Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Pakia hapa https://secure.efxnow.com/forex2/eng/ct-dummies.pdf
7c7756ec9379f9eb68f5190a60cdc0bb.jpg
 
Mkuu umeeleweka sana, mara mia kuliko jamaa zetu wa BITCOIN ambao nao japokuwa ni virtual money na vitu kama hivyo ila yao ni so complex na inaboa sana kwa mtu ukimuambia hata kabla hajakubali kuanza kujiunga, hii forex kwa hakika imekaa vizuri ucomplex wake unaleta logic fulani, its more real kama hivyo unapoongelea kuwa na ofisi na benki husika na atm card fulani, ni rahisi virtual business kuwa real hapo, yaani mtu anaweza pata pesa yake mkononi, ila watu wa bitcoin yaani wanaboa, huku kwetu bado naona japo wenzetu wananunua tayari mitandaoni kwa hiyo bitcoin!
SO MKUU I WISH KUWA HUMO DARASANI, TUPO PAMOJA, ENDELEA KUKEEP IT REAL ILI TUTUSUE!
 
Nina wasiwasi umri umeshanitupa sana kuanza kujaribu mambo mapya; ila kwakua kujifunza hakuna mwisho ni bora nijifunze nione. Nipe nafasi katika hao mia3 wa kwanza kijana wangu. Hata kama nikulipa nitalipa nijifunze. Hata kama moyo ukikataa kufanya hiyo forex bado naziona fursa kupitia kwako...naweza geuka mkopesha mitaji kwa vijana wanao-thubutu.
 
Just in case you need aides in your team, hit me up bro. I'm a fresh graduate and currently taking Msc in Finance (funded by other people). Too broke to start any business of my own or have capital to invest anywhere. ooh, PS: I'm under 25 years of age!
 
Wazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
Imenigusa
 
You are good boss. At least unafahamu major pair hata kwa kuziandiaka (GBP/USD) basi uko vzr. Meet you at class boss. Unafahamu hata fundamental analysis nk, naomba usikose kuja class nikimake a call kua tupo try.
nimekuwa nafuatilia huu uzi na comment za wana jamvi.... ila nilichojifunza kwa bwana ONTARIO ni mfuatiliaji sana na kama umeona hili la huyu mtu basi sina shaka hata hii fursa umeiona kwa usahihi.
nipo karibu kufuatilia na tutakuwa pamoja naona wengi wamesema wanataka nafasi za bure lakini mimi sizitaki hizo za bure , kukiwa na cha kuchangia kidogo nadhani nitakuwa mmoja wao.

be blessed Bro.
 
Kusema ukweli nimevutiwa sana na huu uzi na nimesubscribed ili nisimisi kitu. Wazo langu na ombi kwako kama kuna uwezekano mkuu ujaribu kurahisisha upatikanaji wa hivyo vitabu, sina hakika kama hapa bongo vinapatikana kwa urahisi au uamue kuzunguka sana kupitia kila bookshop. Najua kupitia ww ni rahisi kupatikana coz unasafiri nje ya mipaka yetu. Most of all be blessed much much
 
Naomba kila mtu ambae yupo interested kwa kujinoa noa na kuondoa tongo tongo asome kitabu kinaitwa Currency trading for dummies kimeandikwa na Brian Dolan. Kitakupush sana sana.
Kina patikana wapi?
 
Kwanza hongera ni watu wachache sana wanapendaa wenzao wadani kiweka

Pili nitafuatialiaa KUJUA zaidi
 
Ipo vizuri sana kwa haraka mimi ni kijana ambaye nimekua very interested sana japo kuwa maelekezo muhimu ndo nimepata leo wacha niendelee kujifunza zaidi

Thanks jf
Thanks mkuu
Hao 300 usinisahau
 
Broo niliwahi kuvamia this kind of trade blindly nikala za uso .....daaah ila kiukwel nililearn kitu maana pia wapo brokers matapeli ambao wanakudanganya utrade large amount thn simply unajikuta umloose kila kitu simply. ..i thnk i will be back again
 
Ontario Salute....macho yangu hayakuwahi kusoma kitu Romantic kama hii mada...ntakamata hiyo kitabu kwa gharama yoyote.Be blessed,nakuombea ufanikishe preps na kama kutahtajika kazi yyt ya nguvu kufanikisha maandalizi ntakuja mjini hapo
 
Mkuu umeeleweka sana, mara mia kuliko jamaa zetu wa BITCOIN ambao nao japokuwa ni virtual money na vitu kama hivyo ila yao ni so complex na inaboa sana kwa mtu ukimuambia hata kabla hajakubali kuanza kujiunga, hii forex kwa hakika imekaa vizuri ucomplex wake unaleta logic fulani, its more real kama hivyo unapoongelea kuwa na ofisi na benki husika na atm card fulani, ni rahisi virtual business kuwa real hapo, yaani mtu anaweza pata pesa yake mkononi, ila watu wa bitcoin yaani wanaboa, huku kwetu bado naona japo wenzetu wananunua tayari mitandaoni kwa hiyo bitcoin!
SO MKUU I WISH KUWA HUMO DARASANI, TUPO PAMOJA, ENDELEA KUKEEP IT REAL ILI TUTUSUE!
I wish ungeelewa unachokizungumza boss wangu. I WISH!!

Hakuna kitu kitamu kama Bitcoin, nasema hakuna. Haya madhahabu tunasumbuana na wazungu hakuna kitu kwa Bitcoin ukija huku sokoni. Tatizo lipo kwenye speculation, huwezi ukajua nini kinatokea.

Mtuliyewekeza mil 10 kwenye butcoin mwaka 2010 wakati inaanzishwa leo akiamua kuuza bitcoin anapata faida ya Bil 675. Mimi mentor wangu amehold bitcoin tangu April mwaka jana alinunua zikiwa na thamani ya $455, mimi pia nikanunia bitcoin mwaka huu Janu iliposhuka hadi kufika $1750. Lakini sekunde hii ninavyoongea bitcoin ina thamani mara 2 ya dhahabu, yani $2450.

We don't have right information, watu huko mtaani mnadanganyana na kutapeliana kisa hamjui nini ni nini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom