Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kuna tofauti gani kati ya mtu anayeenda kununua dola laki mbili pale BOT na kuuza mtaani, na vile mfumo wenu ONTARIO unavofanyakazi?
 
  • Thanks
Reactions: B40
Sasa kama USD ndo unategemea ishuke kwa nini uzinunue wakati zikishashuka zitakuta EURO chache tofauti na mwanzo? Maana zikishuka zimepungua thamani, so USD nyingi zitakupa EURO chache tofauti tofauti na ulizouza mwanzoni.

So binafsi nafkiri going short itakuwa ni kuuza weak currency(unayo tegemea ishuke) ukisubiri ishuke against EURO uinunue tena maana utapata USD nyingi kwa sababu thamani yake itakuwa imeshuka dhidi ya EURO

Kwa nilivyoelewa mimi ni kwamba, kama pesa unaipredict kuwa itaendelea kushuka toka katika current value. Ni kwamba mfano, kwa jana kama pair rate ni 1.3345, leo ukaamka ukakuta rate ni 1.3342, na kwa jinsi hali inavyoonekana itaendelea kushuka zaidi, basi hapa unainunua hiyo weak curency kwa kutarajia kuwa itaendelea kuwa weaker and weakest.

Sema tuu ni kwamba jana unakuwa ulichelewa kuishtukia kwamba leo pair itashuka kufikia 1.3342.
 
  • Thanks
Reactions: A2G
Kununua mpunga na kuuficha ukisubiria upande ili uuze upate faida ni form ya speculation tuseme hivi assumption na speculation wanasound kama entwined katika hili speculation is the name of the game therefore get down to the business and see what is all about.
Forex market hauwezi fananisha na biashara ya mpunga.

Hiyo mosi.

Hapa tunaongelea soko tofauti kabisa kwahiyo usichanganye mambo hapa.

Placing deals/orders at Forex market means you trade on margin basis.

Do you know what that is?

The profit and potential loss is highly magnified.

You should have known this before you responded.

Unafananisha business ya mpunga na Forex?

You may not be serious
 
Asante umejibu.
Kwamba faida kubwa ni kwa watu wanaohitaji sarafu fulani wananunua na kutumia.....kwamba katika hii biashara kuna wateja wengi wahitaji wa kila aina ya sarafu......wananunua (na kuzitoa) kisha kuzitumia kwa manunuzi nje ya hii biashara....
Kwamba ni kama kuita duka la dunia la kubadili fedha.....

Ni rahisi. Mfano leo Bongo US$ 1 inauzwa kwa tshs 2250 na kununuliwa kwa tshs 2200. Sasa mtu anaweza kutarajia Dola itapanda thamani kwa maana kufikia kuuzwa kwa tshs 3000 ifikapo December mwaka huu, hivyo akanunua sasa hivi labda dola zake 1000. Atakuwa ametumia tshs 2,250,000. Akasubiri ikafika hiyo December kweli dola 1 ikawa imepanda mpaka kuwa inauzwa tshs 3000. Huyo mtu akauza zile dola zake 1000 na kupata tshs 3,000,000. Hapo atakuwa amepata faida ya 750,000 nzima kutoka 2,250,000 aliyonunulia.

Kinyume chake kinawezekana, kwa maana alitegeme dola ipande thamani ifikapo december lakini ikashika chini ya aliyonunulia, mfano ikashuka mpaka tshs 2000 kutoka tshs 2250 aliyonunulia. Sasa akitaka kuuza zile dola zake 1000 wkt huo atapata tshs 2,000,000 na hivyo kuw amepata hasara ya 250,000 ktk huo muamala.

Sasa huu mchakato unafanyika globally kwenye system the forex. Broker ndio mnunuzi na muuzaji wako. Ni kama vile unavyoenda Bureau de Change...ukiwa na shikingi unataka dola unapata, ukiwa na dola unataka shilingi unapata.

Natumai nimekujibu swali lako.
 
no mkuu mie kuhudhuria iyo training n changamoto kwangu ndo maana nkakuuliza ivo ila ulvonijib dah au umeogopa utamwaribia mshkaji soko, npm kama unaogopa kumwaribia mshkaji soko angalau angalau nipate mwanga maana umendisappoint kwel an. Bavaria
Haha. Sidhani kama nitamuharibia soko. Ila kama huna background ya finance au economics kabisa, unaweza ukawa unajiingiza chaka.
Ila unaweza ukawa unatumia youtube kujifundisha. Hiyo inawezekana.
 
Haha. Sidhani kama nitamuharibia soko. Ila kama huna background ya finance au economics kabisa, unaweza ukawa unajiingiza chaka.
Ila unaweza ukawa unatumia youtube kujifundisha. Hiyo inawezekana.
that is what i wanted to hear from u asante xana kamanda Bavaria
 
Hebu tumwache pembeni kwanza Bushiri ambaye ana biashara zinazojulikana. Huyu dogo Sandile, ni kwanini anatumia muda wake mwingi na nguvu nyingi kufanya kazi ya "kufundisha" forex trading kuliko kufanya Forex trading? Yaani hata this guy in here na yeye anafuata nyayo hizohizo, amekuwa "mwalimu" wa Forex trading ambapo tulitegemea awe mfanyabiashara wa Forex Trading ambayo kama wanavoinadi ina pesa mbaya wangekuwa wanamake trilions wakati wametulia kwenye viti vyao kuliko kufukuzana na vimilioni kutwa kushinda wanaandika article! Hii biashara ni risky sana ndiyo maana hawako tayari kurisk pesa zao, ni rahisi zaidi kwao kupata pesa kwa kukufundisha wew kurisk pesa zako.
I could be wrong though, lakini kuweni makini na hizo "ada" mtazotozwa ili kuoneshwa namna ya kutengeneza pesa!
Ni muda ndiyo utakaotuambia.
 
Mkuu naomba unisaidie hapa, nimesoma nikaelewa juu ya PIP(Percentage in Point). Nikaelewa na Lot size kuwa ni multiplication factor kwa kila PIP moja na kwamba hii hutokana na jinsi ulivyochagua. Pia nikaelewa Leverage kiwa ni Pesa ya mkopo ambayo unakopeshwa ili ufanyie biashara (kwa case yetu biashara ni forex).

Sasa nisichoelewa ni kwamba
1. Je Brokers wanakopesha( refer piping & Lot size ). Kama wanakopesha, ikitokea nikaloose na akaunt ikawa burnt, hiyo loss ambayo imetokana na pesa za kukopeshwa nikaingiza katika stake yangu, je broker ankuwa compensated vipi.? Na kama Brokers hawakopeshi, je hiyo multiplication factor ( LOT) pesa yake inatokea wapi.?


2. na katika real bussines, LOT size gani inayokuwa recomended na ambayo ipo profitable/advantageous kwa trader.?


Kama nimeingia chaka popote hapo juu naomba mwongozo.

CC: ontario
Swali la kwanza, leverage inakupa uwezo wewe mwenye account ndogo kufanya trade kubwa. Sio kwamba unakopeshwa hizo hela.
Swali la pili, lot size inategemea na portfolio yako. Ukiwa na portifolio ndogo unashauriwa kutumia lot size ndogo.
 
Nahisi watu hawabanduki kwenye huu Uzi wakisubiri mwaliko wa Training,,nitamshauri aweke entry exam Na na maswali yatoke kwenye vile vitabu alivyoelekeza tukavisome,, ili tupungue wenye shauku ya Ku attend hiyo training ya kwanza ya offer
Umetisha aisee[emoji1]
 
Hebu tumwache pembeni kwanza Bushiri ambaye ana biashara zinazojulikana. Huyu dogo Sandile, ni kwanini anatumia muda wake mwingi na nguvu nyingi kufanya kazi ya "kufundisha" forex trading kuliko kufanya Forex trading? Yaani hata this guy in here na yeye anafuata nyayo hizohizo, amekuwa "mwalimu" wa Forex trading ambapo tulitegemea awe mfanyabiashara wa Forex Trading ambayo kama wanavoinadi ina pesa mbaya wangekuwa wanamake trilions wakati wametulia kwenye viti vyao kuliko kufukuzana na vimilioni kutwa kushinda wanaandika article! Hii biashara ni risky sana ndiyo maana hawako tayari kurisk pesa zao, ni rahisi zaidi kwao kupata pesa kwa kukufundisha wew kurisk pesa zako.
I could be wrong though, lakini kuweni makini na hizo "ada" mtazotozwa ili kuoneshwa namna ya kutengeneza pesa!
Ni muda ndiyo utakaotuambia.

maswali ya msingi kiasi
 
Updates

Moja ya ombi la msingi ambalo nimeona watu wengi wanaulizia ni - "Ontario ni kitabu gani naweza kuanza nacho?"

Kila mtu ambae yupo interested atafute kitabu kinaitwa Currency trading for Dummies: Kimeandikwa na Brian Dolan 2nd Ed ndio poa zaidi. Cover yake ni kama changano then kuna dunia hivi inaramani za nchi mbali mbali.

 
Rene jr

1. Unachoongea sio sawa kabisa. Kuna watu wana roho ya upendo ya kupenda kuwashirikisha wenzake fursa mbalimbali. Kwahiyo, huyo Sandile hakushindwa kujifungia ndani kuifanya forex, ameamua kuwashirikisha wenzake waione hiyo fursa.
2. Forex inafanyika masaa 24 siku 5 za week. Wengi wanaifanya kama kazi ya part time ila wengine wanaifanya full time. Wengine wanaajiri watu, wana watrain then wanakuwa wanatrade kwa niaba yao huku wenyewe wakiwa wanaangalia performance ya portifolio popote wakiwa.
Huwezi kutrade masaa 24 siku zote lazima uwe chizi. Chagua trading session yako na pair yako moja una place order. Kwa levels za Sandile hata akiwa na order moja ya lot ya 250, ni nyingi sana na itamtosha.
Kuna watu wanaitwa AstroFx wao wana charge $7500 kwa week kama training fee. Wanaiweka hii ili ikuume uwe serious. Bado watu wanalipa wanaenda.
Ningekuwa Ontario ningeweka 200$ kwa kila training ili mtu imuume aichukulie serious. Amefanya bure ila watu wanaona kama semina flani ya ujasiriamali ndo maana kila mtu anataka kwenda. Baada ya muda anaweza baki na watu 10 tu.

Rene Jr.
 
Rene jr

1. Unachoongea sio sawa kabisa. Kuna watu wana roho ya upendo ya kupenda kuwashirikisha wenzake fursa mbalimbali. Kwahiyo, huyo Sandile hakushindwa kujifungia ndani kuifanya forex, ameamua kuwashirikisha wenzake waione hiyo fursa.
2. Forex inafanyika masaa 24 siku 5 za week. Wengi wanaifanya kama kazi ya part time ila wengine wanaifanya full time. Wengine wanaajiri watu, wana watrain then wanakuwa wanatrade kwa niaba yao huku wenyewe wakiwa wanaangalia performance ya portifolio popote wakiwa.
Huwezi kutrade masaa 24 siku zote lazima uwe chizi. Chagua trading session yako na pair yako moja una place order. Kwa levels za Sandile hata akiwa na order moja ya lot ya 250, ni nyingi sana na itamtosha.
Kuna watu wanaitwa AstroFx wao wana charge $7500 kwa week kama training fee. Wanaiweka hii ili ikuume uwe serious. Bado watu wanalipa wanaenda.
Ningekuwa Ontario ningeweka 200$ kwa kila training ili mtu imuume aichukulie serious. Amefanya bure ila watu wanaona kama semina flani ya ujasiriamali ndo maana kila mtu anataka kwenda. Baada ya muda anaweza baki na watu 10 tu.

Rene Jr.
Sawa, hongera zao kwa kuwa na roho "nzuri".
Vipi kuhusu ONTARIO, naona ndiyo kwanza mchanga kwenye hii biashara, maana ni juzi tu alikuwa anakodisha trekta, amepata wapi uzoefu, na kwanini aanze kufundisha na siyo kutrade ili amake pesa kwanza, maana mwenzake Sandile ameshamake sana! Na kwanini hamzungumzii kabisa suala la risk katika biashara hii?
 
Rene Jr.

Nyie ndo wale mnaotaka mtu apange magari 20 nyumbani kwake ndo muwe inspired kuanza forex.
Sidhani kama kila mtu anaweka kwenye mitandao kila kitu anachofanya. What if kukodisha matrekta ni sehemu ya vitu anavyofanya? Amekuambia ameipata hii fursa mwaka jana. Isitoshe amesema ataongea na mentors wake waje Dsm kuwafundisha watu forex. Sio kila kitu afanye yeye.
Nadhani kama ungekuwa na mwanga kwenye forex ungeshaona how complex is it. Page zote zilizopita unatahadharishwa inatakiwa uifahamu vizuri forex kabla hujaifanya. Hiyo ni angalizo tosha. Unataka uambiwe nini zaidi?
 
Sawa, hongera zao kwa kuwa na roho "nzuri".
Vipi kuhusu ONTARIO, naona ndiyo kwanza mchanga kwenye hii biashara, maana ni juzi tu alikuwa anakodisha trekta, amepata wapi uzoefu, na kwanini aanze kufundisha na siyo kutrade ili amake pesa kwanza, maana mwenzake Sandile ameshamake sana! Na kwanini hamzungumzii kabisa suala la risk katika biashara hii?

Mkuu rudi kwenye uzi soma tena, usipolewa soma tena na tena hadi uhakikishe umeelewa.

Hakuna sehemu nimesema nitafundisha, labda kama nimesema ni kwa bahati mbaya. Nilichokisema ni kua nimepata special trainers na mentors ambao ni waSA wao ndio watakuwa wapo darasani kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa. Wakati huo mimi nitakua zangu ofisini nimezungukwa na screens nashusha pips. Hapa naongea nina moderate trades, am already in DEEP BLUES.

Pia turudi kwenye post. Hivi haujaona nilipozungumza kua nimewahi kuchoma account - tena account kubwa. Nahisi niliandika bila kuzingatia uwezo wa watu wengine wa kuchambua mada. Pale basically nilimaanisha kama haujisomi na haupo competent unaweza kupoteza mil 20 in an eye blink. I couldn't say it better than that boss.

Zaidi ya yote naomba unipe MUDA. Time is the best judge.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom