea wengi humu wameshagundua hii kitu si nyepesi kama walivyodhani inaitaji muda kujifunza, utaalamu na bongo inayochemka si bongo lala....binafsi nilivyoipitia pitia nimeona hapa ili kumaster vizur hii course inabidi muda usiopungua miezi mitatu hadi sita uwe unajifunza hii kitu taratibu tena kila siku..elimu zaidi na practicals kwa demo ndio muhimu....anyway ngoja niishie hapo.
hamna bana watu wapo chimbo wanasoma utagundua pale yatakapoanza kuulizwa maswal ya kutosha, no sweet without sweat xo acha tupambane
 
Aisee, Kweli duniani hakuna cha bure. Nilidhani ukipewa leverage funds ndo unakopeshwa pesa mazima na ukiipoteza unakuwa umeipoteza for good pasipo kudaiwa, Kumbe nilikuwa naingia chaka. Hehehehee.

Kumbe ni kwamba baada ya kukopeshwa na wewe ukafanya biashara, biashara ikiwa inaenda njema katika upande wako ni sawa, unaachwa uendelee na biashara na mwishoni broker atatoa pesa yake aliyokukopesha na kukuacha na faida yako. Ila ikiwa inaenda kinyume na wewe ni kwamba broker anahaki ya kucut of trade ikiwa inaendelea na kuiclose Pale tuu balance inapokaribiana na 100% collateral margin balance bila ya wewe kukutaarifu. Na sheria inamlinda katika hili.

Maana nilikuwa nishaanza kuipangia leveraged mone namna nitakavyoitumia. With this money inatakiwa uwe makini haswa. Sasa hapa nimejijibu swali langu wakati thread inaanza hapo mwanzoni.

Haya sasa tuendelee kuingia chimbo.

CC: Ontario, Bavaria. Ni kweli ipo hivi ama bado nipo chaka...??
 
Wazee wa kubet tutahamia huku sasa. Sekiyu sana

Aisee hii ni tofauti na kubet jombaa. Sema tuu ukiwa muweka mizigo unakuwa na advantage moja, Pressure ya kupoteza na kuloose unakuwa na experience nayo, kwa maana utaibeba tokaa huko katika mikeka na kuhamia nayo huku katika Forex.

That is the one thing in common, otherwise they are totaly different.
 
Aisee hii ni tofauti na kubet jombaa. Sema tuu ukiwa muweka mizigo unakuwa na advantage moja, Pressure ya kupoteza na kuloose unakuwa na experience nayo, kwa maana utaibeba tokaa huko katika mikeka na kuhamia nayo huku katika Forex.
Mi nataka nijue where to start on doing forex
 
ForexTrader Pro
 

Attachments

  • forex.png
    forex.png
    147.7 KB · Views: 92
Mi nataka nijue where to start on doing forex


Kuanzia, kamata kitabu chako kamua msuli, unapokwama ingia www.investopedia.com for more clarification about topic (hii website mimi ndo nimeona inaeleza somehow good kwa sisi layman ambao hatuna background ya finance) Kitabu utakipata katika post namba 441 kimekuwa attached.

ukimaliza kitabu subiri muongozo na maelezo ya mentor, ambapo katika hili tutakuwa tunamsikilizia ndugu yetu ontario. Mwanzo ndo huo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom