Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
ONTARIO's orchestration to you guys is to venture into forex business. This needs a tranquilized mind to diget this. The idea is superb and I have rhetorically being saying this. But, the idea is not idealistic now serve for the future generation.
You seem to be too naive in this complicated financial trade. Do you think it's just a click of your fingers on your computer keyboard that'll make you trans act in international trade? No way. In any investment you must have CAPITAL, and where do you get this forex capital if you don't have anything generating it?
Nikakupa exchange rate ya Somalia against our shilling, bahati mbaya ww ukaona kwamba hiyo ndo translation ya uchumi, maskini we. Nimekupa hiyo ili akili yako ifanye kazi ya kujiuliza maswali mengi.
Ni watu kama nyie ambao hamjawahi ku fanya practically any forex transaction mnabwabwaja bila kujua.
mkuu forex is not burea de change, waache wenye uwezo wa kutake calculated risks watrade naamini baadae watakuja kuwitness. I like to try things in case I see a return in there. Failing is one step in a jouney to success. There is no way you will succeed without failing.

Naamini wapo watakao anza na kutusua na wapo watakao anza na kufail kisha wakaacha pia wapo watakao anguka na kusimama tena.

Mm ntaanza hii kitu after two years coz bado nasoma and I need to have atleast two passive incomes ili nianze forex. Lakini pia nahitaji kuisoma vizuri forex na kuielewa. Ontario amesoma zaidi ya vitabu 7 tena letter after a letter, word after word, line....., point after a point tena kichwa chake kikali kama unavyowajua ma-engineer na ndo akaja kuanza kutrade tena under mentorship.

Waache wachache wanaotaka asali katika mzinga uliojaa nyuki watafute.
 
Huu Uzi ni mzuri sana katika kuwafundisha watu juu ya biashara ya FOREX

Binafsi Nina uzoefu wa hii biashara, kwa hiyo napenda kushare machache humu ili watu watambue faida na risk zake..

Kwanza kifupi ni kwamba hii biashara sio rahisi kama wengi wanavyodhani, ina hitaji umakini wa hali ya juu maana unakuwa umekubaliana na mambo mawili. Profit au loss.

Hatua ya kwanza kabisa inabidi uchague broker (hapa pia panahitaji umakini).. Baada ya kuchagua broker inabidi umstudy kwa kina maana kumbuka kwamba wewe unahitaji profit na broker nae anahitaji profit kupitia ku-loose kwako au kuwin (hapa ni brokers wachache)

Kifupi ni kwamba unahitaji kupata uzoefu kidogo kwa kuangalia trend ya biashara kwenye FOREX lakini pia kupitia mtu ambaye ana uzoefu wa kutosha kwenye hii biashara FOREX (hapa itabidi upate mkweli)

Jambo lingine LA msingi ni kufahamu risk ambazo utakumbana nazo katika hii biashara, tambua kwamba kila mtu anahitaji faida kupitia hii biashara, kwa hiyo kupata kwako loss ndio faida kwa mwingine (kwa lugha nyingine naweza kusema ni struggle for the fittest)

Nirudi kwa mtoa mada, kwanza nimpongeze kwa kujaribu kuelezea kwa ufupi uhalisia wa biashara hii lakini kuna Vitu ametazamia kwa lengo la yeye kujiongezea kipato (japokua kihalali) kutoka wa watu watakao kuwa tayari kuianza biashara hii..

Nafafanua kidogo:-
1. Mtoa mada amesema ana mpango wa kufungua office na kutoa train kwa watu 300 bure kwa kushirikiana na brokers alioingia nao ubia (ni wazo zuri)
Naamini train hiyo itakuwa inamzungumia broker (aliyeingia nae ubia) jinsi anavyofanya kazi, offer zake na faida kwa mtu atakayejiunga kupitia huyo broker...
Kwahiyo baada ya train hao watu 300 watajiunga na kuwaambia wengine kujiunga kupitia broker aliyewapa train (na hapa ndipo anapopata faida kupitia watu wanaomtumia broker aliyeingia nae ubia.. Kwahiyo hapo wewe pamoja na broker your fighting for profit... kwahiyo mmoja aki-lose ndio faida ya Mwingine).. Ndio maana nasema hapa inahitaji umakini mkubwa sana.

2. Kama lengo LA mtoa mada ni kugain profit kupitia ubia wake na broker na watu watakaojiunga. Basi naamini katika training atajikita zaidi kuelezea benefits zaid kuliko risks maana target yake ni kuku-win wewe, kwa mantiki hiyo hawezi kujikita zaidi katika risk maana anajua utaogopa atakukosa.

Ndio maana Jambo la msingi unapaswa kujiuliza ni kwanini mtoa mada amekubali kuingia gharama zote hizo kuleta mentors?? (Usifikiri in positive ways pekee yake, check on both side +ve & -ve)

Pili kwanini sahivi anataka kufungua office?? Kwanini asingetengeneza Whatsapp group akatoa elimu bila kusubiri apate office ili atoe fursa kwa watu wa mikoani??

Maana me naamini kumpatia mtu juu ya hii elimu haihitaji uwe na ofisi wala uwe nae ana kwa ana (me niliipata hii elimu kupitia internet pamoja na kusoma vitabu, lakini sahivi nafanya vizuri)

Mwisho nawashauri ni vizuri mkawa makini sana na kujiridhisha kwa kina kabla ya kufanya maamuzi.

NB: hayo ni mawazo yangu kulingana na uelewa wangu na uzoefu wangu juu ya biashara ya FOREX, sijatoa kwa lengo LA kum-criticise mtu bali kwa lengo la kuelimisha zaid.
asante.
 
Mtoa mada anaongea kuhusu risk za forex na members baadhi wanasisitiza risk ya hii busness lakn watu wamepokea kirahis sana wanataman ata sasa iv waingie sokon ad najiulza watakuwa wamenunuliwa nini!!???
Ok busness hii inaitaj soma la kina la muda mrefu na umakin wa hali ya juu lakn kuzngatia inshu ya ku qoute uzi wangi wamefeli tena mwngne anakuambia ana masters cjui ... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa kama broker anakula commission kutoka kwa retailers, inawezekanaje broker apige chapaa wakati huo retailers wake wakiloose? Yaani hapa sijakuelewa kabisa
Hahaa haya mambo siyo rahisi kama unavyodhani

Ni kweli broker anategemea commission lakini haina maana kila mara trader unapo win pekee.

Iko hivi.....ukijiunga broker wanatumia mentality hii kujinufaisha.

Wanatengeneza two separate categories. Labda kwa mfano A and B

Kwa akili ya kawaida tu broker anafahamu asilimia 95 ya watakaojiunga hawatakuwa wana win in a consistent way na kwa kuwa wata give up basi nguvu anaelekeza kwenye kupata traders wapya.

Ukiwa smart ndiyo unaingia kwenye 5% ya wachache wanaotengeneza chapaa ya maana in a consistent manner.

Hapa broker anaanza kuwa makini zaidi. Asingependa ushinde kila dili ina consistent way kwasababu uki blow account yako hela iliyopo inaenda kwa broker.

Noma sana

Fikiria umeblow account yenye $7000 kwa mtu usiye na kipato cha kueleweka. Utalia au utapasua computer[emoji23] [emoji23]

Kifupi ni tahadhari tu.

Lakini ukweli mchungu ni 95% wata lose halafu wata give up.

Broker ataendelea kutafuta new traders.
 
Hili ndo tatizo la kuajiriwa! Unataka kufanya biashara au unataka kujiridhisha kama anachosema Ontario ni sahihi?
Mfanyabiasha yeyote huwa ana take calculated risk, kwahiyo lazima kuwa well informed with enough research ili husipoteze pesa kwa pupa pupa. Hamasivyo utaishia kupoteza pesa au mufilis kama capital yako finyu!
 
Hahaa haya mambo siyo rahisi kama unavyodhani

Ni kweli broker anategemea commission lakini haina maana kila mara trader unapo win pekee.

Iko hivi.....ukijiunga broker wanatumia mentality hii kujinufaisha.

Wanatengeneza two separate categories. Labda kwa mfano A and B

Kwa akili ya kawaida tu broker anafahamu asilimia 95 ya watakaojiunga hawatakuwa wana win in a consistent way na kwa kuwa wata give up basi nguvu anaelekeza kwenye kupata traders wapya.

Ukiwa smart ndiyo unaingia kwenye 5% ya wachache wanaotengeneza chapaa ya maana in a consistent manner.

Hapa broker anaanza kuwa makini zaidi. Asingependa ushinde kila dili ina consistent way kwasababu uki blow account yako hela iliyopo inaenda kwa broker.

Noma sana

Fikiria umeblow account yenye $7000 kwa mtu usiye na kipato cha kueleweka. Utalia au utapasua computer[emoji23] [emoji23]

Kifupi ni tahadhari tu.

Lakini ukweli mchungu ni 95% wata lose halafu wata give up.

Broker ataendelea kutafuta new traders.
Swala la kublow account wala sijalikataa ila itatokana na uelewa wako kuhusu unachofanya na nafikiri ni vyema kuanza hii kitu ukiwa well informed. Haya maswala ya mtu anasoma post ya Ontario tu alafu anaanza kuuliza broker yuko wapi na sijui kadi za kuwithdraw pesa zinapatikanaje ndo itawapoteza wengi. Jamaa kaandika mwenyewe kwanza kabla hajaanza amesoma vitabu saba bila kufanya kitu tena akiwa ndani ya mentorship nzito! Hii ni sawa na semister moja ya chuo kikuu tena si tu kumeza madesa ila unasoma vitabu na kuelewa kila kitu vizuri
 
Mfanyabiasha yeyote huwa take calculated risk, kwahiyo lazima kuwa well informed with enough research ili husipoteze pesa kwa pupa pupa. Hamasivyo utaishia kupoteza pesa au mufilis kama capital yako finyu!
Ni kweli lakini hilo lisiwe confused na indecision na procrastination.
 
Hii mada imekuja kwa wakati sahihi kulingana na hali ya maisha ilivyo sasa.MwanaJF kama kweli una nia,usikurupuke na Hakikisha unakuwa na maarifa ya kutosha kuhusiana na hiyo biashara.Big up broh
 
Swala la kublow account wala sijalikataa ila itatokana na uelewa wako kuhusu unachofanya na nafikiri ni vyema kuanza hii kitu ukiwa well informed. Haya maswala ya mtu anasoma post ya Ontario tu alafu anaanza kuuliza broker yuko wapi na sijui kadi za kuwithdraw pesa zinapatikanaje ndo itawapoteza wengi. Jamaa kaandika mwenyewe kwanza kabla hajaanza amesoma vitabu saba bila kufanya kitu tena akiwa ndani ya mentorship nzito! Hii ni sawa na semister moja ya chuo kikuu tena si tu kumeza madesa ila unasoma vitabu na kuelewa kila kitu vizuri
Hakuna formula sahihi sana kuwin kwenye Fx hata kama umesoma kiasi gani

If that was the case serikali na mashirika makubwa ya kifedha yasingekuwa yanapoteza pamoja na kuwa na world class experts kwenye finance na mambo yote.

Ukijulia mambo yanavyokuwa na kutengeneza chapaa broker haraka ataanza kuplace order opposite na yako. Hata kama atadai yeye ni clear.

Ukiblow account ni faida kwake si mchezo japo pia angeweza tu kutegemea commission.

Kumbuka hii mambo ni highly unregulated. Kwa maana hii manipulation ni rahisi tu

Mtu aliye safe kwenye hii mambo ni broker na pengine big financial institutions.

Ni mambo ya kujua tu haya

Haimaanishi hautapata chapaa.

Set goals and go after them man.

Ball is in your court
 
Hakuna formula sahihi sana kuwin kwenye Fx hata kama umesoma kiasi gani

If that was the case serikali na mashirika makubwa ya kifedha yasingekuwa yanapoteza pamoja na kuwa na world class experts kwenye finance na mambo yote.

Ukijulia mambo yanavyokuwa na kutengeneza chapaa broker haraka ataanza kuplace order opposite na yako. Hata kama atadai yeye ni clear.

Ukiblow account ni faida kwake si mchezo japo pia angeweza tu kutegemea commission.

Kumbuka hii mambo ni highly unregulated. Kwa maana hii manipulation ni rahisi tu

Mtu aliye safe kwenye hii mambo ni broker na pengine big financial institutions.

Ni mambo ya kujua tu haya

Haimaanishi hautapata chapaa.

Set goals and go after them man.

Ball is in your court
Inamaana ontario lengo la kukusanya watu yeye awe broker ambapo atajiweka sehem salama zaid[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aya bhn tupo pamoja na somo [emoji120] ..
 
Hiki kitabu nimepitia leo...chapter mbili tu!!

Kiuhalisia si kazi rahisi kama mtu unavyoweza kudhani. Good news is..ukiweka nia na muda unatoboa!

So far kwa research nliyofanya ili ufanikiwe lazima uwe rafiki wa vitabu...lazima uwe ndugu wa youtube haza kwenye videos za forex...

Hii mambo haitaki mihemko ila Taratibu tutafika!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom