Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Wengi wanataka ila wengi hawajapita hata kujua maana ya neno forex
 
All I can say ni kua duniani kuna watu wa ajabu sana. Mtu mpvmbavu hua anahisi anajua kila kitu hat km ni upvmbavu. Unaongea vitu ambavyo hata huelewi ni nini [emoji23] kuna matraders humu kina Bavaria Abraham Suleiman natamani waone huu upuuzi.

Acha niwe na akiba ya maneno nisije kuonekana sikubali kua challenged ht kama challenge ni pumba - watakuja traders wengine uamini kua ulichoandika ni upupu. Naomba nianze na vilaza wangu 300 afu niwafanyie huo upvmbavu unaousema afu warudi hapa JF kunitukana.

Nilivyo mjinga wa akili nipoteze $3000 kwa mwezi ya Office tena kwa miezi 6, nipoteze pesa zng za kuset up office furnishing, partitioning nk, nichome gharama za kuwaleta mentors, nichome muda wng kwa kitu ambacho sina uhakika nacho, basi mimi nitakua mmoja ya watu wapvmbavu zaidi kuwahu kuishi duniani.

Naomba unichukulie utavyonichukulia, utasema maneno mengi kwakua hujui unaejaribu kupambana nae. Hujui what I'm good at and what I'm weak at, in life sijawahi kufanya kitu then nikaQuit katikati. Kuna watu wana iron hearts, roho za chuma - no matter what hawarudi nyuma. Kuna watu ni kama nguruwe, utamchafua kadri utakavyo kumbe anaenjoy the play.

I need quality students, I don't need numbers. Hata nikianza na watu 20, nikawasaidia kuturn $300 kuwa $2000 ndani ya mwezi wananitosha sana kueneza habari zangu. Hadi nafikisha miaka mi2 nitakua nimefikia at least my short time goal.

Let me show you how I will prove you the other way round - sitajibu tena utvmbo ambao mtu hajawahi kutrade anaongea, mtu hajui hata maana ya pip anajifanya anaichambua forex, mtu hata maana ya bull hajui lkn anaeneza maneno ya kukatisha watu tamaa. Nasema hivii, nitasambaza signals kwa wanafunzi wangu hadi mtakoma. [emoji23]

Mambo kama haya lazima yajitokeze mkuu.. Hata usikate tamaa.

Ndio maana nilikwambia, utaanza na wanafunzi 500 ila ni watano tu watafika mwisho.

Baada ya training ya kwanza watapotea zaidi ya nusu.
 
Jamaa kaandika mwenyewe kwanza kabla hajaanza amesoma vitabu saba bila kufanya kitu tena akiwa ndani ya mentorship nzito! Hii ni sawa na semister moja ya chuo kikuu tena si tu kumeza madesa ila unasoma vitabu na kuelewa kila kitu vizuri

There you are.

Hapa ndo Ontario atapukutisha watu. Kusoma na kujifunza kila siku.

Ndio maana nimemtahadharisha, asiuze signals. Atawafanya watu wasisumbuke kujifunza zaidi..
 
Hakuna lot size ya aina hii. Labda ulikuwa unamaanisha equity?
kaka hebu nieleze nielewe...hii lot size si ndio kiwango cha fedha unazokadiria kununua kwa safari moja ama ina maana nyingine?
 
Hiki kitabu nimepitia leo...chapter mbili tu!!

Kiuhalisia si kazi rahisi kama mtu unavyoweza kudhani. Good news is..ukiweka nia na muda unatoboa!

So far kwa research nliyofanya ili ufanikiwe lazima uwe rafiki wa vitabu...lazima uwe ndugu wa youtube haza kwenye videos za forex...

Hii mambo haitaki mihemko ila Taratibu tutafika!!

Kusoma vitabu lazima iwe hobby yako (vitakusaidia kwenye technical analysis), bila kusahau kufuatilia kila kinachoendelea duniani kila siku, kila saa (Hizi news zitakusaidia kwenye fundamental analysis).
 
Kwer itatuhitaji muda sana kuwa kamili....vitabu ni vingi, hivi ni baadhi nlivyoweza kuvipata.

I hope viko sahihi....na sio matango pori.

Adios,
 

Attachments

Nimekisoma kitabu chapter moja tu na kupitia videos utube nk, nikagundua kuwa hii kitu haihitaji mihemko aisee!! It needs time,alot of time to learn na uwe smart.
Msikurupuke jamani, jipeni muda wa kutosha kuielewa hii kitu.
Good news ni kuwa inawezekana ukiwa na nia ya dhati.

Upo sahihi kabisa.

Nikupe siri moja, jikaze mwezi mzima (tuseme June) unasoma vitabu ili upate ABCs.

July ufanye mwezi wa kusoma strategies mbalimbali.

August, ufanye mwezi wa kuitumia demo yako kutest hizo strategies zako ulizoweka.

September, anza na 100USD kufanya live trading. Mpaka hapo utakuwa better off.

Kama hujiamini anza October na live trading.

Fanya kwa moyo mmoja..
 
kaka hebu nieleze nielewe...hii lot size si ndio kiwango cha fedha unazokadiria kununua kwa safari moja ama ina maana nyingine?


Lot size ni thamani ya trade yako kwa kila pip moja.

Micro lot 1 pip = 0.1 USD

Mini lot 1 pip = 1 USD

Standard lot 1 pip = 10 USD.

Kwahiyo kama unatrade kwa standard lot ya 10 ina maana kila pip inayoongezeka unakuwa unatengeneza 100 USD. Na ikienda agaist wewe unakuwa una loose 100 USD kwa kila pip.
 
Tuko pamoja mkuu, hebu tuufuatilie mchezo kimya kimya in the shadows, then batch ya pili ikifika tunaingia jumla.

Tutakua vipanga mkuu!
Asante kipanga mtarajiwa nshakua na mentality ya kidon saiv nmeacha kula balimi
Ni windhoek tu udangote unaninyemelea
 
Lot size ni leverage mkuu.

Micro lot 1 pip = 0.1 USD

Mini lot 1 pip = 1 USD

Standard lot 1 pip = 10 USD.

Kwahiyo kama unatrade kwa standard lot ya 10 ina maana kila pip inayoongezeka unakuwa unatengeneza 100 USD. Na ikienda agaist wewe unakuwa una loose 100 USD kwa kila pip.
Ndio maana tunasisitiza tusome kwa bidiina kuelewa mambo!
 
Upo sahihi kabisa.

Nikupe siri moja, jikaze mwezi mzima (tuseme June) unasoma vitabu ili upate ABCs.

July ufanye mwezi wa kusoma strategies mbalimbali.

August, ufanye mwezi wa kuitumia demo yako kutest hizo strategies zako ulizoweka.

September, anza na 100USD kufanya live trading. Mpaka hapo utakuwa better off.

Kama hujiamini anza October na live trading.

Fanya kwa moyo mmoja..
Shukrani mkuu, ngoja nipambane hadi kieleweke.
 
All I can say ni kua duniani kuna watu wa ajabu sana. Mtu mpvmbavu hua anahisi anajua kila kitu hat km ni upvmbavu. Unaongea vitu ambavyo hata huelewi ni nini [emoji23] kuna matraders humu kina Bavaria Abraham Suleiman natamani waone huu upuuzi.

Acha niwe na akiba ya maneno nisije kuonekana sikubali kua challenged ht kama challenge ni pumba - watakuja traders wengine uamini kua ulichoandika ni upupu. Naomba nianze na vilaza wangu 300 afu niwafanyie huo upvmbavu unaousema afu warudi hapa JF kunitukana.

Nilivyo mjinga wa akili nipoteze $3000 kwa mwezi ya Office tena kwa miezi 6, nipoteze pesa zng za kuset up office furnishing, partitioning nk, nichome gharama za kuwaleta mentors, nichome muda wng kwa kitu ambacho sina uhakika nacho, basi mimi nitakua mmoja ya watu wapvmbavu zaidi kuwahu kuishi duniani.

Naomba unichukulie utavyonichukulia, utasema maneno mengi kwakua hujui unaejaribu kupambana nae. Hujui what I'm good at and what I'm weak at, in life sijawahi kufanya kitu then nikaQuit katikati. Kuna watu wana iron hearts, roho za chuma - no matter what hawarudi nyuma. Kuna watu ni kama nguruwe, utamchafua kadri utakavyo kumbe anaenjoy the play.

I need quality students, I don't need numbers. Hata nikianza na watu 20, nikawasaidia kuturn $300 kuwa $2000 ndani ya mwezi wananitosha sana kueneza habari zangu. Hadi nafikisha miaka mi2 nitakua nimefikia at least my short time goal.

Let me show you how I will prove you the other way round - sitajibu tena utvmbo ambao mtu hajawahi kutrade anaongea, mtu hajui hata maana ya pip anajifanya anaichambua forex, mtu hata maana ya bull hajui lkn anaeneza maneno ya kukatisha watu tamaa. Nasema hivii, nitasambaza signals kwa wanafunzi wangu hadi mtakoma. [emoji23]
Naona kama umeamua kutuita wateja zako watarajiwa wapumbavu pasipo na sababu yeyote. Mimi nilitegemea jinsi ulivyo mwalimu na mwandishi mzuri ungetumia busara zaidi kutujibu, lakini you lost it kwa kuni refer mimi kama mpumbavu. Bora niwe mpumbavu sasa ili nieleweshwe kuliko kuwa mpumbavu to the end.

Anyway, hebu nieleze nitaweza register vipi kwenye www.forex.com nikiwa kama mtanzania? Hizo MasterCard zitakazotolewa zitakuwa za prepaid au hapana? Kama siyo za prepaid zitakuwa na limit ya kiasi gani? Baada ya kupata training nitaweza tumia platform zipi online na payment card ya namna gani? Je itanipasa kulipia chochote baada ya training?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom