Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
I was passing through the whole thread, page by page, post by post. Am glad that I have done.....

Hongera sana Mkuu kwa hili. Hakika ni jambo ambalo wachache ndiyo wana udhubutu wa kuwaonyesha wengine ili nao wafaidike. Mungu aendelee kukusimamia.

Naona kama nafasi zimeshajaa, ila mimi naomba nafasi moja kuchungulia kutoka nje, yaani kupiga Chabo. Hahahaha.
 
Mimi niko mkoani Mr ONTARIO lakini kwenye suala la fursa niko tayari kwa lolote nikumbuke na mimi kwenye hyo training nami nitafika hapo dar bila kujali umbali.
 
At least wewe unaongea kama professional ama mtu mwenye uelewa, sio km baadhi ya watu wanatema mashudu hata hawaelewi nini wanasema.

Umetukumbusha tena kitu ambacho nimekizungumza hapa mara kadhaa, kua forex inahitaji dedication sana sana sana.

Nirudi kwenye hoja zako ulizozinumber.

1. Kwanza naomba usipindishe maneno, sielewi kama umekosea ama umekusudia. Hii ni continuous thing ambayo itarun kwa decades za kutosha, unaposema nafungua office ya kutrain wa2 300 bure unakua umenimisquote. Nimesema natoa special offer kwajili ya member 300 kutoka JF, wapate training then nitakua nao benet kuhakikisha wanamake profitable trades. Baada ya hapo programme itaanza rasmi - tutaingiza wanafunzi wa kutosha tu, na sitawapa free trainings. Nitawacharge kitu kidogo ambacho tutaona inafaa kwao na kwetu pia.

Mimi kumleta broker ni kurahisisha mambo. Huwezi ukamtrain mtu hasa mbongo ambae uelewa wake ni mdogo afu kisha unamwambia broker yupo UK au USA. Hapo ni ngumu , mimi kumleta broker ni katika kufanya vitu kiuhalisia, kwa openness na transparency. Naona unazungumzia mambo ya mimi kuwa IB, cjui nani kasema, na hata kama ni hivyo iko wapi shida?!

Pia kama umesoma vzr post yangu nimegusia kdg type ya broker ambae ninadeal nae. Sijui kama uliona hiyo ama hukuelewa.

2. Boss hii point yako ya 2 imekaa kama kuna kitu you want to prove... yani kuna negativities ambazo hazina logic unaraise.
Mtu mwenye akili timamu hawezi akahoji faida ya Office, mtu anakuchallenge kisa unafungua office afu hapo hapo anasema forex inahitaji knowledge kubwa afu kisha anashauri hiyo knowledge itolewe WhatsApp. Tusiwe na roho ya kwanini - wewe umepata knowledge usichukie uonapo mwenzio nae anatolewa usingizini??

Mimi hii si biashara yng ya kwanza. Hata biashara ya kuku, inabidi uingie gharama ya kujenga mabanda na kuandaa kila kitu ndio uanze kufuga kuku. Wewe umepata hiyo elimu kwa njia zako unazozijua wewe, haimaanishi njia zingine ni za kipvmbavu. Yani unanishauri nichukue watu 300 then niwafundishe forex kwa group la WhatsApp na si kufungua office afu niwadirect kwa broker ambae hata hawajui alipo au anaoperate vipi.

Biashara yoyote lazima ugharamie, mimi kupanga office space, kuleta mentors nk ni 1 ya vitu ambavyo nilividraft ili kuhakikisha natengeneza consistent profitable traders na gharama zote nilizipiga. Naweza nisitengeneze pesa leo ama kesho but baada ya mwaka nikiwa nimeestablish mizizi, nina watu TZ wananizungumzia naweza kutengeneza pesa.

If you have any doubts about me, naomba nianze hii kitu ili nikuprove wrong. Nafungua ofisi, natafuta vibali vyote, naleta broker, natrain mamia kwa mamia, nitajitahidi mimi na team yangu tutengeneze traders ambao wataina matunda ya forex, na through the whole process nitatengeneza faida yangu na watu watakua na freedom ya uchumi kuliko leo graduate anagombania remote na mdg wake wa primary.

Mimi kama mimi Ontario nilianza biashara nikiwa bado mdg sana, nilianza na kuku 50 wa broilers, watu walinicheka, wengine wakawa wananidiscourage even my own parents. Leo hii hiyo biashara inakuwa featured Forbes, CNN, BBC World Service, SABC, DW nk. Hata hii nayo siwezi kuishia kati, afe kipa afe beki. Ipo siku watu wote wanaoleta senseless negativities nitawaprove wrong. Nipe miaka miwili tu, yani miezi 24 tu since nikianza.
I will leave a living legacy ya hii biashara kwa hapa TZ - nitakumbukwa si kwa utajiri bali kwa namna nitakavyowafungua watu macho na fikra ktk Global businesses. That alone kwangu ni ushindi mkubwa
Katika hii dunia nimegundua kuna watu wapo kwa ajili ya discouraged wengine pale wanapotaka kupiga hatua au kuwafungua wengine kutoka katika minyororo.
Kaka Ontario usife moyo,na nimependa msimamo wako Mungu akulinde na akupiganie ili iwe kweli na watu waone kwa macho yao,
Kingine hakuna kumlazimisha mtu au hakuna mtu aliyelazimishwa km anaona hii biashara ina hasara au atafaidishwa Ontario, lakini kati ya sisi ambao tunatamani basi acha tujiandae kujifunza.
 
Mkuu Ontario nmekusoma mwanzo mwisho,nmekuelewa kwa kadri Mungu alivyoniwezesha,japo nahitaji kujifunza zaid,swali langu ni moja tu,hii kitu inaweza kuwa applicable kwa watumish wa umma?pls ukipata nafasi nijibu,Thanks in advance.
 
At least wewe unaongea kama professional ama mtu mwenye uelewa, sio km baadhi ya watu wanatema mashudu hata hawaelewi nini wanasema.

Umetukumbusha tena kitu ambacho nimekizungumza hapa mara kadhaa, kua forex inahitaji dedication sana sana sana.

Nirudi kwenye hoja zako ulizozinumber.

1. Kwanza naomba usipindishe maneno, sielewi kama umekosea ama umekusudia. Hii ni continuous thing ambayo itarun kwa decades za kutosha, unaposema nafungua office ya kutrain wa2 300 bure unakua umenimisquote. Nimesema natoa special offer kwajili ya member 300 kutoka JF, wapate training then nitakua nao benet kuhakikisha wanamake profitable trades. Baada ya hapo programme itaanza rasmi - tutaingiza wanafunzi wa kutosha tu, na sitawapa free trainings. Nitawacharge kitu kidogo ambacho tutaona inafaa kwao na kwetu pia.

Mimi kumleta broker ni kurahisisha mambo. Huwezi ukamtrain mtu hasa mbongo ambae uelewa wake ni mdogo afu kisha unamwambia broker yupo UK au USA. Hapo ni ngumu , mimi kumleta broker ni katika kufanya vitu kiuhalisia, kwa openness na transparency. Naona unazungumzia mambo ya mimi kuwa IB, cjui nani kasema, na hata kama ni hivyo iko wapi shida?!

Pia kama umesoma vzr post yangu nimegusia kdg type ya broker ambae ninadeal nae. Sijui kama uliona hiyo ama hukuelewa.

2. Boss hii point yako ya 2 imekaa kama kuna kitu you want to prove... yani kuna negativities ambazo hazina logic unaraise.
Mtu mwenye akili timamu hawezi akahoji faida ya Office, mtu anakuchallenge kisa unafungua office afu hapo hapo anasema forex inahitaji knowledge kubwa afu kisha anashauri hiyo knowledge itolewe WhatsApp. Tusiwe na roho ya kwanini - wewe umepata knowledge usichukie uonapo mwenzio nae anatolewa usingizini??

Mimi hii si biashara yng ya kwanza. Hata biashara ya kuku, inabidi uingie gharama ya kujenga mabanda na kuandaa kila kitu ndio uanze kufuga kuku. Wewe umepata hiyo elimu kwa njia zako unazozijua wewe, haimaanishi njia zingine ni za kipvmbavu. Yani unanishauri nichukue watu 300 then niwafundishe forex kwa group la WhatsApp na si kufungua office afu niwadirect kwa broker ambae hata hawajui alipo au anaoperate vipi.

Biashara yoyote lazima ugharamie, mimi kupanga office space, kuleta mentors nk ni 1 ya vitu ambavyo nilividraft ili kuhakikisha natengeneza consistent profitable traders na gharama zote nilizipiga. Naweza nisitengeneze pesa leo ama kesho but baada ya mwaka nikiwa nimeestablish mizizi, nina watu TZ wananizungumzia naweza kutengeneza pesa.

If you have any doubts about me, naomba nianze hii kitu ili nikuprove wrong. Nafungua ofisi, natafuta vibali vyote, naleta broker, natrain mamia kwa mamia, nitajitahidi mimi na team yangu tutengeneze traders ambao wataina matunda ya forex, na through the whole process nitatengeneza faida yangu na watu watakua na freedom ya uchumi kuliko leo graduate anagombania remote na mdg wake wa primary.

Mimi kama mimi Ontario nilianza biashara nikiwa bado mdg sana, nilianza na kuku 50 wa broilers, watu walinicheka, wengine wakawa wananidiscourage even my own parents. Leo hii hiyo biashara inakuwa featured Forbes, CNN, BBC World Service, SABC, DW nk. Hata hii nayo siwezi kuishia kati, afe kipa afe beki. Ipo siku watu wote wanaoleta senseless negativities nitawaprove wrong. Nipe miaka miwili tu, yani miezi 24 tu since nikianza.
I will leave a living legacy ya hii biashara kwa hapa TZ - nitakumbukwa si kwa utajiri bali kwa namna nitakavyowafungua watu macho na fikra ktk Global businesses. That alone kwangu ni ushindi mkubwa
Watanzania wt wangekua km ww bro onta yani tungekua mbali. Nimesoma comments zako hadi natamani kulia. Mungu akuomgezee, si kila mtu ana moyo km wako wa kusaidia. Live long kk.
 
At least wewe unaongea kama professional ama mtu mwenye uelewa, sio km baadhi ya watu wanatema mashudu hata hawaelewi nini wanasema.

Umetukumbusha tena kitu ambacho nimekizungumza hapa mara kadhaa, kua forex inahitaji dedication sana sana sana.

Nirudi kwenye hoja zako ulizozinumber.

1. Kwanza naomba usipindishe maneno, sielewi kama umekosea ama umekusudia. Hii ni continuous thing ambayo itarun kwa decades za kutosha, unaposema nafungua office ya kutrain wa2 300 bure unakua umenimisquote. Nimesema natoa special offer kwajili ya member 300 kutoka JF, wapate training then nitakua nao benet kuhakikisha wanamake profitable trades. Baada ya hapo programme itaanza rasmi - tutaingiza wanafunzi wa kutosha tu, na sitawapa free trainings. Nitawacharge kitu kidogo ambacho tutaona inafaa kwao na kwetu pia.

Mimi kumleta broker ni kurahisisha mambo. Huwezi ukamtrain mtu hasa mbongo ambae uelewa wake ni mdogo afu kisha unamwambia broker yupo UK au USA. Hapo ni ngumu , mimi kumleta broker ni katika kufanya vitu kiuhalisia, kwa openness na transparency. Naona unazungumzia mambo ya mimi kuwa IB, cjui nani kasema, na hata kama ni hivyo iko wapi shida?!

Pia kama umesoma vzr post yangu nimegusia kdg type ya broker ambae ninadeal nae. Sijui kama uliona hiyo ama hukuelewa.

2. Boss hii point yako ya 2 imekaa kama kuna kitu you want to prove... yani kuna negativities ambazo hazina logic unaraise.
Mtu mwenye akili timamu hawezi akahoji faida ya Office, mtu anakuchallenge kisa unafungua office afu hapo hapo anasema forex inahitaji knowledge kubwa afu kisha anashauri hiyo knowledge itolewe WhatsApp. Tusiwe na roho ya kwanini - wewe umepata knowledge usichukie uonapo mwenzio nae anatolewa usingizini??

Mimi hii si biashara yng ya kwanza. Hata biashara ya kuku, inabidi uingie gharama ya kujenga mabanda na kuandaa kila kitu ndio uanze kufuga kuku. Wewe umepata hiyo elimu kwa njia zako unazozijua wewe, haimaanishi njia zingine ni za kipvmbavu. Yani unanishauri nichukue watu 300 then niwafundishe forex kwa group la WhatsApp na si kufungua office afu niwadirect kwa broker ambae hata hawajui alipo au anaoperate vipi.

Biashara yoyote lazima ugharamie, mimi kupanga office space, kuleta mentors nk ni 1 ya vitu ambavyo nilividraft ili kuhakikisha natengeneza consistent profitable traders na gharama zote nilizipiga. Naweza nisitengeneze pesa leo ama kesho but baada ya mwaka nikiwa nimeestablish mizizi, nina watu TZ wananizungumzia naweza kutengeneza pesa.

If you have any doubts about me, naomba nianze hii kitu ili nikuprove wrong. Nafungua ofisi, natafuta vibali vyote, naleta broker, natrain mamia kwa mamia, nitajitahidi mimi na team yangu tutengeneze traders ambao wataina matunda ya forex, na through the whole process nitatengeneza faida yangu na watu watakua na freedom ya uchumi kuliko leo graduate anagombania remote na mdg wake wa primary.

Mimi kama mimi Ontario nilianza biashara nikiwa bado mdg sana, nilianza na kuku 50 wa broilers, watu walinicheka, wengine wakawa wananidiscourage even my own parents. Leo hii hiyo biashara inakuwa featured Forbes, CNN, BBC World Service, SABC, DW nk. Hata hii nayo siwezi kuishia kati, afe kipa afe beki. Ipo siku watu wote wanaoleta senseless negativities nitawaprove wrong. Nipe miaka miwili tu, yani miezi 24 tu since nikianza.
Mkuu kwanza nashukuru kwa maelezo yako ya kina kwa lengo la kujenga na kuelimisha zaidi..

Lakini tambua nipo pia kwa ajili ya kujenga na kuelimisha kama lengo la Uzi unavyosema, kwahiyo kuwa tofauti kimawazo, kimtazamo na kiuelewa ndio njia pekee ya kujifunza zaidi...

Kwanza naomba nitoe ufafanuzi kulingana na uelewa wangu pamoja na uzoefu wangu katika biashara ya FOREX

1.kwanza nashukuru kwa kudeclare interest kwamba kwa baadae umekusudia kupata faida kwa juhudi ambazo umezianza (Hongera kwa hilo). Jambo la msingi hapa, ni wanajamvi watambue kwanza mbali na hii elimu wanayoipata hapa kutoka kwako lakini pia umekusidia kupata faida baadae kupitia wao au rafiki ama jamaa zao. Hii itawasaidia zaidi kupambanua na kuchambua kwa kina pindi watakapofanya maamuzi ya kuingia katika hii biashara bila kuacha doubts zozote.

Kwahiyo lahi yangu kwa wanajamvi ni kutambua baada ya elimu ya mtoa mada hapo baadae anategemea kupata profits kupitia sisi, marafiki na jamaa zetu (ni jambo jema tu sina doubts maana mtoa mada amekua muwazi ila kazi imebaki kwetu kupambanua)

2.Kuhusu kauli yako ya wabongo kuwa na uelewa mdogo kwamba ni vigumu kumuelimisha kama broker yuko mbali (US or UK).
Hapa mkuu natofautiana na wewe kwa sababu zifuatazo,

Nikianza na Mimi nimeanza kujifunza mpaka nimeingia kwenye hii biashara sijawai kukutana na broker wng ana kwa ana (kumbuka Mimi pia ni miongoni mwa wabongo hao wenye uelewa mdogo lakini Leo nafanya vizuri)

Lakini pia tambua kuwa uelewa wa mtu na kumuona broker ni vitu viwili tofauti. Jambo la msingi hapa ni kumpatia mtu elimu mwisho wa siku ataamua mwenyewe kuitumia au kuiacha. Yaani hapa sisi jukumu letu ni kutoa elimu tu halafu swala la maamuzi ni LA mtu binafsi (mtu anaweza kumuona broker lakini bado asifanye maamuzi mfano mzuri nchi wanazotoka brokers kuna watu wanawaona brokers kila kukicha lakini hawajihusishi na hii biashara japokuwa elimu wanayo)

3. Kuhusu hoja yako ya kusema kwamba sitaki wengine wajifunze si kweli. Ndio maana nipo hapa kwa ajili ya kutoa hii elimu kwa usawa zaidi bila kuegemea upande wowote. By the way sio Mara ya kwanza kushare hii elimu na watanzania wenzangu, wapo nilioshare nao na wengine wanafanya vizuri zaidi yangu (Japokuwa sijawahi kupost hapa Jamiiforum hii inatokana na kutokuwa active sana katika kupost Jamiiforum)
Kwahiyo Mkuu natamani sana watu waipate hii elimu tena kwa ukweli na uwazi ndio maana nimevutiwa na Uzi wako

4.Mwisho nakushauri usifanye personal attack au (kumshambulia kwa ku-base on one side) kwa watu wanaokuwa na mawazo tofauti na wewe (simaanishi umeniattack ila natoa kama ushauri)
Critism ni njia nzuri ya kufanya jambo kuwa more developed.
Hivyo kwa kufanya hivyo itasaidia zaidi watu wasio na uelewa kuifahamu hii biashara kwa undani zaidi..

Zaidi nikutakie kila la kheri katika wazo lako hilo lenye tija kwa umma lakini pia niwatake members wa JF kuwa makini zaidi.
 
Watanzania wt wangekua km ww bro onta yani tungekua mbali. Nimesoma comments zako hadi natamani kulia. Mungu akuomgezee, si kila mtu ana moyo km wako wa kusaidia. Live long kk.
Unatamani kulia nini sasa [emoji23] [emoji23]

Wewe inaonyesha utakuwa miongoni kwa wadau wa mwanzo kabisa kupoteza vijisenti vyenu.
 
Hujui unachobishania. Mimi nimesoma uchumi nakuelewa vizuri, nimesoma pia finance n.k. Hii kitu huwezi kuifahamu kwa kutegemea elimu hiyo tu. Ndo maana umeambiwa kuna watumishi wa benki baadhi hawajui nini kinaendelea duniani. Hebu amua kujifunza kwanza.
Hivyo nyiye mnaojiita wasomi, kwanini mara nyingi hamujadili hoja, kazi mnajisifia na putting down wengine? Mara "mimi nimesoma uchumi, mimi nimesoma finance, wewe hujui!" So what? Kwanini uongelei unachokijua ili tujifunze badala ya kuongelea usomi wako na kuto kujua kwa wengine?
 
Hivyo nyiye mnaojiita wasomi, kwanini mara nyingi hamujadili hoja, kazi mnajisifia na putting down wengine? Mara "mimi nimesoma uchumi, mimi nimesoma finance, wewe hujui!" So what? Kwanini uongelei unachokijua ili kujifunza badala ya kuongelea usomi wako na kuto kujua kwa wengine?
Sorry nilikuwa namjibu member mmoja hivi sikuwa na nia ya kutangaza elimu humu jf. Cool down.
 
Ontario kwa elimu nzuri tunasubiri darasa nitakuja na kigoda changu acha niwe wa 302
 
Big Idea inayoitaji kufuatilia na kujifunza kwa umakini kabla ya kuzamisha miguu katika biashara hii.


Kiongozi wangu katika Forex Trading Mr. Ontario Mimi binafsi Niko tayari kuwepo katika shamba darasa lako. Kati ya hao 300 naomba niwe mmoja wao.
 
Ndiyo maana kuna kampuni nyingi za clearing and forwarding(C&F) zilizofilisika. Inabidi kabla kukurupuka kwa ushauri inabidi ujue kama hiyo kampuni hiko recognised, reliable na inafanya kazi ethically. Makampuni mengi ya C&F yalikuwa ya wizi mtupu bongo, mengi sasahivi ni mufilis tangu Magufuli aliposhugulikia bandarini. Kuhusu, kuagiza gari Japan wala sihitaji C&F company...naweza agiza mwenyewe direct from Japan.

Mimi nakubali kwamba hii FX trading ni nzuri na it can be a lucrative way to make money. Lakini wabongo wengi nimegundua tuna pupa na hatuulizi the right questions badala yake tunafwata mkumbo (following the crowd)

Huyu ndugu Ontaria ametoa maelezo mengi ambayo ni mazuri tu, lakini hajatuambia alitumia website gani ya Forex Trading kutengeneza hizo pesa. Badala yake, ameongelea mambo ya kufungua ofisi, training and so on ili apate wateja kutengeneza pesa.

Sisi tunataka atueleze kwa ufupi kwamba alitumia website hipi, account au bank card ya namna gani kuendesha hiyo FX Trading na atupatie statement inayo onyesha earning zake katika trading. Pia ikiwezekana, siyo lazima, atupatie ka background kake kadogo with evidence.
Hili ndo tatizo la kuajiriwa! Unataka kufanya biashara au unataka kujiridhisha kama anachosema Ontario ni sahihi?
 
Fx ni speculative process hii haipingiki. Kwa hiyo si investment nzuri.

Maana ya volatile market ni rahisi tu.

Kwa muktadha wa hii Fx mara nyingi retail traders wanapoteza.

Nilitumia neno "kupigwa" si kwa maana ya kuibiwa (japo hii inawezekana). Bali kupoteza kwa kuwa na uelewa mdogo.

Yes kila business ina speculation lakini hii ya Fx ni level nyingine.

Formula ni moja tu "usiingie kwenye business usiyofahamu"

Na bahati mbaya inaonyesha wengi watamezwa hapa

Unasema bila nyie brokers retail traders wangeshindwa kufanya international transactions?

Upo sahihi lakini hapa broker amechagua "namna nzuri" kutengeneza chapaa

Hana wasiwasi wakupoteza

Ni taarifa muhimu wateja wako wajue.
Sasa kama broker anakula commission kutoka kwa retailers, inawezekanaje broker apige chapaa wakati huo retailers wake wakiloose? Yaani hapa sijakuelewa kabisa
 
Biashara zote dunian zinasimama kwenye kanuni moja: 'supply and demand', weka akili yako hapo na utafakari what are supplying to fulfill the certain demand? Alichosema ONTARIO si kipya na kadadvua vizuri, ila mimi nikasema kwa sasa hapa Tz hakiwezekani labda kizazi kijacho. Nikirudi kwenye kanuni ya 'supply and demand' kwa kuangalia biashara ya forex ninajiridhisha pasi na shaka kwamba ni NDOTO kufanikiwa kwa sasa hapa Tz with the trending political economies surrounded with people whose blogged minds are like yours.

The law of supply and demand is the theory explaining the interaction between the supply of a resource (forex in this case) and the demand for that resource. The law of supply and demand defines the effect the availability of a particular product and the desire (or demand) for that product has on price. Generally, a low supply and a high demand increases price, and in contrast, the greater the supply and the lower the demand, the lower the price tends to fall.
You are less informed man, nahisi sote tunahitaji muda wa kujifunza ili tuelewe vizuri hichi kitu,otherwise you are an extreme pessimist
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom