Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
wazo la tatu
Nikiwa Pretoria nilipata bahati ya kusali kanisa la 1 kati ya manabii maarufu zaidi hapa duniani Shepherd Bushiri Major 1. Ukiachilia mbali kua ni nabii lkn yuko mbali sana sana kibiashara, hata kama wewe ni Islam utakinzana nae kiimani lkn atakumotivate nje ya imani ktk mambo ya biashara na Ujasiriamali.
a6e5f30c2cecabb9be5fae79884e0439.jpg


Na kwa watu wanaohisi forex ni kamali au niseme gambling, hii ni tofauti kabisa. Ni kitu ambacho hata biblia imezungumzia, nilipata kua na uelewa mpana ktk hili baada ya kusoma kitabu cha Bushiri alivyoeleza kuhusu forex na kwa kiasi gani forex imempa utajiri mkubwa sana.
0318485055c9f0d4554bbc3fe4b75955.jpg
Bushiri ni huyu wa kati.
Ive been looking for this book because iknw he trades forex big time
 
Kama ulilifahamu hilo next time usirudie kumwambia mtu kitu ambacho kipo nje ya mada ukidhani hakifahamu.

Sahizi unafundishwa jinsi ya kufanya analysis na kuinvestigate how the system works na mfugaji wa kuku, Which means Auditing yako na Computer Science haikukusaidia. Sumbua kichwa chako kufatilia mambo kama una doubts usitafute slope kama mnavyodai nyie wa computer science ati everything is from the internet.

Najua nimekushtua na Computer Science yako japokua mie nimepiga Social Science.

Hayo mambo ya hujui mie ni na cjui nini kamuulize mke wa waziri aliyepigishwa fine na traffic na akapandishwa cheo

Hahahaaaa wanasema ukibishana na Chizi mwisho wa siku watu watashindwa kuwatofautisha. Huna unacho kifahamu mkuu kwenye ishu niliyo uliza.

Ila acha nikuache uendelee kulala, sipo hapa kujisifu ninacho kijua au kujiunga na linda.com, naona ndio mafanikio yako makubwa uliyofikia
 
Daaah!! Noma sana kuitwa mfuga kuku na ndani nimefungia jiwe la petroleum refinery [emoji23] .

Hehehehe.... Mkuu hao kuku wa forbes ni mchezo, tuna mambo mengi sana ya kujifunza na kuheshimu watu wengi sana. Unaweza siku ukakutana mtu umebeba chakula ya kuku akakudharau kwamba ni side business ya mama wa nyumbani kumbe ni very advanced mpaka kuna articles Forbes.
 
Hahahaaaa wanasema ukibishana na Chizi mwisho wa siku watu watashindwa kuwatofautisha. Huna unacho kifahamu mkuu kwenye ishu niliyo uliza.

Ila acha nikuache uendelee kulala, sipo hapa kujisifu ninacho kijua au kujiunga na linda.com, naona ndio mafanikio yako makubwa uliyofikia

Mkuu si umeambiwa come down na mchizi hapo juu, au ndo amekufungia na nitrous kabisa
 
Mkuu Nina kaswali kamoja kamekuwa kana nitatiza kidogo naamini ni wakati muafaka kuuliza

Mimi Nina background ya computer science lakini ni auditor sasa nimekuwa najiuliza hizi application za trading zina milikiwa na brokers yaani wao ndio walio develop halafu pia wakati huohuo wanapata commission kutoka kwetu. Hii inanipa maswali hakuna uwezekano jamaa wakacheza na codes wakati wa development in their favor? Yani waka manipulate the app to work in their favor in calculating P&L

Kutokana na hii concern napata swali lingine kwamba ni taasisi gani inayo regulate au control hawa broker? Kuhakikisha Jamaa wanakuwa fair and committed to their agreement with a trader ili Kama trader upate amani

Mfano taasisi ikiwa ISO (international Standard Organization) certified ukiwa kama mshika dau wa industry husika unakuwa na amani kuwa hiyo taasisi ina aminika.
Kama una background ya CS najua utakua unajua python au c++ ni nini!! Kuna video walikua wanaonyesha jinsi ya kudevelop hizo graphs...

Ingia youtube andika "python for finance" au "python for stocks" utaona hiyo tutorial imekuja!!
 
Hehehehe.... Mkuu hao kuku wa forbes ni mchezo, tuna mambo mengi sana ya kujifunza na kuheshimu watu wengi sana. Unaweza siku ukakutana mtu umebeba chakula ya kuku akakudharau kwamba ni side business ya mama wa nyumbani kumbe ni very advanced mpaka kuna articles Forbes.

Hamna aliye kudharau mkuu otherwise na Mimi ningeleta mbembwe zangu kama zako za Linda.com. Nilikueleza tu kuwa wewe uwezo wako wa kufirikia risk uliishia kwenye legality Ila Mimi nilienda zaidi ya hapo sababu najua major risks za platforms za namna hiyo. By the way hata swali langu pia lili cover legality ya hii kitu Kama ulisoma vizuri

FYI sina nia ya kuendeleza mjadala [emoji1433][emoji1433]
 
Hamna aliye kudharau mkuu otherwise na Mimi ningeleta mbembwe zangu kama zako za Linda.com. Nilikueleza tu kuwa wewe uwezo wako wa kufirikia risk uliishia kwenye legality Ila Mimi nilienda zaidi ya hapo sababu najua major risks za platforms za namna hiyo. By the way hata swali langu pia lili cover legality ya hii kitu Kama ulisoma vizuri

FYI sina nia ya kuendeleza mjadala [emoji1433][emoji1433]

Yameisha hayo ONTARIO asije akaformat maamuzi ya kutupa favour wana JF kama tukiwa emotional hivi, Asije akapata hofu ya kupondwa na notebooks kichwani watu wakipiga loss.
 
Kama una background ya CS najua utakua unajua python au c++ ni nini!! Kuna video walikua wanaonyesha jinsi ya kudevelop hizo graphs...

Ingia youtube andika "python for finance" au "python for stocks" utaona hiyo tutorial imekuja!!
Nice one
Python ni one of the best language kwa finance na accounts, I was advised before lakini sahizi nashindwa ku switch coz its too late na mambo ni mengi.
 
Daaah!! Noma sana kuitwa mfuga kuku na ndani nimefungia jiwe la petroleum refinering[emoji23] .
Nadhani kwenye uzi wa wako kwanza ungeweka warning mwanzo kabisa mwa uzi watu wasi quote !! Maana naona kila mtu anakoti liuzi lote tunateseka sisi wa simu!!
 
Nice one
Python ni one of the best language kwa finance na accounts, I was advised before lakini sahizi nashindwa ku switch coz its too late na mambo ni mengi.
Kama unajua programming language yoyote python ni simple wala huumizi kichwa kama c++ na akina java!! Wewe tu mkuu!
 
Nadhani kwenye uzi wa wako kwanza ungeweka warning mwanzo kabisa mwa uzi watu wasi quote !! Maana naona kila mtu anakoti liuzi lote tunateseka sisi wa simu!!

Hili angalizo lipo kaweka tayari ila tatizo watu wakimaliza kusoma tu wanakimbilia kuquote na Ontario kaweka hilo angalizo kama comment na sio ndani ya thread
 
hebu mimi nikomae na huu uzi maana hapa nafaidi maujuzi mob tu...saivi wenzangu nawaombeni mnifafanulie misamiati kadhaa kama inavyotumika katika masoko ya fedha na ikiwezekana mtupie mfano ili wengi tufaidi..

la kwanza ni ni nini maana ya "open position" katika fx

pili,ni nini maana ya "close position" katika fx na ina umuhimu gani katika swala la ununuzi na uuzaji wa fedha za kigeni?..

cc:Ontario
cc:Bavaria

Open position ni ku-initiate trade na ku-close position ni kufunga biashara.

The moment unapo buy or sell ndo unaopen position. Unapo close ile buy or sell ndo unakuwa unaclose position.
 
Hizo sio major currencies.
Kuna siku ( end of summer 2007) nilitoka likizo Tanzania nikawa narudi New York. Kawaida binamu zangu hunikung'uta hela za kibongo nikiwa airport Dar kama bado ninazo.

Siku hiyo nikawa na mambo mengi mizunguko kibao kuaga watu nikawa sijaweza kumaliza hela za Tanzania nilizokuwa nazo, na nikawa naongea na simu njia nzima kwenda Uwanja wa ndege nikajisahau kuwagawia zile hela za Tanzania binamu zangu.

Long story short, nimefika New York nina shilingi 400,000 za Tanzania.

Nikasema hu mchezo mdogo tu, ngoja nitafute Bureau De Change hapa New York nitabadilisha.

Nikaenda 42nd St, nikawaambia nataka kununua dola kwa kutumia 400,000 hela za Tanzania. Wakanikatalia. Kama vile zile hela za Tanzania ni "monopoly money".

Ilibidi nitafute kichaa wangu aliyekuwa anakuja Tanzania nimpe na yeye anipe dola.

Hizi hela zetu wengine katika soko la kimataifa hazipo kabisa, hapo ndipo nilipojifunza.

By the way, nimeuliza kama kuna mtu kashawahi kutumia NADEX hapa, sijapata jibu.

Nadex

By the way 2, I am taking a serious interest in trading Forex, nina vitabu kibao hapa na a NADEX account.

Wanaotaka kubadilishana vitabu let me know.
 
Swali la kwanza, leverage inakupa uwezo wewe mwenye account ndogo kufanya trade kubwa. Sio kwamba unakopeshwa hizo hela.
Swali la pili, lot size inategemea na portfolio yako. Ukiwa na portifolio ndogo unashauriwa kutumia lot size ndogo.
I too doubt kwa kupitia kwangu inaonekana lazima ulipe hizo pesa unazo kopeshwa. Kwa maana nyingine kwenye leverage unafanya bushara inayohitaji mtaji mkubw. Kwa investment ndogo. Broker ndio anafill hill gap ya pesa.

Hivyo baada ya profit lazima umlipe broker. Then ubaki na profit yako.

And inaonekana yakupasa use na account maalum. Margin account. Au labda vyanzo nnavyo soma mie pia sio sahihi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom