Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Ahsante sana mkuuu
Naomba niwe kwenye list ya watu 300 plz
 
Ontario big up, hii kitu niliwahi kuiuliza hapa kwa anayeifahamu anitoe tongotongo mchangiaji wa kwanza akaniambia nisubiri kutapeliwa. Sikukata tamaa-nika google, nikasoma apps za play stores n.k nikaelewa elewa. Ni juzi jumatano nimeweka kafedha kaduchu kwenye real account, kumbe ni binary option sio fx niliyoitaka, japo sijutii. Sasa sikuachii hadi kieleweke.
 
Ontario...nipo kwenye the same business like the one u mentioned... Hii inaongozwa na mtu mmoja anaitwa Matt Lloyd! Mtafute uone kinachoendela! Nitaleta hapa jukwaani maelezo yake kwa kirefu!
Asante kwa hii pia. Nitaifuatilia, ukizingatia nina skills za kutosha kutrade kwenye biashara za mitandaoni! Huku kuna dola nje nje!
 
Ontario...nipo kwenye the same business like the one u mentioned... Hii inaongozwa na mtu mmoja anaitwa Matt Lloyd! Mtafute uone kinachoendela! Nitaleta hapa jukwaani maelezo yake kwa kirefu!
Asante kwa hii pia. Nitaifuatilia, ukizingatia nina skills za kutosha kutrade kwenye biashara za mitandaoni! Huku kuna dola nje nje!
Ukileta hizo nondo niongeze kwenye tag mkuu.
 
Boss umetisha vibaya mno. Si kwa speed hii, najua umecomment na kulike kwanza ndio umeanza kusoma. Salute my man. Hahaaa

Trading is a BIG thin nilishawahi kujaribu ila sikuelewa mpaka nilivyokaribia kutapeliwa last year, thanks man we are (I am) waiting for it man.

thanks once again
 
Inaonesha una idea juu ya hii kitu mkuu, vipi, ilikujihusisha na hii biashara kuna hitaji lakua na app?, au unafungua account mtandaoni ili uwe na profile yako, Asante
Daah rangi ulyoitumia imenpa sana tabu kusoma!!
Hii ktu ni pana sana mkuu kote ulikokusema utaikuta kuanzia kweny webs mpaka kwny Apps na hata ukienda kweny webs wenyewe wana kudirect kwny Apps zao so unaweza Anza kwa kuingia kweny Webs ili kupata knowledge ndo usonge na mengne
remember hii kitu inafanywa professionally so inabid uwe na knowledge ya kutosha coz ina strategies zake na vtu vngne so usije ukaivamia tu kaa chin usome theory zake kwanza mengne utajiongeza mwnyw
 
shukrani sana mkuu... ntafatilia sana hii kitu kwa ukaribu sana kwenye hiyo fursa ya watu 300 nipo apa
 
Wow! Hizi ndo mambo tunatakiwa kushirikishana na kuelimishana......asante sana ONTARIO.

Yan kama ulivyosema cc tuliosomea masomo ya science hii elimu tunaiogopa na kuiona ngumu.....ila kwa jinsi umeelezea nmekuelewa na nipo nasubiri somo rasmi nitumie hiyo fursa.

Bravo Amigo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom